Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Na hivi nikiweka nguzo imara kwa vile vyumba tu ambavyo juu yake vitabeba vyumba vingine (Sio Full gorofa), kuna haja ya kuimarisha msingi nao? Nikiweka wa kawaida tu itakuaje??Huku ni kudanganyana kwamba waweza kulaza tofari ukajenga nyumba ya gorofa moja bila nguzo wala nondo
Mkuu uliyeomba ushauri usijaribu kitu kama hicho dunia imebadilika mabadiliko ya tabia nchi na majanga ya asili vimezidi.
Tumia nguzo imara kwa nyumba imara.