Ujenzi wa ghorofa: Nimeshaleta kifusi cha kwanza

Ujenzi wa ghorofa: Nimeshaleta kifusi cha kwanza

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu haya haya haya amkeni kumekuchwa

Msiseme sikuwaambia

Hatimaye nimeanza kutimiza ile ndoto ya kujenga ghorofa na kwa kuanzia nimeshaleta kifusi kimoja cha mchanga.

Nilipata kijisenti hapa kati nikaona si vibaya nilete trip ya mchanga kama hatua ya mwanzo.

Wakuu hata mbuyu ulianza ivi ivi kama mchicha

Nakaribisha mawazo chanya kwa ujenzi huu

Haters[emoji2958][emoji2958][emoji706][emoji706]
 
Wakuu haya haya haya amkeni kumekuchwa

Msiseme sikuwaambia

Hatimaye nimeanza kutimiza ile ndoto ya kujenga ghorofa na kwa kuanzia nimeshaleta kifusi kimoja cha mchanga.

Nilipata kijisenti hapa kati nikaona si vibaya nilete trip ya mchanga kama hatua ya mwanzo.

Wakuu hata mbuyu ulianza ivi ivi kama mchicha

Nakaribisha mawazo chanya kwa ujenzi huu

Haters[emoji2958][emoji2958][emoji706][emoji706]
Leta na ramani yake
 
Katika ujenzi wa ghorofa msingi ndio unakula pesa na ndio muhimu na kitu cha gharama sana ni NONDO na kokoto nyeusi za lugoba anza hapo kwanza ..mchanga unapatikana muda wowote kwa bei rahisi
 
Wakuu haya haya haya amkeni kumekuchwa

Msiseme sikuwaambia

Hatimaye nimeanza kutimiza ile ndoto ya kujenga ghorofa na kwa kuanzia nimeshaleta kifusi kimoja cha mchanga.

Nilipata kijisenti hapa kati nikaona si vibaya nilete trip ya mchanga kama hatua ya mwanzo.

Wakuu hata mbuyu ulianza ivi ivi kama mchicha

Nakaribisha mawazo chanya kwa ujenzi huu

Haters[emoji2958][emoji2958][emoji706][emoji706]


Unaharibu aisee, mchanga ndo jambo la kwanza kujiandaa na kujenga? Kudunduliza ndo style yetu ya kujenga, ila kwa Akili.
 
Back
Top Bottom