Ujenzi wa ghorofa: Nimeshaleta kifusi cha kwanza

Ujenzi wa ghorofa: Nimeshaleta kifusi cha kwanza

Anza kununua nondo na kuzisuka. Mchanga Bei yake ipo stable.
Kobello kwa residential building just ghorofa moja nondo za local zinafaa? mfano zile za kile kiwanda cha mikocheni MMI steel au lazima za nje au local kama za viwanda vikubwa kama Kamal?
Kwenye nguzo naona kuna wanaoweka za 12mm nondo 6 na wengine nondo 4 za 16mm vipi ni nini maoni yako juu ya hili?
 
Kobello kwa residential building just ghorofa moja nondo za local zinafaa? mfano zile za kile kiwanda cha mikocheni MMI steel au lazima za nje au local kama za viwanda vikubwa kama Kamal?
Kwenye nguzo naona kuna wanaoweka za 12mm nondo 6 na wengine nondo 4 za 16mm vipi ni nini maoni yako juu ya hili?
Nondo local zinafaa ili mradi kiwanda kiwe approved.
Kuhusu kutumia 16 au 12mm kwenye nguzo, hiyo inategemea, maana nguzo 4 za 16mm siyo sawa na nguzo 6 za 12mm kwa area hata kwa uzito.
Pia, center to center distance Kati ya nondo itabidi iwe calculated bila kusahau splicing length kwenye nondo nene itabidi iwe kubwa.
Best bet, 12mm main na 8mm stirrups. Kwa column 4 zinatosha.
Ila Mimi siyo engineer. But basically nimeona nyumba IPO fresh mwaka wa 14 na columns Zina 4 rebars.
 
Nondo local zinafaa ili mradi kiwanda kiwe approved.
Kuhusu kutumia 16 au 12mm kwenye nguzo, hiyo inategemea, maana nguzo 4 za 16mm siyo sawa na nguzo 6 za 12mm kwa area hata kwa uzito.
Pia, center to center distance Kati ya nondo itabidi iwe calculated bila kusahau splicing length kwenye nondo nene itabidi iwe kubwa.
Best bet, 12mm main na 8mm stirrups. Kwa column 4 zinatosha.
Ila Mimi siyo engineer. But basically nimeona nyumba IPO fresh mwaka wa 14 na columns Zina 4 rebars.
Kaka kwanza shukrani sana kwa kureply maana najua una uzoefu mkubwa sana na maghorofa/ujenzi in general kupitia post zako nyingi nilizosoma hebu ngoja kwanza kwenye huo mjengo ambao so far upo fresh unasema zilitumika 4 kwenye column hizo zilikuwa za mm 12 au 16? again shukran sana mkuu kwa kureply
 
Kaka kwanza shukrani sana kwa kureply maana najua una uzoefu mkubwa sana na maghorofa/ujenzi in general kupitia post zako nyingi nilizosoma hebu ngoja kwanza kwenye huo mjengo ambao so far upo fresh unasema zilitumika 4 kwenye column hizo zilikuwa za mm 12 au 16? again shukran sana mkuu kwa kureply
Wabongo ni mabingwa wakutumia reinforcement kuubwa kwenye majengo ya kawaida.
 
Kaka kwanza shukrani sana kwa kureply maana najua una uzoefu mkubwa sana na maghorofa/ujenzi in general kupitia post zako nyingi nilizosoma hebu ngoja kwanza kwenye huo mjengo ambao so far upo fresh unasema zilitumika 4 kwenye column hizo zilikuwa za mm 12 au 16? again shukran sana mkuu kwa kureply
Zilikuwa 12mm, na stirrups za 8mm.
 
Msingi wa ghorofa gharama yake tu ni sawa sawa umeweza kusimamisha nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu yani isimame boma lake ukapiga renta kabisa, ukaweka na paa na nondo madirishani na ukaminina na jamvi kabisa na ukamalizia plasta ya kwa ndani tu[emoji1787]
Kama million ngapi hapo kwa hesabu za haraka?
 
Msingi wa ghorofa gharama yake tu ni sawa sawa umeweza kusimamisha nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu yani isimame boma lake ukapiga renta kabisa, ukaweka na paa na nondo madirishani na ukaminina na jamvi kabisa na ukamalizia plasta ya kwa ndani tu[emoji1787]
Ni kweli kabisa. Msingi wa ghorofa unakula 30m - 40m.
 
Finishing ni cha mtoto Mkuu kwa Nondo,Cement na Kokoto za Slab.
Uzuri finishing ina optins nyingi sana hivyo ni rahisi kucheza nazo upunguze cost sasa slab options zinategemea design ya mhandisi/fundi mchundo ambapo napo huwa hamna option nyingi na finishing unaweza acha kwanza ukahamia au ukafanya kwa awamu hivyohivyo lakin kwenye slab ni ngumu kupata options kama hizo
 
With this nadhani hujajenga ghorofa bado

Finishing ni 3X kujenga pagala mzee.....
Mwaka jana Namwaga kokoto ya nyeusi gari kubwa ile 2M .. hapo unahitaji trip 4 au tano kwa ajili ya msingi ... Cement grade ya juu namba 40 sijui 42 ratio kali ..kwa ufupi nyumba ya ghorofa moja msingi wa maana unaweza maliza 50M hapo hujamwaga jamvi
 
Mwaka jana Namwaga kokoto ya nyeusi gari kubwa ile 2M .. hapo unahitaji trip 4 au tano kwa ajili ya msingi ... Cement grade ya juu namba 40 sijui 42 ratio kali ..kwa ufupi nyumba ya ghorofa moja msingi wa maana unaweza maliza 50M hapo hujamwaga jamvi
sasa kama kokoto ya 2m per trip inakushinda,then bati ya nabaki africa kipande ni 44k na vipande ni 1,500pcs hiyo 66mil bado mbao za paa au metal channels na kupaua,then hili paa litakushinda kabisa

Bado hujafanya blundering aidha kwa treat mbao ya sao hill au metal channels,nigga hukatizi hapo

Marble nyumba nzima square meter ni 400,000tzs,nigga hukatizi

Machoo hupiti kabisa,jiko huingii...dirisha za rimless glass total ni zaidi ya 200mil,air conditioning system pamoja na ventilation,mzee acha kungea kirahisi namna hii
 
sasa kama kokoto ya 2m per trip inakushinda,then bati ya nabaki africa kipande ni 44k na vipande ni 1,500pcs hiyo 66mil bado mbao za paa au metal channels na kupaua,then hili paa litakushinda kabisa

Bado hujafanya blundering aidha kwa treat mbao ya sao hill au metal channels,nigga hukatizi hapo

Marble nyumba nzima square meter ni 400,000tzs,nigga hukatizi

Machoo hupiti kabisa,jiko huingii...dirisha za rimless glass total ni zaidi ya 200mil,air conditioning system pamoja na ventilation,mzee acha kungea kirahisi namna hii
Did I say imenishinda mzee ?! Kwa ufupi mjengo upo hapa kwa sasa
 

Attachments

  • Screenshot_20240509-071258_Gallery.jpg
    Screenshot_20240509-071258_Gallery.jpg
    542.9 KB · Views: 24
sasa kama kokoto ya 2m per trip inakushinda,then bati ya nabaki africa kipande ni 44k na vipande ni 1,500pcs hiyo 66mil bado mbao za paa au metal channels na kupaua,then hili paa litakushinda kabisa

Bado hujafanya blundering aidha kwa treat mbao ya sao hill au metal channels,nigga hukatizi hapo

Marble nyumba nzima square meter ni 400,000tzs,nigga hukatizi

Machoo hupiti kabisa,jiko huingii...dirisha za rimless glass total ni zaidi ya 200mil,air conditioning system pamoja na ventilation,mzee acha kungea kirahisi namna hii
Na usikariri material mazuri hayapo Nabaki pekee
 
Back
Top Bottom