Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hongera mkuu. Mdogo mdogo ndio mwendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mchanga usiguswe,,kwanza naweka mibaMajirani tunashukuru kuletea mchanga wa kusugulia vyombo[emoji23][emoji23][emoji23]
Hee[emoji2962]mkuu ghafla ushakuwa spaiKuna ka'ID nimekaona humu kanafanana na ID yangu, ebu ngoja nianze kukafuatilia polepole tuone...[emoji39]
mkuu mbn resi sana,,twende mdogomdogoLeta na ramani yake
[emoji2296][emoji2357]duh kwaiyo unataka kusemaje mkuu?najihisi tumbo la kuhara ghaflaKatika ujenzi wa ghorofa msingi ndio unakula pesa na ndio muhimu na kitu cha gharama sana ni NONDO na kokoto nyeusi za lugoba anza hapo kwanza ..mchanga unapatikana muda wowote kwa bei rahisi
Hapana mkuu, Mabutu.Tena azisuke twende kilioni.
Oooh..."butus"?Like a super doll!Hapana mkuu, Mabutu.
Hapana babu ni kijogooHapana mkuu, Mabutu.
Rasta za kibu denisi.Hapana babu ni kijogoo
[emoji2296][emoji2357]duh mkuu mbona km unaniongezea tumbo la kuharaMsingi wa ghorofa gharama yake tu ni sawa sawa umeweza kusimamisha nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu yani isimame boma lake ukapiga renta kabisa, ukaweka na paa na nondo madirishani na ukaminina na jamvi kabisa na ukamalizia plasta ya kwa ndani tu[emoji1787]
Inategemeana lakini unapandisha floor ngapi, hapana usiogope ni kupeana uhalisia tu si ndiyo maana ya kupata ushauri wa hapa na pale ili ujue jambo unalotaka kufanya ujipange[emoji2296][emoji2357]duh mkuu mbona km unaniongezea tumbo la kuhara
Trip 1 ya mchanga bei gani?Wakuu haya haya haya amkeni kumekuchwa
Msiseme sikuwaambia
Hatimaye nimeanza kutimiza ile ndoto ya kujenga ghorofa na kwa kuanzia nimeshaleta kifusi kimoja cha mchanga.
Nilipata kijisenti hapa kati nikaona si vibaya nilete trip ya mchanga kama hatua ya mwanzo.
Wakuu hata mbuyu ulianza ivi ivi kama mchicha
Nakaribisha mawazo chanya kwa ujenzi huu
Haters[emoji2958][emoji2958][emoji706][emoji706]
mkuu mbona unaandika kama mchanga hauna umuhim wakati iyo nayo ni binder muhim ya tofaliTr
Trip 1 ya mchanga bei gani?
mkuu mbona unaandika kama mchanga hauna umuhim wakati iyo nayo ni binder muhim ya tofalia
Mmenikumbusha utoto, jirani akileta mchanga inakuwa ni uwanja wa sarakasi mpaka mchanga wote unasambaa na kupotea! Ndio wakaanza kuweka miba,mchanga usiguswe,,kwanza naweka miba