jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Bado petrol stations za katikati ya makazi ya watu kulipuka. Sisi ni mpaka jambo litokee ndio tunaelewa.
Yaani tunaishi kama Digi digi kwenye nchi yetu wenyewe jamani.kwani wahusika hawapo??