jimama26 JF-Expert Member Joined Jul 30, 2013 Posts 2,839 Reaction score 2,963 Nov 17, 2024 #61 Bado petrol stations za katikati ya makazi ya watu kulipuka. Sisi ni mpaka jambo litokee ndio tunaelewa. Miss Natafuta said: Yaani tunaishi kama Digi digi kwenye nchi yetu wenyewe jamani.kwani wahusika hawapo?? Click to expand...
Bado petrol stations za katikati ya makazi ya watu kulipuka. Sisi ni mpaka jambo litokee ndio tunaelewa. Miss Natafuta said: Yaani tunaishi kama Digi digi kwenye nchi yetu wenyewe jamani.kwani wahusika hawapo?? Click to expand...
K Kajunjumelle JF-Expert Member Joined Aug 13, 2024 Posts 220 Reaction score 239 Nov 17, 2024 #62 Miss Natafuta said: Yaani tunaishi kama Digi digi kwenye nchi yetu wenyewe jamani.kwani wahusika hawapo?? Click to expand... Wapo likizo
Miss Natafuta said: Yaani tunaishi kama Digi digi kwenye nchi yetu wenyewe jamani.kwani wahusika hawapo?? Click to expand... Wapo likizo
K Kajunjumelle JF-Expert Member Joined Aug 13, 2024 Posts 220 Reaction score 239 Nov 17, 2024 #63 Miss Natafuta said: Jana nimeponea chupuchupi.nimekuja huku kumbe wadau walishaongea kwa kirefu huku.majengo yanavunjwa bila mpangilio hakuna hata alama ya hatari.wanaovunja huko juu ni vibaka Tu hawana hata safety gear.sijui wamevuta bange au nini ukiangukiwa na kitu utajua mwenyewe. Kwani hii nchi haina utaratibu?? KERO - Ujenzi wa maeneo mengi ya Kariakoo hauzingatii usalama wa Watu na mali zao, hatua zichukuliwe tusisubiri majanga Click to expand... Bongo mamlaka ni Kama mbuzi tu hasikii mpk akishapikwa supu
Miss Natafuta said: Jana nimeponea chupuchupi.nimekuja huku kumbe wadau walishaongea kwa kirefu huku.majengo yanavunjwa bila mpangilio hakuna hata alama ya hatari.wanaovunja huko juu ni vibaka Tu hawana hata safety gear.sijui wamevuta bange au nini ukiangukiwa na kitu utajua mwenyewe. Kwani hii nchi haina utaratibu?? KERO - Ujenzi wa maeneo mengi ya Kariakoo hauzingatii usalama wa Watu na mali zao, hatua zichukuliwe tusisubiri majanga Click to expand... Bongo mamlaka ni Kama mbuzi tu hasikii mpk akishapikwa supu
N Nyakijooga JF-Expert Member Joined Dec 9, 2018 Posts 276 Reaction score 473 Nov 20, 2024 #64 Kama mamlaka husika zingekuwa zinafuatilia na kuwajibika ipasavyo kuna mambo mengi uletwa hapa jukwaani kama utani lakini yakishatokea ndio tunaanza kuelewana
Kama mamlaka husika zingekuwa zinafuatilia na kuwajibika ipasavyo kuna mambo mengi uletwa hapa jukwaani kama utani lakini yakishatokea ndio tunaanza kuelewana