DOKEZO Ujenzi wa maeneo mengi ya Kariakoo hauzingatii usalama wa Watu na mali zao, hatua zichukuliwe tusisubiri majanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Bongo mamlaka ni Kama mbuzi tu hasikii mpk akishapikwa supu
 
Kama mamlaka husika zingekuwa zinafuatilia na kuwajibika ipasavyo kuna mambo mengi uletwa hapa jukwaani kama utani lakini yakishatokea ndio tunaanza kuelewana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…