Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ni muislamu mkuuwagalatia kwanini munateseka na uislamu?
mimi ni muislamu mkuu
Kwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?ninashaka na uislamu wako
Oil chafu haichafuliwi kamanda bali yenyewe tu ni chafu always ndivyo mlivyo sheikh!"Umetumwa kutuchafua?"
kisa nimeongea ukwelininashaka na uislamu wako
duh!Hapo ndipo utajua huyo Mungu hayupo na hizi ni biashara za watu tu.
Watu wanapiga mpaka kwenye ujenzi wa nyumba za kumuabudu Mungu?
Na wanadunda tu?
pale manyoni kuelekea itigi anzia kijiji cha aghondi, mabondeni na kitopeni kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara hapa na hapa vinafanana ujenzi wake havina wa kusali. Kwanza maeneo hayo hakuna uislam bora hiyo misikiti waifanye maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani kwa wanakijiji kuliko kuwa mapagara ya popo na mijusi. Cha ajabu wamejenga misikiti mahali ambapo uislam hauna mvuto na hauhitajikijana nilikuwa natoka tabora naelekea dodoma nilipofika mpakani mwa manyoni na singida nilishangaa sana yaani kila hatua 100 kuna msikiti mpya, misikiti yenyewe imefungwa haina watu..nilisikitika sana ....
Una hoja....Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
View attachment 2884421
Sasa wafadhili wataionaje wakijenga nje ya barabarapale manyoni kuelekea itigi anzia kijiji cha aghondi, mabondeni na kitopeni kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara hapa na hapa vinafanana ujenzi wake havina wa kusali. Kwanza maeneo hayo hakuna uislam bora hiyo misikiti waifanye maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani kwa wanakijiji kuliko kuwa mapagara ya popo na mijusi. Cha ajabu wamejenga misikiti mahali ambapo uislam hauna mvuto na hauhitajiki
Kashfa hizo Sasa.asilimia 70 ya waislamu ni wapumbavu haya njoo unipige
wanajenga mpaka porini, huko porini imamu gani anaishi huko? Wachafu wataigeuza choo na kuijaza vinyesiSasa wafadhili wataionaje wakijenga nje ya barabara