LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
wanajenga mpaka porini, huko porini imamu gani anaishi huko? Wachafu wataigeuza choo na kuijaza vinyesiSasa wafadhili wataionaje wakijenga nje ya barabara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanajenga mpaka porini, huko porini imamu gani anaishi huko? Wachafu wataigeuza choo na kuijaza vinyesiSasa wafadhili wataionaje wakijenga nje ya barabara
Hata mmoja wa kiswali hakosekaniwanajenga mpaka porini, huko porini imamu gani anaishi huko? Wachafu wataigeuza choo na kuijaza vinyesi
Rais mjinga na mpumbavu kumzidi Nyerere na mkapa nchi hiiHuwezi ukafananisha utawala wa wagalatia na wavaa kanzu , wavaa kanzu hawafai hata kuwa meneja wa bar tukianzia Kwa yule 2,4 na huyu wa 6 ...so ni kweli hawana akili
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
unaona sasa, huu ndio upumbavu wenyewe mimi naangalia maendeleo ya jamii nzima wewe unaangalia maendeleo ya mtu mmojammojaKashfa hizo Sasa.
Mkristo Gani anamiliki kiwanda nchini
Naam, umeniita? Tatizo nini?
Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
View attachment 2884421
Huyo mfadhili anayetowa pesa kumpa mtu ajengewe msikiti ni poyoyo.Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
View attachment 2884421
...tunajuwa DINI ni BIASHARA.....JMKNdugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
View attachment 2884421
unaijua swadakatul jaalia wewe?Huyo mfadhili anayetowa pesa kumpa mtu ajengewe msikiti ni poyoyo.
Ipo pia kwenye njia ya Singida Babati. Ramani ni hiyo hiyo nadhani Taasisi iliyofadhili ni moja.jana nilikuwa natoka tabora naelekea dodoma nilipofika mpakani mwa manyoni na singida nilishangaa sana yaani kila hatua 100 kuna msikiti mpya, misikiti yenyewe imefungwa haina watu..nilisikitika sana ....
[emoji16][emoji16]Kwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?
Hii inadhihilisha namna gani majority yenu ni ngumbaru na wachache sana wenye akili timamu za kupambanua mambo katika hiyo dini yenu!
Hivi jamani naomba kuuliza hivi singida ukiichunguza din ipi ni wengi pale coz kidogo siielewagi mkoa ule, mikoa mingine unajua tu kwa kuchunguza tu, nyie wenzangu mkichunguza mnagundua dini ipi ni wengi pale?coz sijawahi kufika huko singidapale manyoni kuelekea itigi anzia kijiji cha aghondi, mabondeni na kitopeni kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara hapa na hapa vinafanana ujenzi wake havina wa kusali. Kwanza maeneo hayo hakuna uislam bora hiyo misikiti waifanye maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani kwa wanakijiji kuliko kuwa mapagara ya popo na mijusi. Cha ajabu wamejenga misikiti mahali ambapo uislam hauna mvuto na hauhitajiki
Nataka nijue kama mtoa mada yuko sahihiNaam, umeniita? Tatizo nini?
niko sahii mkuu, ila mpumbavu sikuzote hapendi ukimuambia ukweli ni vita ,,....bora ukutane na mkiristo mjinga.Nataka nijue kama mtoa mada yuko sahihi
anzia wilaya ya iramba na mkalama kule ni wakristo, mjini kiomboi siku ya jumapili shughuli nyingi hazifanyiki pamepoa kama moshi mkoani kilimanjaro. Iramba kuna ulitheri mwingi na madhehebu mengine yapo. Waislam ni wachache. Wilaya ya singida, jimbo la singida kaskazini ndio kuna waislam wengi, ilongero na mtinko. Singida magharibi huko sepuka kuna waislam wengi, wanapungua upande wa puma na ihanja japo kuna misikiti. Jimbo la singida mashariki kuna wakristo wengi ikungi, isuna, makiungu na mkiwa. Wilaya ya manyoni, manyoni mashariki wakristo ni wengi, waanglican, kilimatinde, solwa, kintiku, chikola na heka. Manyoni magharibu, itigi wakristo ni wengi kuliko waislam. Mkoa wa singida robo tatu ni wakristoHivi jamani naomba kuuliza hivi singida ukiichunguza din ipi ni wengi pale coz kidogo siielewagi mkoa ule, mikoa mingine unajua tu kwa kuchunguza tu, nyie wenzangu mkichunguza mnagundua dini ipi ni wengi pale?coz sijawahi kufika huko singida
singida kaskazini ndio kuna uislam mwingi. Manyoni/itigi wamisionari walifika huko pamoja na kule irambaHivi jamani naomba kuuliza hivi singida ukiichunguza din ipi ni wengi pale coz kidogo siielewagi mkoa ule, mikoa mingine unajua tu kwa kuchunguza tu, nyie wenzangu mkichunguza mnagundua dini ipi ni wengi pale?coz sijawahi kufika huko singida
Hii ni kinyume chake.asilimia 70 ya waislamu ni wapumbavu haya njoo unipige
Muislamu jina.mimi ni muislamu mkuu
Hiyo barabara naifaham vzuri, na unachokisema ni ukweli.jana nilikuwa natoka tabora naelekea dodoma nilipofika mpakani mwa manyoni na singida nilishangaa sana yaani kila hatua 100 kuna msikiti mpya, misikiti yenyewe imefungwa haina watu..nilisikitika sana ....