Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni waturuki au watu kuwait mkuuMambo ya kujiongeza
Waturuki waliliwa sana hela zao
Naona sahv wameamua kukoma wenyewe
Ova
Kwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?
Hii inadhihilisha namna gani majority yenu ni ngumbaru na wachache sana wenye akili timamu za kupambanua mambo katika hiyo dini yenu!
wewee weweee😁😁 mimi nimesoma madrasa miaka saba...utajengaje misikiti mingi kwenye eneo lisilokuwa na huduma za kijamii kama maji, shule au zahanati......ina maana hakuna waislamu madaktari na manesi?..waalimu je? mbona tupo wengi sana..Imani yoyote hua na misingi yake, unapoanza kuhoji misingi ya Imani yako ni wazi tu kuwa wewe hupo pamoja nao tena.
Upo sahihi Mkuu hasa kwa upande wa Singida DC yani misikiti mingi aitumika hasa ile yenye langi ya nyuepe na kijana sijui mfadhili alikosea wap au waumini wanashida gani na iyo Misikitirafiki yangu james alikuwa hafahamu kuwa na mimi ni muislamu, siku moja tulikuwa tunapiga story akaniambia hivi " Mwizukulu mgikuru unafahamu kuwa waislamu huwa hawana akili za darasani, akawa ananipa mifano ya watu wa zanzibar na pwani wanavyopata zero darasani.....jana nilivyokuwa napita pale singida nikitizama na ujenzi wa misikiti kila hatua 100 , nilisikitika sana nilipoyakumbuka maneno ya james.....
upigaji tuUpo sahihi Mkuu hasa kwa upande wa Singida DC yani misikiti mingi aitumika hasa ile yenye langi ya nyuepe na kijana sijui mfadhili alikosea wap au waumini wanashida gani na iyo Misikiti
wavaa kanzu wa pwan ndo akili ziro wa bara wana akili unless wawe wale wa itikadi kali answar sunni wale daah sioHuwezi ukafananisha utawala wa wagalatia na wavaa kanzu , wavaa kanzu hawafai hata kuwa meneja wa bar tukianzia Kwa yule 2,4 na huyu wa 6 ...so ni kweli hawana akili
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
wana jazba sana wanakosa hekima na busarawavaa kanzu wa pwan ndo akili ziro wa bara wana akili unless wawe wale wa itikadi kali answar sunni wale daah sio
kwao na akina mwigulu😁pale manyoni kuelekea itigi anzia kijiji cha aghondi, mabondeni na kitopeni kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara hapa na hapa vinafanana ujenzi wake havina wa kusali. Kwanza maeneo hayo hakuna uislam bora hiyo misikiti waifanye maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani kwa wanakijiji kuliko kuwa mapagara ya popo na mijusi. Cha ajabu wamejenga misikiti mahali ambapo uislam hauna mvuto na hauhitajiki
jenga hata kisima...zungushia uzio andika maneno ya kiarabu ili uendelee kupiga helaSasa wafadhili wataionaje wakijenga nje ya barabara
KuwaitiHivi ni waturuki au watu kuwait mkuu
Watu wa Kuwait waliliwaaaHivi ni waturuki au watu kuwait mkuu
Watu wa mnyaz mungu muda mwingine wanafikiria kwa kutumia makalioKwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?
Hii inadhihilisha namna gani majority yenu ni ngumbaru na wachache sana wenye akili timamu za kupambanua mambo katika hiyo dini yenu!
Upigaj kila kona mamayeWatu wa Kuwait waliliwaaa
Wakaja wakashtuka
Wakaja nao waturuki waliliwa sana
Sahv nao wameshtuka kuna msikiti ulikuwa unajengwa kwa ufadhili wao
Uko njia unapita makabe...dah msikiti
Ulikuwa haushi watu wamejipigia San pesa pale mpaka kuja kushtuka dah
Ova
Hahaaaaa, utapigwa kweli.asilimia 70 ya waislamu ni wapumbavu haya njoo unipige
wewee weweee😁😁 mimi nimesoma madrasa miaka saba...utajengaje misikiti mingi kwenye eneo lisilokuwa na huduma za kijamii kama maji, shule au zahanati......ina maana hakuna waislamu madaktari na manesi?..waalimu je? mbona tupo wengi sana..
Sasa kama mfadhili ndio anataka kujenga msikiti wewe ni nani umpangie anachotaka kufanya?Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.
Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.
Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.
View attachment 2884421