Ujenzi wa misikiti ni kichaka cha upigaji wa fedha za wafadhili

Ujenzi wa misikiti ni kichaka cha upigaji wa fedha za wafadhili

Kwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?
Hii inadhihilisha namna gani majority yenu ni ngumbaru na wachache sana wenye akili timamu za kupambanua mambo katika hiyo dini yenu!

Imani yoyote hua na misingi yake, unapoanza kuhoji misingi ya Imani yako ni wazi tu kuwa wewe hupo pamoja nao tena.
 
Imani yoyote hua na misingi yake, unapoanza kuhoji misingi ya Imani yako ni wazi tu kuwa wewe hupo pamoja nao tena.
wewee weweee😁😁 mimi nimesoma madrasa miaka saba...utajengaje misikiti mingi kwenye eneo lisilokuwa na huduma za kijamii kama maji, shule au zahanati......ina maana hakuna waislamu madaktari na manesi?..waalimu je? mbona tupo wengi sana..
 
rafiki yangu james alikuwa hafahamu kuwa na mimi ni muislamu, siku moja tulikuwa tunapiga story akaniambia hivi " Mwizukulu mgikuru unafahamu kuwa waislamu huwa hawana akili za darasani, akawa ananipa mifano ya watu wa zanzibar na pwani wanavyopata zero darasani.....jana nilivyokuwa napita pale singida nikitizama na ujenzi wa misikiti kila hatua 100 , nilisikitika sana nilipoyakumbuka maneno ya james.....
Upo sahihi Mkuu hasa kwa upande wa Singida DC yani misikiti mingi aitumika hasa ile yenye langi ya nyuepe na kijana sijui mfadhili alikosea wap au waumini wanashida gani na iyo Misikiti
 
Huwezi ukafananisha utawala wa wagalatia na wavaa kanzu , wavaa kanzu hawafai hata kuwa meneja wa bar tukianzia Kwa yule 2,4 na huyu wa 6 ...so ni kweli hawana akili

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
wavaa kanzu wa pwan ndo akili ziro wa bara wana akili unless wawe wale wa itikadi kali answar sunni wale daah sio
 
pale manyoni kuelekea itigi anzia kijiji cha aghondi, mabondeni na kitopeni kuna vimisikiti vingi vimejengwa kando ya barabara hapa na hapa vinafanana ujenzi wake havina wa kusali. Kwanza maeneo hayo hakuna uislam bora hiyo misikiti waifanye maghala ya kuhifadhia mazao ya mashambani kwa wanakijiji kuliko kuwa mapagara ya popo na mijusi. Cha ajabu wamejenga misikiti mahali ambapo uislam hauna mvuto na hauhitajiki
kwao na akina mwigulu😁
 
Hivi ni waturuki au watu kuwait mkuu
Watu wa Kuwait waliliwaaa

Wakaja wakashtuka

Wakaja nao waturuki waliliwa sana

Sahv nao wameshtuka kuna msikiti ulikuwa unajengwa kwa ufadhili wao
Uko njia unapita makabe...dah msikiti
Ulikuwa haushi watu wamejipigia San pesa pale mpaka kuja kushtuka dah

Ova
 
Kwahiyo mtu akihoji sitofahamu katika dini yenu anatiliwa shaka kua Sio Muslim au Sio sheikh?
Hii inadhihilisha namna gani majority yenu ni ngumbaru na wachache sana wenye akili timamu za kupambanua mambo katika hiyo dini yenu!
Watu wa mnyaz mungu muda mwingine wanafikiria kwa kutumia makalio
 
Watu wa Kuwait waliliwaaa

Wakaja wakashtuka

Wakaja nao waturuki waliliwa sana

Sahv nao wameshtuka kuna msikiti ulikuwa unajengwa kwa ufadhili wao
Uko njia unapita makabe...dah msikiti
Ulikuwa haushi watu wamejipigia San pesa pale mpaka kuja kushtuka dah

Ova
Upigaj kila kona mamaye
Nji hii wasilam wakiristo wote baba moya ufisadi..walosoma wasiosoma wote baba moya upigaj
Watawala na watawaliwa wote pigaji

Taifa litaendelea kwel hapo??
 
wewee weweee😁😁 mimi nimesoma madrasa miaka saba...utajengaje misikiti mingi kwenye eneo lisilokuwa na huduma za kijamii kama maji, shule au zahanati......ina maana hakuna waislamu madaktari na manesi?..waalimu je? mbona tupo wengi sana..

kila mtu acheze mechi zake, kwanini umlazimishe ajenge shule? kila mtu atatoa kwa kufanya anachokitaka yeye, hiyo shule kwanini usijenge wewe?
 
Acha watujengee misikiti tufe na elimu ya madufu, hii ya dunia hatuiwezi...
 
Ndugu zangu waislamu, nimekuwa nikitembea maeneo mengi sana, misikiti inajengwa hata sehemu kusipokuwa na waumini wa kuswali ndani ya misikiti hiyo.

Muda wote inakaa imefungwa tu, misikiti imekuwa ni nyumba za popo. Misikiti hii mingi inajengwa kwa fedha zinazotolewa na wafadhili.

Vipo vitu vingi vya kujenga na M/Mungu akatulipa kama sadaka inayoendelea endapo tutaondoka katika dunia hii, mfano visima, mashule, na hospitali, lakini kuna waislamu wenzangu wanapopewa pesa na wafadhiri ili kuimarisha miradi ya waislamu, lakini kinachofanyika ni upigaji wa fedha za wafadhiri inatolewa milioni 50 unajengwa msikiti wa milioni 15 pesa yote inayobaki inaishia kwenye mifuko ya kanzu.

View attachment 2884421
Sasa kama mfadhili ndio anataka kujenga msikiti wewe ni nani umpangie anachotaka kufanya?
 
mimi naomba kujua taasisi zinazotoa misaada ya kujenga misikiti vijijini...... Vile vile naomba kujua taasisi zinazotoa ufadhili wa kuwalipa mshahara walimu wa madrasa... Maana kijijini kwetu elimu ya dini na sehemu ya kufanyia ibada ni mtihani shekhe wangu...
 
Back
Top Bottom