Ujenzi wa mradi wa barabara nane Kimara-Kibaha umekwama kwa sababu serikali haina pesa ya kumlipa mkandarasi?!

Ujenzi wa mradi wa barabara nane Kimara-Kibaha umekwama kwa sababu serikali haina pesa ya kumlipa mkandarasi?!

Ukweli ni kwamba huo mradi umekwama na hauendelei tena kwa kasi ile ya kipindi cha JPM.

Mkandarasi inasemekana hajalipwa pamoja na kupeleka certificate karibia tatu za kuomba alipwe na halipwi!

Ukweli na usemwe makusanyo ya kodi yamepungua maradufu ndiyo maana malipo ya miradi mingi imekwama.
Jamani muwe mnnacha uongo kila leo watu wengi tunapita hiyo barabara tunaona wazi mradi unaendelea vyema na sasa wanachora na kweka alama .......pita ujionee muache kuongea uongo jamani....hiyo barabara imekamilika 90% msiwadanganye watu mkidhani awaoni au kutumia hiyo barabara
 
Ukweli ni kwamba huo mradi umekwama na hauendelei tena kwa kasi ile ya kipindi cha JPM.

Mkandarasi inasemekana hajalipwa pamoja na kupeleka certificate karibia tatu za kuomba alipwe na halipwi!

Ukweli na usemwe makusanyo ya kodi yamepungua maradufu ndiyo maana malipo ya miradi mingi imekwama.
Hata isipoisha sawa tu. Hiyo barabara ni ya dhuluma. Haina mvuto hata design yake ya hovyo kabisa.. hata ikiisha itabomoka kama hamtalipa wale mliowadhulumu.
 
Majuzi kati nimewaona wana blow lanes na kuchora mistari nikahisi wanakamilisha hatua za mwisho za ujenzi
mkuu bora useme wewe watu aina hii ndio wanaifanya jf ionekane eneo la kuzusha habari....mradi huu umesha kamilika kabisa na sasa wanaweka alama na kumalizia barabara za maingiliano........humu waongo wengi
 
Pesa inakwama vipi si tunajenga kwa fedha zetu za ndani
 
Ukweli ni kwamba huo mradi umekwama na hauendelei tena kwa kasi ile ya kipindi cha JPM.

Mkandarasi inasemekana hajalipwa pamoja na kupeleka certificate karibia tatu za kuomba alipwe na halipwi!

Ukweli na usemwe makusanyo ya kodi yamepungua maradufu ndiyo maana malipo ya miradi mingi imekwama.
Dikteta kichaa kawavunjia nyumba watu, kuwalipa hajawalipa, na mradi umekwama,

Laana ya nyumba za kimara imeenda na pumzi yake
 
Hata isipoisha sawa tu. Hiyo barabara ni ya dhuluma. Haina mvuto hata design yake ya hovyo kabisa.. hata ikiisha itabomoka kama hamtalipa wale mliowadhulumu.
Pumbavu nyie mliuziwa viwanja na watu bilakufanya utafiti mje mlaumu serkali nyieni nani? mmejaa chukitu za Kikabila mlitaka serkali ilipe fidia Mara mbili? Mtadakia tu mambo wakati ukweli mnaujua kuwa mlitapeliwa na wale waliowauzia maeneo over.
 
mkuu bora useme wewe watu aina hii ndio wanaifanya jf ionekane eneo la kuzusha habari....mradi huu umesha kamilika kabisa na sasa wanaweka alama na kumalizia barabara za maingiliano........humu waongo wengi
🙏✍️
 
Dhambi waliyofanya kwenye huu mradi haitawaacha wahusika wa huu mradi. Kuwavunjia wananchi wasio na hatia nyumba zao bila fidia, halafu kibaya zaidi Ni kwamba sehemu nyumba zilipovunjwa pamebaki bila shughuli yoyote.
Ili kujinasua katika dhambi hii ya uonevu, serikali ya CCM iwape fidia japo hata flat rate ili wahanga hao ambao Kuna wajane na wastaafu wengi wakaanze Maisha mapya sehemu nyingine.
 
Dhambi waliyofanya kwenye huu mradi haitawaacha wahusika wa huu mradi. Kuwavunjia wananchi wasio na hatia nyumba zao bila fidia, halafu kibaya zaidi Ni kwamba sehemu nyumba zilipovunjwa pamebaki bila shughuli yoyote.
Ili kujinasua katika dhambi hii ya uonevu, serikali ya CCM iwape fidia japo hata flat rate ili wahanga hao ambao Kuna wajane na wastaafu wengi wakaanze Maisha mapya sehemu nyingine.
Watu walinunua viwanja eneo la hifadhi, wacheni kulaumu bila facts. Mnajinunulia viwanja bila kufanya uchunguzi matokeo yake ndio hayo, hadi mipaka ilikuwepo..inaonekana.
 
Pumbavu nyie mliuziwa viwanja na watu bilakufanya utafiti mje mlaumu serkali nyieni nani? mmejaa chukitu za Kikabila mlitaka serkali ilipe fidia Mara mbili? Mtadakia tu mambo wakati ukweli mnaujua kuwa mlitapeliwa na wale waliowauzia maeneo over.
Dada sambulugu kwani wewe unaona uchungu gani hao unaosema waliingizwa Chaka wakipewa kifuta machozi?
Kama sio wivu wa kike unaokusumbua Ni kitu gani kingine?
 
Back
Top Bottom