Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madirisha anaweza kuweka ya kawaida ya 120k au 150k.Matofali 1000@1000= 1000000
Cement mifuko 15@15000=225000
Nondo 7@16000=112000
Mabati12@17000=204000
Milango 4@ 250000=1000000
Madirisha 5@ 350,000=1750000
Ufundi mwashi= 1200000
Jumla = 5599000
Hapo sijaweka gharama ya kuchimba choo. Mbao. Fundi wa kupau. Mchanga na maji
.......INAWEZEKANA.........ILA INATEGEMEA NA MAENEO ULIYOPO.......Wadau, mafundi ujenzi, ninaomba msaada, ninayo ardhi kubwa sana, ila nimechoka kupanga na headaches za landlord. Nimejibana nikakuta nina milioni 6, je ninaweza kujenga ka nyumba kadogo
kenye atleast two bedrooms sebule ka jiko n.k. yaani niweze kujenga kumaliza kwa bei hiyo!?,
Asanteni!?
Aaaahas munkar karibu tegetaMmmh! Mkulu kama ni Dar jipange tena! Ujenzi si kitu kidogo unaweza kupata ka heart attack khaa!
Hahahahaaaaa dah hasira sana mkuu [emoji12]Kuna watu unawaskia kwenye media, magazeti mtu kajenga jumba la bilion 2 halafu nakuja hapa nakutana na mtu anajenga nyumba ya Milion 6! Bora ile sayari ya Nibiru igonge dunia tujue moja! Maana hamna namna tena
Huku Namtumbo unajenga,
Mvua zikikata unafytua Tofali za udongo.
Toka kufyatua hadi kuchoma ni 60Tsh.
Bati za msouth bando moja ni 19000 na zinakaa 10
Cement kwa ajili ya sakafu mfuko mmoja ni 16000
Labour charge ni low kwa huku.
Boriti ni 7500
So unaweza kukadiria ukubwa wa kimjengo chako
Doh sifuri more moja imekosekanaweee! Bati la msouth bando moja ni 19,000? na zinakaa 10? cheki vizuri hizo data zako za bei then uniambie nije ninunue huko, maana nimejenga nyumba hapa Mwanza, vyumba 3, sebule, dining na jiko, na vyumba vyote ni self, ila Napata mawazo sana juu ya bei ya Mabati ya msouth kwa hapa mwanza, ipo juu sana,
how much is K..navyofahamu K means * 1000tofali 1m
mbao mnazi 5k
bati 1m
milango 1m
madirisha 5k
fundi kujenga 6k
fundi bati 4k
mawe 4k
cement 6k
ongeza 3 unajenga nyumba ya vyumba 2 sebure choo na jiko kijijini kwetu.