ukiongelea nyumba manake unaongelea
-msingi (matofali, kifusi, mchanga, cement,kokoto)
-lintel/beams (mchanga, kokoto, cement)
-boma (tofali, cement, mchanga)
-plaster (mchanga, cement)
-rangi (gypsum powder, rangi nk)
-upauaji (mbao, bati, misumari nk)
-umeme (mfumo wa umeme, switch, sockets etc)
-maji (mfumo wa maji, fittings)
-floor (floor ya kawaida, tiles mbal etc)
-ceiling (blundering, gypsum/plywood)
-madirisha (grilles, aluminium/mbao)
-milango (frame, milango, vitasa, bawaba, grille doors)
-tanesco (kuunganisha umeme)
-mfumo wa maji taka (chamber, mabomba, septic/soak away pit)
-kuna swala mambo mengine kama usafiri (materials), maji, ulinzi, hifadhi/store, umeme wa kuazima, usimamizi nk.
kwa 6m unajenga nyumba ila labda hatua za mwanzoni.
kama huna haraka unaweza anza itakupunguzia ukiwa unaendelea.