Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Huo mzigo uliogunduliwa Congo ni mwingi sana miaka mingi mno. Na thamani ya cobalt imepanda kwa kuwa inatumika kwenye vifaa vyote vya umeme. Pia kutengenezea betri za lithium ion za magari ya umeme. Kwa hiyo mzigo wa cobalt ulipo Katanga congo ni mwingi sana. Pia bado kuna mzigo wa Copper kama wote huko Congo miaka mingi mno.Siku hayo Madini ya copper na cobalt yakiisha au kupungua ardhini huko zambia utahamisha mataruma?
Aisee yaani tumekula hasara kizembe mizigo mingi mno ipo Zambia na Congo.Unamlaumu jamaa bure. Hayuko katika nafasi za maamuzi. Ni sawa na mimi ninavotamani SGR ingefika Dodoma na kula kona kwenda Tunduma! Mizigo ya Rwanda, Burundi na mashariki ya DRC ingechukuliwa Dodoma au MGR ingeimarishwa kutoka hapo kwenda Mwanza na Kigoma!
Nimebaki kuwa na matamanio tu na siwezi kuwa na maamuzi juu ya hilo.
Barabara na reli ya kawaida akutoka Tabora ingetosha kuhudumia mizigo ya a mwanza na uganda. Ushamba tu.Jiji la pili kwa ukubwa Tanzania linaitwaje?
Unajua kwa nini daraja la Kigongo busisi linajengwa?
Unajua kwa nini meli kubwa sana inajengwa ziwa victoria?
Unajua Uganda wanapitishia wapi mizigo yao?
Unaijua population ya kanda ya ziwa?
In short huna akili kabisa
Mzigo wa Rwanda, Congo DRC, na Zambia unaoingia kupitia bandari kwa mwaka ni tani ngapi kwa kila mmoja?Zambia ndio wameuza nchi yao kwa wachina. Kumbuka mambo huenda yakibadilika. Rwanda na Burundi utaziona mzigo wake reli itakapokamilika.
Hii tabia ya kulalamika haitufikishi popote, zaidi ya kujionyesha namna gani tusivyo na ubunifu vichwani.
Nenda kwa Port Manager Erick Hamis pale TPA atakupa data za wakati huu.Mzigo wa Rwanda, Congo DRC, na Zambia unaoingia kupitia bandari kwa mwaka ni tani ngapi kwa kila mmoja?
😂Hii Msukuma alikuwa anawapelekea ndugu zake.
Nchi husika zitajenga Barabara na reli zao kutoka migodi ni Kuja mpakani na tz na tz itajenga Barabara Kuja Tabora iliko bandariHuo mzigo uliogunduliwa Congo ni mwingi sana miaka mingi mno. Na thamani ya cobalt imepanda kwa kuwa inatumika kwenye vifaa vyote vya umeme. Pia kutengenezea betri za lithium ion za magari ya umeme. Kwa hiyo mzigo wa cobalt ulipo Katanga congo ni mwingi sana. Pia bado kuna mzigo wa Copper kama wote huko Congo miaka mingi mno.
Kila mjinga leo anatoa ushauri wa kichekesho.Kwa nini? Inatakiwa tuwe na treni kila mahali, hili kuzuia uaribifu wa barabara zetu. Kuna vitu vingine vya kuzuia. Bwawa la Nyerere, Daraja lq busisi. Madaraja ya kupishania magari nk..
Nchi husika zitajenga Barabara na reli zao kutoka migodi ni Kuja mpakani na tz na tz itajenga Barabara Kuja Tabora iliko bandari
Ni hujuma tu na usimamizi mbovu. Hiyo reli ya Tazara mchina aliijenga ili achukue copper ya zambia apeleke kwenye viwanda vya china. Na ndio maana wachina wanaviwanda vya vifaa vya umeme. Ni hujuma tu. Ila tukiwa na SGR inayopita karibu na migodi ya Copper na Cobalt ya Zambia na DRC congo halafu hiyo reli ikasimamiwa vizuri mizigo mingi mno itapita kwenye reli na pesa itarudi.
Utekelezaji wa huu mradi umekuwa wa kisiasa. Ndio maana wameenda kujenga kipande cha mwisho kinachoenda mwanza kabla ya kujenga cha katikati.Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.
Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.
Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.
Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Mizigo mingi inapita Africa kusini kutokana na efficiency ya Bandari zao. Pia Angola wanataka kujenga reli kutoka Katanga Congo kupitia Zambia copper belt kuelekea bandari ya Angola(port Lobito) kwa hiyo bado kuna ushindani toka Angola unakuja...lakini reli ya Tazara imefika mpaka Kapiri Mposhi Zambia.
..Na hapo Kapiri Mposhi Tazara inaungana na reli inayotoa Copper Belt ambayo inafika ktk mpaka wa Zambia na DRC.
..jambo la msingi ni kuwa na reli, masuala ya GAUGE ni secondary.
NB:
..Standard Gauge Rail / SGR ni 1435 mm.
..Cape Gauge Rail / Tazara ni 1067 mm.
..Meter Gauge Rail / reli ya kati ni 1000 mm.
Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.
Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.
Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.
Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Hivi Hizi chuki na watu wa Kanda zinawanufaisha nn enyi nyie kizazi cha Nyoka, mnahisi kabisa Chadema Kuna siku itashika dola anyway labda Corona iue watanzania wote abaki Mbowe na genge lake.Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.
Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.
Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.
Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Mizigo mingi inapita Africa kusini kutokana na efficiency ya Bandari zao. Pia Angola wanataka kujenga reli kutoka Katanga Congo kupitia Zambia copper belt kuelekea bandari ya Angola(port Lobito) kwa hiyo bado kuna ushindani toka Angola unakuja.
Well saidMradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.
Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo
Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.
Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Zambia Wana options za kutumia bandari za msumbiji Na South Africa. Hii Reli ilitakiwa iende kigoma kabla ya mwanza, nadhani imepelekwa Mwanza kimakosa. Hii SGR hata ingeishia morogoro na kujenga bandari kubwa sana ya nchi kavu pale morogoro bado tungewapunguzia safari wateja wetu Kuja hadi Dsm.
SGR inakwenda kuwasaidia Wapiga Kura Mwanza. Full stop!Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.
Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo
Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.
Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)