Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Ni kichaa pekee anaeweza kusema Tanzania pekee duniani hakuna Corona. Baada ya tukio na msimamo ule wa covid ndiyo tukajua kuwa kila kitu (sgr, bwawa, Kuhamia dodoma, kununua ndege, watumishi hewa, UCHUMI, matumizi) kumbe kinahitaji kuangaliwa upya, huenda hakiko sawa. Dunia nzima ilituhurumia, ndio maana mama Samia walimuelewa haraka baada ya kushika usukani. Masalia kama nyinyi bado mmebaki mna endelea kubweka kuwa hakuna Corona, sisi ni donor country huku tu naomba museven ajenge shule chato, Morocco wajenge msikiti na viwanja vya mpira, tunajenga kwa hela yetu huku mkijua kuwa mNadanganya.
 
Hivi wewe mikutano ya maraisi wa hizo nchi walipo kuwa wanakuja tz kuhusu sgr ukuisikia au wewe unawapangia nchi jirani kile wanataka ,wao wanataka sgr ifike mpaka kwenye nchi zao wewe unaleta habari za kigoma
Tungependa tuwafikishie sgr hadi kwenye mitaa yao yote shida ni uwezo hatuna, miaka 60 ya uhuru bado watoto wetu hawana madawati ya kukalia, hatuna madarasa, hatuna Maji ya kunywa tutawezaje kuwapelekea sgr hadi kwao? Kwa Serikali Kuhamia dodoma kuweonhezaje uwezo wetu wa kujenga sgr, bwawa la umeme, usambazaji wa Maji na umeme kwa wananchi? Badala ya Kuhamia dodoma kwanini hatukumia hela hiyo kujenga sgr na mkongo wa taifa kurahisisha mawasiliano Kati ya Dsm na kanda ZAKE ZOTE? UNATAKA MAMa Samia atekeleze upuuzi wote huu kwa 100%?
 
Tuambie mipango wa kujenga sgr ulianza kwa magufuli au kikwete acha upumbavu watu wapumbavu kama nyinyi ndiyo mtakao mkwamisha mama
Kujenga sgr, Kuhamia dodoma, kununua ndege, kujenga bwawa la umeme na kujenga meli kubwa na uwanja wa chacho kwa muda mmoja kwenye nchi maskini kama hii ndiio ukichaa wenyewe tunaokuwa na mashaka nao. JK hakusema mambo yoooote
YAFANYIKE KWA WAKATI MMOJA KAMA VILE WEWE NDIYE UTAKUWA RAIS WA MWISHO.
 
Kwa hiyo jpm alikuwa anaijenga SGR kwa pesa zetu wenyewe? Jibu hilo mwehu. Je, unafahamu kuwa nchi ilikopa sana kipindi chake? Je, unafahamu kuwa nchi ilifilisika hata mishahara ya watumishi ilikuwa ngumu kulipa? KAKOJOE ULALE
Kwahiyo mabeberu walipo sema tumetoka uchumi wa chini walikuwa wanampenda sana magufuli au nchi kufilisika ndiyo kupata umeme wa uhakika ,kujengwa kwa barabara ,kufufuliwa meli ,na shirika la ndege ? au kuwa tajili ni kufa kwa hivyo vitu
WAFISADI MTAPATA TABU SANA NA JPM
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe wewe shoga unajua kuwa the great magufuli kafanya mambo mengi hivyo [emoji1787][emoji1787]ndiyo maana tunawaambia usimfananishe jpm na gedere za mama sa100
 
Wao watajenga wenyewe ,kuhusu uwezo ni kweli chini ya viongozi wahuni ni hakuna ila chini ya viongozi wazarendo uwezo upo tena upo sana hivyo nakushauri kujiunga kwenye kampeni yetu ya tokomeza wahuni,
 
Uwezo amna kwa sababu akili zenu ndogo
MAGUFULI ALIKUWA NA HUO UWEZO WA KUFANYA YOTE HAYO NA ZAIDI KUTOKANA NA UWEZO WA KIAKILI NDIYO MAANA ALIWAAMBIA MAWAZILI WOTE KUHUSU HII AWAMU YA PILI YA MIAKA MITANO YA MWISHO KUWA ANATAKA KILA MWAKA 1 IFANYIKE KAZI YA MIAKA 3
UNAJUA NINI MAANA YAKE?
 
Sasa kusini si ipo Tazara, mbona haijawa utilized?,
Kanda ya ziwa pia ina mizigo,, pamba, mahindi, alizeti, viazi etc
Ufisadi ndio maana reli ya TAZARA aitumiki ipatavyo. Matajiri wa Malori wanafissdo reli hiyo
 
Sasa kusini si ipo Tazara, mbona haijawa utilized?,
Kanda ya ziwa pia ina mizigo,, pamba, mahindi, alizeti, viazi etc
Ufisadi ndio maana reli ya TAZARA aitumiki ipatavyo. Matajiri wa Malori wanafissdo reli hiyo
 
Hata huna unachokifahamu wewe. Wazungu kutangaza kuwa tumeingia uchumi wa Kati ilikuwa njia ya kiuchumi ya kumkomesha Magufuli na Tanzania. Hii ilikuwa njama za mabeberu ya kitukatia misaada ya mikopo ya bei nafuu na kutosamehewa madeni yetu. Na hii ni baada ya JPM kuutangazia ulimwengu kuwa Tanzania ni tajiri na ni donor country. Kama mungu asingeingilia Kati Tanzania ingepata tabu sana kwa matendo na kauli za jpm.

KAKA Tanzania is a poor country still, hatuko uchumi wa Kati, bado TUNALIMA KWA JEMBE LA mkono .
Tuna samaki hatuwezi kuwavua na hatuna soko, tuna madini hatuwezi kuyachimba wenyewe, tuna vivutio hatuwezi kivitangaza wenyewe. Hopeless kabisa.
 
 
Hii reli hatuwajengei wacongo, warundi wala wazambia bali tunajijengea sisi wenyewe watanzania, na watanzania wengi wanaishi dar na kanda ya ziwa na ndo maana wakapewa kipaumbele, tunataka watanzania wasafiri kwa bei nafuu na haraka, tunataka watanzania wanunue bidhaa kwa bei nafuu ndo maana tunajenga sgr usafiri cheap kabisa. Narudia tena, SGR ni kwa ajili ya watanzania wala sio wakongo na wazambia.
 
Mkuu hii SGR initially ilikuwa ijengwe Dar to Kigoma, baadae ghafla ikageuzwa kuelekea katikati ya Kitovu kipya cha utalii.
Hvi huko Kigoma mnakoshupalia kwamba Reli ya SGR kufika mbona hatuoni mzigo wowote wa maana hata katika hii reli ya mkoloni zaidi ya walalahoi waliojazana kwenye hizo treni? Na je umesoma vizuri kuhusu mpango wa kujenga SGR hapa Tanzania Kigoma haipo? Kwanini SGR ya DAR - Mwanza inaitwa phase one? Kwangu mimi Tawi la SGR kutoka Tabora hadi Mpanda hadi bandari inayojengwa ya Kalemi ni bora na litakuwa profitable kuliko Tawi la Tabora had Kigoma. Hata hivyo reli huwa zinajengwa kutoa huduma za usafiri wa abiri na mizigo japo mizigo ndio huwa inapewa priority kwanza. Kwa upande wa abiria na mizigo ni route ipi ipo profitable zaidi kati ya Tabora - Kigoma na Tabora-Mwanza (kwa malori na mabasi ya abiria)? Kumbuka Kipande cha Isaka Rwanda, Burundi Na eastern DRC kikikamilika kitawezesha usafiri wa mizgo na hata abiria kati ya nchi hizo na Mwanza au Lake zone kwa ujumla ukiacha Dar es Salaam.
 
Hakuna boda iliyobusy Tanzania hii kuliko boda ya Tunduma kubali kataa lakini huo ndo ukweli
Nakuunga Mkono, huu mpaka una magari ya mizigo mengi Sana. Nacho jiuliza tumeshindwaje kutumia miundo mbinu ya Reli ambayo ipo tayari kusafirisha mizigo ya upande huo? Naiona hasara tunayoingia kwakujenga Reli mpya na hatuna tulichojifunza kutoka Tazara!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kumbe wewe shoga unajua kuwa the great magufuli kafanya mambo mengi hivyo [emoji1787][emoji1787]ndiyo maana tunawaambia usimfananishe jpm na gedere za mama sa100
Kafanya mengi wapi huenda ndo yalichangia kumuondoa, alidhani ataweza Kuja kutahamaki akajikuta kuwa Hana hela ya kuendtesslea na chochote, ndege zinaingiza hasara, wafanyabiashara wamekimbia, dodoma imekwama, watumishi na mkandarasi wanamdai, maofisini hakuna fedha, hakuna fedha na wahisani wamemgomea, nchi jirani wamefunga mipaka hakuna biashara, Barrick hawalipi Makenikia kama walivyoahidi,. kwa hali hiyo kwanini usife ghafla? Alitaka kujinasua kwa kutafuta hela kwa nguvu kupitia unyang,anyi wa wafanyabiashara, na kuingilia kazi za mahakama kwa kumpa DPP amri ya KUKUSANYA fedha kutoka kwa wahujumu uchumi waliko kwenye mahakama feki ya mafisadi.
 
Unaelekea hujui uchumi unataka nini.Lengo la sgr sio ku replace na kuua usafiri wa Reli ya kati, malori na usafiri wa ndege. Kwahiyo kama mwanza kutakuuwa na usafiri wa sgr, reli ya kati na ndege kwa wakati mmoja utapataje faida kwenye sgr, Barabara, reli ya kati na ndege? Nani atapanda ndge, reli ya kati na mabasi na kuacha sgr? Faida ya Malori na mabasi, reli ya kati na ndege Italiwa na SGR, na biashara kwenye reli ya kati, ndege N Barabara zitakufa.
 
Kazi yetu ingekuwa ni kufanya reli Ya Tazara ipite mijini, maana ya sasa inapita maporini tu. Tungetengeneza vinjiapanda KUUNGANISHA miji na Tazara
 
Kama ni kweli unayo sema basi magufuli ni jiniasi maana bado aliendelea kujenga nchi kununua midego kama kawaida
 
Reli ya tazara inauwezo wa kufika hadi Lubumbashi,hiyo laini ya kapiri hadi lubumbashi inafanana na hii yetu ya tazara(cape gauge).Tunachoshindwa ni maono tuu.
Kama tungefunga umeme njia nzima,gharama ya uendeshaji ingeshuka na hao wateja wazambia na wakongo wangeongezeka kutumia reli yetu.
Kwahio,hakuna haja ya SGR kwa sasa kwenda Zambia na hadi congo Lubumbashi. Tunachohitaji ni kuiboresha tazara iwe ya umeme
 
Kama ni kweli unayo sema basi magufuli ni jiniasi maana bado aliendelea kujenga nchi kununua midego kama kawaida
Alichokuwa anakifanya ni sawa na baba mmoja mjinga ambae aliacha kumlipia ada mwanae ili anunue gari hadi mtoto akapoteza masomo, na baada ya kukunua gari akawa nyumbani anaacha sh. 3000 za matumizi na kwenye gari anatumia sh15,000 kuweka MAFUTA kwenye gari yake kupiga misele. Aliacha kupandisha mishahara hata mapolisi ili ajenge reli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…