Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Ujenzi wa Reli ya SGR uishie Tabora

Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.

Bangi ni zao zuri lakini linasumbua ukiamua kupitiliza....kipande cha Isaka Mwanza kishaanza. Ukiamua kuishia Tabora haina maana utashindwa...inawezekana ila ni kwa matumizi ya bangi au cocaine peke yake ndio utatoa maamuzi kama hayo
 
Habari ya uafrika unajidhalikisha mwenyewe.
Ni muhimu kujua kuwa waziri siyo mtendaji na waizara inaweza kufanya shughuli zake zote kwa ufanisi kupitia wataalam wakiongozwa na karibu mkuu.
Kudanganyana na kelele za kisiasa ndizo huaminisha wasiojua kuwa waziri ndiye muhimu.
Miradi haijengwi na waziri, ni wataalam wa wizara, waziri kazi yake kusimamia sera. Sidhani kama kuna sera ya wizi.
Hata hivyo, awepo Kalemani au Makamba, kwangu na watanzania wengine wenye mapenzi mema kwa taifa tunataka miradi ikamilike.
Itakamilikaje Kama mwenyemaamuzi amesema maji yatajazwa siyo kabla ya machi22 kwa sababu ya winchi,na Kama waziri Hana impakti yote kwa Nini abadilishwe na Kuleta tofauti kubwa hivyo.kumbuka hoja hapa ulikuwa kufeli kwa tazara,ebu tupe sababu Kama mtaalamu,miundo mbinu ipo,hakuna mshindani.
 
Du!!! Nikikumbuka mwa 2016 wakati Niko chuo jamaa mmoja akawa anatuambia Magu anakusanya pesa siku za mbeleni akija kuziachia tutakula Raha sana. Mm nkamuuliza hizo pesa anakusanya wapi? Kila nkimkumbishaga mshkaji huwa anaishia kucheka tu
 
Ujinga ni kuwaza nchi nyingine na si kuwaza raia wako higi mizigo inayotoka mikoani kwenda mikoa mimgine ni michache sana kulinganisha na mizigo ya burundi?
tuache ushamba reli hii ni ya raia wa kitazzania sio waburundi au waganda.

narudia watanzania tuache ushamba wa wageni
Kama nakuelewa vile. Wazungu Wana reli za umeme mpaka tubes, lakini ni kwaajili yao mchini zaidi. Je,sisi tuna luxury hiyo?
 
Hela hatuna, tusikope sana ili kupunguza kutumia na madeni.

Tabora ni karibu sana na Burundi, Rwanda, DRC, Mwanza na Uganda. Tujenge bandari kavu kuubwa pale Tabora ili watu wa Mwanza, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC na Kigoma wachukulie Tabora mizigo yao itakayoletwa na SGR hapo.

Tukipata faida hapo tutaendelea na ujenzi hadi Mwanza, Burundi Rwanda na DRC kama tulivyokuwa tumepanga.

Hii itasaidia kuepuka uharibifu wa barabara kutoka dar hadi Tabora lakini na kupunguza umbali na gharama kwa watu wa DRC, Rwanda, Burundi kufuata bidhaa zao Dsm.
Watu wamekojoa kwenye akili zako siyo bure yani uliyo pendekeza ni zaidi ya maiti sijui umezaliwa leo duniani ndiyo ujui nini kinachoendelea ......acha nikujulishe wewe bogazi unajua kunakitu kilikuwa kinaitwa COW je unajua icho kitu ni nini? Je unajua kwanini magufuli aliona ajenge reli bora zaidi ya mapendekezo ya awali ,ungeweza kujibu tu hayo maswali kwa usahihi ungeweza kujua kuwa wewe hauna AKILI HATA KIDOGO ....SASA NITAKUJULISHA MAJIBU ...UKUMBUKE KUWA KENYA KUNA SGR TENA UNATAKIWA KUJUA SGR YA KENYA ILIKUWA INAJENGWA KWA MIKAKATI GANI? NA JE KWANINI SGR YA KENYA ILIKWAMA KUFIKIA HIYO MIKAKATI,SASA HAPO ULITAKIWA KUJUA KUWA SGR YA KENYA NDIYO ILITAKIWA KUUNGANISHA NCHI ZOTE AMBAZO BANDARI YETU INAZITEGEMEA KWA MIZIGO HIYO MBINU YA MAGUFULI ILIFANIKIWA KUKWAMISHA MIPANGO YA SGR YA KENYA AMBANYO INGETUPOKONYA NA YENYEWE KUWA KITUO KIKUU CHA UCHUMI HIVYO TUKIZEMBEA KUJENGA RELI UJUE KILE KILICHO SABABISHA RELI YA KENYA KUKWAMA NI HII RELI YETU SASA TUKIZEMBEA NA KUSABABISHA SGR YA KENYA KUUNGANISHA NCHI ZA MAZIWA MA KUU NDIYO UTAKUWA MWISHO WA UCHUMI WA TZ, MAWAZO YAKO NI SAWA SAWA NA KUSEMA BOMBA LA MAFUTA LA UGANDA LIPITIE KENYA KAMA MIPANGO ILIVYOKUWA ZAMANI KISHA USEME TZ NDIYO TUTANUFAIKA ZAIDI KWA BOMBA KUPITISHWA KENYA ,HII NDIYO SABABU HIYO MIRADI INAITWA YA KIMIKAKATI
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Ujui sgr ya kenya ilikuwa inajengwa kwa mikakati gani? Nakwanini imekwama kufikia hiyo mikakati ,
 
Watu wamekojoa kwenye akili zako siyo bure yani uliyo pendekeza ni zaidi ya maiti sijui umezaliwa leo duniani ndiyo ujui nini kinachoendelea ......acha nikujulishe wewe bogazi unajua kunakitu kilikuwa kinaitwa COW je unajua icho kitu ni nini? Je unajua kwanini magufuli aliona ajenge reli bora zaidi ya mapendekezo ya awali ,ungeweza kujibu tu hayo maswali kwa usahihi ungeweza kujua kuwa wewe hauna AKILI HATA KIDOGO ....SASA NITAKUJULISHA MAJIBU ...UKUMBUKE KUWA KENYA KUNA SGR TENA UNATAKIWA KUJUA SGR YA KENYA ILIKUWA INAJENGWA KWA MIKAKATI GANI? NA JE KWANINI SGR YA KENYA ILIKWAMA KUFIKIA HIYO MIKAKATI,SASA HAPO ULITAKIWA KUJUA KUWA SGR YA KENYA NDIYO ILITAKIWA KUUNGANISHA NCHI ZOTE AMBAZO BANDARI YETU INAZITEGEMEA KWA MIZIGO HIYO MBINU YA MAGUFULI ILIFANIKIWA KUKWAMISHA MIPANGO YA SGR YA KENYA AMBANYO INGETUPOKONYA NA YENYEWE KUWA KITUO KIKUU CHA UCHUMI HIVYO TUKIZEMBEA KUJENGA RELI UJUE KILE KILICHO SABABISHA RELI YA KENYA KUKWAMA NI HII RELI YETU SASA TUKIZEMBEA NA KUSABABISHA SGR YA KENYA KUUNGANISHA NCHI ZA MAZIWA MA KUU NDIYO UTAKUWA MWISHO WA UCHUMI WA TZ, MAWAZO YAKO NI SAWA SAWA NA KUSEMA BOMBA LA MAFUTA LA UGANDA LIPITIE KENYA KAMA MIPANGO ILIVYOKUWA ZAMANI KISHA USEME TZ NDIYO TUTANUFAIKA ZAIDI KWA BOMBA KUPITISHWA KENYA ,HII NDIYO SABABU HIYO MIRADI INAITWA YA KIMIKAKATI
Akilindogosana
 
Watu wamekojoa kwenye akili zako siyo bure yani uliyo pendekeza ni zaidi ya maiti sijui umezaliwa leo duniani ndiyo ujui nini kinachoendelea ......acha nikujulishe wewe bogazi unajua kunakitu kilikuwa kinaitwa COW je unajua icho kitu ni nini? Je unajua kwanini magufuli aliona ajenge reli bora zaidi ya mapendekezo ya awali ,ungeweza kujibu tu hayo maswali kwa usahihi ungeweza kujua kuwa wewe hauna AKILI HATA KIDOGO ....SASA NITAKUJULISHA MAJIBU ...UKUMBUKE KUWA KENYA KUNA SGR TENA UNATAKIWA KUJUA SGR YA KENYA ILIKUWA INAJENGWA KWA MIKAKATI GANI? NA JE KWANINI SGR YA KENYA ILIKWAMA KUFIKIA HIYO MIKAKATI,SASA HAPO ULITAKIWA KUJUA KUWA SGR YA KENYA NDIYO ILITAKIWA KUUNGANISHA NCHI ZOTE AMBAZO BANDARI YETU INAZITEGEMEA KWA MIZIGO HIYO MBINU YA MAGUFULI ILIFANIKIWA KUKWAMISHA MIPANGO YA SGR YA KENYA AMBANYO INGETUPOKONYA NA YENYEWE KUWA KITUO KIKUU CHA UCHUMI HIVYO TUKIZEMBEA KUJENGA RELI UJUE KILE KILICHO SABABISHA RELI YA KENYA KUKWAMA NI HII RELI YETU SASA TUKIZEMBEA NA KUSABABISHA SGR YA KENYA KUUNGANISHA NCHI ZA MAZIWA MA KUU NDIYO UTAKUWA MWISHO WA UCHUMI WA TZ, MAWAZO YAKO NI SAWA SAWA NA KUSEMA BOMBA LA MAFUTA LA UGANDA LIPITIE KENYA KAMA MIPANGO ILIVYOKUWA ZAMANI KISHA USEME TZ NDIYO TUTANUFAIKA ZAIDI KWA BOMBA KUPITISHWA KENYA ,HII NDIYO SABABU HIYO MIRADI INAITWA YA KIMIKAKATI
Hizo ni hisia zenu tu. Kama woga na sababu ndiyo hiyo bunge na wananchi wangeshirikishwa juu ya hofu hiyo ili wote kwa pamoja tuchague route ya kipaumbele na namna ya kufanikisha ujenzi wake. Kenya wamekopa Kenya kujenga SGR, wako wazi kwa wananchi wao, sisi hapa tulikuwa tunadangAnywa eti tunajenga kwa hela yetu kumbe tunakopa. Umeongea ushuzi mtupu. Reli ingejengwa kuelekea kigoma na kujenga dry pot kubwa pale Tabora mizigo ya kanda ya Kati na ziwa Na ile ya kigoma, burundi, DRC na Rwanda ingeenda kwa meli ziwani tungekuwa tumepiga ndege wengi kwa jiwe moja. Maana scarcity makes economy, shida yetu ni hela hatuna na nchi yetu ni Kubwa sana yenye majeshi mengi,polisi wengi, watumishi wengi, shule nyingi, hospital nyingi, Barabara nyingi. Huwezi ku freeze vyote hivi kwaajili ya kujenga SGR inayokwenda mwanza ambako Tayari kuna usafiri wa Reli YA KATI, BARABARA NZURI, NA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM NA TABORA. INGEKUWA TU KUIMARISHA RELI YA KATI KUTOKA TABORA KWENDA MWANZA NA IKIWEZEKANA IFIKE ISAKA KWA KUWA TAYARI IPO, AU TUNATAKA RELI YA KATI IFE KABISA?
 
Lengo la magufuli ilikuwa ni kupeleka sgr usukumani nyengine zote ni geresha tu kama ni uchumi basi train kwanza ingepelekwa kigoma co mwanza sawa sawa na uwanja wa ndege kupelekwa chato.
Yaani kanda ya ziwa uilinganishe na kivu Congo na kigoma? Kigoma kama buhongwa tu!
 
Watu wamekojoa kwenye akili zako siyo bure yani uliyo pendekeza ni zaidi ya maiti sijui umezaliwa leo duniani ndiyo ujui nini kinachoendelea ......acha nikujulishe wewe bogazi unajua kunakitu kilikuwa kinaitwa COW je unajua icho kitu ni nini? Je unajua kwanini magufuli aliona ajenge reli bora zaidi ya mapendekezo ya awali ,ungeweza kujibu tu hayo maswali kwa usahihi ungeweza kujua kuwa wewe hauna AKILI HATA KIDOGO ....SASA NITAKUJULISHA MAJIBU ...UKUMBUKE KUWA KENYA KUNA SGR TENA UNATAKIWA KUJUA SGR YA KENYA ILIKUWA INAJENGWA KWA MIKAKATI GANI? NA JE KWANINI SGR YA KENYA ILIKWAMA KUFIKIA HIYO MIKAKATI,SASA HAPO ULITAKIWA KUJUA KUWA SGR YA KENYA NDIYO ILITAKIWA KUUNGANISHA NCHI ZOTE AMBAZO BANDARI YETU INAZITEGEMEA KWA MIZIGO HIYO MBINU YA MAGUFULI ILIFANIKIWA KUKWAMISHA MIPANGO YA SGR YA KENYA AMBANYO INGETUPOKONYA NA YENYEWE KUWA KITUO KIKUU CHA UCHUMI HIVYO TUKIZEMBEA KUJENGA RELI UJUE KILE KILICHO SABABISHA RELI YA KENYA KUKWAMA NI HII RELI YETU SASA TUKIZEMBEA NA KUSABABISHA SGR YA KENYA KUUNGANISHA NCHI ZA MAZIWA MA KUU NDIYO UTAKUWA MWISHO WA UCHUMI WA TZ, MAWAZO YAKO NI SAWA SAWA NA KUSEMA BOMBA LA MAFUTA LA UGANDA LIPITIE KENYA KAMA MIPANGO ILIVYOKUWA ZAMANI KISHA USEME TZ NDIYO TUTANUFAIKA ZAIDI KWA BOMBA KUPITISHWA KENYA ,HII NDIYO SABABU HIYO MIRADI INAITWA YA KIMIKAKATI
Nchi lazima iwe na watu madhubuti wa mipango (think tank) wa kuendesha nchi sio watu reactive na kukurupuka eti kwakuwa Kenya wanajenga SGR, Rwanda wamenunua ndege na sisi tununue, Uganda sijui ina mizinga ya masafa marefu na sisi tukanunue hata kwa kula manyasi, Rwanda ni wasafi na sisi TuNafukuzA wamachinga.
 
Hizo ni hisia zenu tu. Kama woga na sababu ndiyo hiyo bunge na wananchi wangeshirikishwa juu ya hofu hiyo ili wote kwa pamoja tuchague route ya kipaumbele na namna ya kufanikisha ujenzi wake. Kenya wamekopa Kenya kujenga SGR, wako wazi kwa wananchi wao, sisi hapa tulikuwa tunadangAnywa eti tunajenga kwa hela yetu kumbe tunakopa. Umeongea ushuzi mtupu. Reli ingejengwa kuelekea kigoma na kujenga dry pot kubwa pale Tabora mizigo ya kanda ya Kati na ziwa Na ile ya kigoma, burundi, DRC na Rwanda ingeenda kwa meli ziwani tungekuwa tumepiga ndege wengi kwa jiwe moja. Maana scarcity makes economy, shida yetu ni hela hatuna na nchi yetu ni Kubwa sana yenye majeshi mengi,polisi wengi, watumishi wengi, shule nyingi, hospital nyingi, Barabara nyingi. Huwezi ku freeze vyote hivi kwaajili ya kujenga SGR inayokwenda mwanza ambako Tayari kuna usafiri wa Reli YA KATI, BARABARA NZURI, NA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM NA TABORA. INGEKUWA TU KUIMARISHA RELI YA KATI KUTOKA TABORA KWENDA MWANZA NA IKIWEZEKANA IFIKE ISAKA KWA KUWA TAYARI IPO, AU TUNATAKA RELI YA KATI IFE KABISA?
Kwani wewe hujui kuwa sgr ilikuwa tujengewe na wachina tena kwa pesa ndefu ya kifisadi tena sgr isiyokuwa ya umeme toka kipindi cha kikwete au ujui ilo
 
Hizo ni hisia zenu tu. Kama woga na sababu ndiyo hiyo bunge na wananchi wangeshirikishwa juu ya hofu hiyo ili wote kwa pamoja tuchague route ya kipaumbele na namna ya kufanikisha ujenzi wake. Kenya wamekopa Kenya kujenga SGR, wako wazi kwa wananchi wao, sisi hapa tulikuwa tunadangAnywa eti tunajenga kwa hela yetu kumbe tunakopa. Umeongea ushuzi mtupu. Reli ingejengwa kuelekea kigoma na kujenga dry pot kubwa pale Tabora mizigo ya kanda ya Kati na ziwa Na ile ya kigoma, burundi, DRC na Rwanda ingeenda kwa meli ziwani tungekuwa tumepiga ndege wengi kwa jiwe moja. Maana scarcity makes economy, shida yetu ni hela hatuna na nchi yetu ni Kubwa sana yenye majeshi mengi,polisi wengi, watumishi wengi, shule nyingi, hospital nyingi, Barabara nyingi. Huwezi ku freeze vyote hivi kwaajili ya kujenga SGR inayokwenda mwanza ambako Tayari kuna usafiri wa Reli YA KATI, BARABARA NZURI, NA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM NA TABORA. INGEKUWA TU KUIMARISHA RELI YA KATI KUTOKA TABORA KWENDA MWANZA NA IKIWEZEKANA IFIKE ISAKA KWA KUWA TAYARI IPO, AU TUNATAKA RELI YA KATI IFE KABISA?
Propaganda zipo za aina mbili za kizarendo na za kihuni ,pia kuhusu wapi reli ielekee hapo umeonyesha uwezo wako wa akili ulivyo mdogo reli inatakiwa iendelee kujengwa kuelekea kote kote rwanda burundi uganda drc zambia malawi na ndani ya tanzania tunatakiwa tujenge matawi kuelekea mikoa yote hivyo popote itakapo anzia siyo mwisho ,hapo ilitakiwa mama sa100 aonyeshe uwezo wake kwa kuipeleka maeneo mengi zaidi ya mipango ya jpm ila tatizo mama ni kilaza
 
Hizo ni hisia zenu tu. Kama woga na sababu ndiyo hiyo bunge na wananchi wangeshirikishwa juu ya hofu hiyo ili wote kwa pamoja tuchague route ya kipaumbele na namna ya kufanikisha ujenzi wake. Kenya wamekopa Kenya kujenga SGR, wako wazi kwa wananchi wao, sisi hapa tulikuwa tunadangAnywa eti tunajenga kwa hela yetu kumbe tunakopa. Umeongea ushuzi mtupu. Reli ingejengwa kuelekea kigoma na kujenga dry pot kubwa pale Tabora mizigo ya kanda ya Kati na ziwa Na ile ya kigoma, burundi, DRC na Rwanda ingeenda kwa meli ziwani tungekuwa tumepiga ndege wengi kwa jiwe moja. Maana scarcity makes economy, shida yetu ni hela hatuna na nchi yetu ni Kubwa sana yenye majeshi mengi,polisi wengi, watumishi wengi, shule nyingi, hospital nyingi, Barabara nyingi. Huwezi ku freeze vyote hivi kwaajili ya kujenga SGR inayokwenda mwanza ambako Tayari kuna usafiri wa Reli YA KATI, BARABARA NZURI, NA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM NA TABORA. INGEKUWA TU KUIMARISHA RELI YA KATI KUTOKA TABORA KWENDA MWANZA NA IKIWEZEKANA IFIKE ISAKA KWA KUWA TAYARI IPO, AU TUNATAKA RELI YA KATI IFE KABISA?
Hivi wewe mikutano ya maraisi wa hizo nchi walipo kuwa wanakuja tz kuhusu sgr ukuisikia au wewe unawapangia nchi jirani kile wanataka ,wao wanataka sgr ifike mpaka kwenye nchi zao wewe unaleta habari za kigoma
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Kama treni ya Tazara inapita kwenye pori la sao hill lkn watu wanatumia magari kusafirimba mbao zao wanaleta bugurun ambapo pia jiran ndipo station ya treni ilipo.. sahau kuhusu watu kutumia usafiri huo
 
Hizo ni hisia zenu tu. Kama woga na sababu ndiyo hiyo bunge na wananchi wangeshirikishwa juu ya hofu hiyo ili wote kwa pamoja tuchague route ya kipaumbele na namna ya kufanikisha ujenzi wake. Kenya wamekopa Kenya kujenga SGR, wako wazi kwa wananchi wao, sisi hapa tulikuwa tunadangAnywa eti tunajenga kwa hela yetu kumbe tunakopa. Umeongea ushuzi mtupu. Reli ingejengwa kuelekea kigoma na kujenga dry pot kubwa pale Tabora mizigo ya kanda ya Kati na ziwa Na ile ya kigoma, burundi, DRC na Rwanda ingeenda kwa meli ziwani tungekuwa tumepiga ndege wengi kwa jiwe moja. Maana scarcity makes economy, shida yetu ni hela hatuna na nchi yetu ni Kubwa sana yenye majeshi mengi,polisi wengi, watumishi wengi, shule nyingi, hospital nyingi, Barabara nyingi. Huwezi ku freeze vyote hivi kwaajili ya kujenga SGR inayokwenda mwanza ambako Tayari kuna usafiri wa Reli YA KATI, BARABARA NZURI, NA NDEGE KUTOKA DAR ES SALAAM NA TABORA. INGEKUWA TU KUIMARISHA RELI YA KATI KUTOKA TABORA KWENDA MWANZA NA IKIWEZEKANA IFIKE ISAKA KWA KUWA TAYARI IPO, AU TUNATAKA RELI YA KATI IFE KABISA?
Pia ujui mwanza kuna mizigo ya uganda hapo au ujui pia kama nilivyo kuambia hiyo reli inatakiwa kwenda hadi kigoma na bukoba na nchi za jirani sasa kinacho takiwa ni michakato tu hukonkote itafika
 
Nchi lazima iwe na watu madhubuti wa mipango (think tank) wa kuendesha nchi sio watu reactive na kukurupuka eti kwakuwa Kenya wanajenga SGR, Rwanda wamenunua ndege na sisi tununue, Uganda sijui ina mizinga ya masafa marefu na sisi tukanunue hata kwa kula manyasi, Rwanda ni wasafi na sisi TuNafukuzA wamachinga.
Tuambie mipango wa kujenga sgr ulianza kwa magufuli au kikwete acha upumbavu watu wapumbavu kama nyinyi ndiyo mtakao mkwamisha mama
 
Mradi wa sgr umetutia madeni. Halafu mradi ukikamilika utatutia madeni zaidi. Pia ramani ya mradi imekosewa. Reli ya sgr inatakiwa iende sehemu ya mizigo mingi. Na mizigo mingi ni shaba ya Zambia, na madini ya cobalt na shaba yaliyopo Lubumbashi/kolwezi/katanga DR Congo.

Sasa hii reli naona imepotea uelekeo wa mizigo mingi mno kwa hiyo haitarudisha hela. Kwa hiyo ni madeni juu ya madeni halafu riba. Mizigo mingi ipo kusini kwa Congo na Zambia. Halafu reli inaelekea mashariki mwa Congo

Hao Rwanda na Burundi hawana mzigo wa maana kuzidi Zambia na Cobalt na Copper ya Drc congo. Ilitakiwa SGR iende kwenye mizigo ya maana huko kwenye migodi ya zambia na Congo.

Hii sgr inayojengwa imekosewa kabisa. SGR ilitakiwa iwe Dar-Kapirimposhi-Lubumbashi(ikiwezekana ipite kwenye migodi ya Copper na Cobalt iliyopo Kolwezi, Mutanda huko Drc ndanindani)
Mkuu hii SGR initially ilikuwa ijengwe Dar to Kigoma, baadae ghafla ikageuzwa kuelekea katikati ya Kitovu kipya cha utalii.
 
Kwani hii reli ya Sasa wameifanya Nini Hadi wanakazaka kuwapa waturuki pesa?
Unategemea mafisadi wenye malori zaidi ya elfu moja watakubali SGR ikamilike? Wenye malori zaidi ya 599 Ni watu wenye connection na high places.
Mimi na suggest hizo hela wangezitumie kuleta maji Dar es Salaam. Hivi tunavyoongea 29/12/2021 hakuna maji tangu Jana jioni. Umeme ndio huu wa kuunga unga vijana wa welding hawalali maana hawajui Kama kesho kutakua na pawa.
Tatueni kero za wananchi SGR sio kipaumbele kwa sisi watu wa Kimara.
Mimi nilishajichimbia kisima changu, weka tank kubwa la kupandishia na kuhufadhi maji hiyo shida nimeachana nayo. Kama for 60 yrs bado maji kwenye majiji ni longolongo nyiingii unadhani Kuna kitu hapoo?
 
Kwani wewe mal*ya ujui kuwa sgr ilikuwa tujengewe na wachina tena kwa pesa ndefu ya kifisadi tena sgr isiyokuwa ya umeme toka kipindi cha kikwete au ujui ilo
Kwa hiyo jpm alikuwa anaijenga SGR kwa pesa zetu wenyewe? Jibu hilo mwehu. Je, unafahamu kuwa nchi ilikopa sana kipindi chake? Je, unafahamu kuwa nchi ilifilisika hata mishahara ya watumishi ilikuwa ngumu kulipa? KAKOJOE ULALE
 
Back
Top Bottom