edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Ujinga ni kuwaza nchi nyingine na si kuwaza raia wako higi mizigo inayotoka mikoani kwenda mikoa mimgine ni michache sana kulinganisha na mizigo ya burundi?
tuache ushamba reli hii ni ya raia wa kitazzania sio waburundi au waganda.
narudia watanzania tuache ushamba wa wageni
tuache ushamba reli hii ni ya raia wa kitazzania sio waburundi au waganda.
narudia watanzania tuache ushamba wa wageni