Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Waswahili na msemo wetuMkuu kwani pale Dodoma tulitaka kujenga kwa pesa zetu?
Unaweza kumpangia cha kufanya yule anayekuja kukusaidia?
Mfalme mwenyewe (baada ya kufurahi) aliaahidi kutujengea buree uwanja mkubwa wa kisasa pale Dodoma.
Sina upande, mimi ni Muislam. Wote wale wanajitahidi kwa namna yao na sina tatizo na wote.Vipi maulid, ulikuwa upande gani katika munaqasha wa Mombasa, wanaoipinga au wanaoiunga mkono?
karibu kwenye Uislam, siku ya kwanza utayoingia kwenye Uislam utaanza kuihisi raha yake.Raha ipi unapata?
Nijibu kwanza sababu za kitabu chenu kuandika kuwa jua unazama kwenye matope.karibu kwenye Uislam, siku ya kwanza utayoingia kwenye Uislam utaanza kuihisi raha yake.
karibu kwenye Uislam, siku ya kwanza utayoingia kwenye Uislam utaanza kuihisi raha yake.
Lala na umri vina uhusiano upi?Lala wewe umri huo
Huyu jamaa akumbushwe ahadi yake. Tunaandaa AFCON, asilete utani [emoji1]
Mfalme aliahidi kujenga kiwanja, sio pesa za serikali.Tanzania haijali vipaumbele vya kwanza ambacho ni kuondoa Umasikini kwanza, ukiondoa umasikini wananchi wanajenga wenyewe hivyo viwanja.
Wewe uliwasaidianini wakati wa tetemeko lililowakumba?!!Ahadi ni deni. Tena nchi yao itautumia kwenye mashindano.
Wahuni waliokula advanceWahuni Tu
Unafahamu walichokuwa wanabishana ni kipi?
Jibu langu nasubiriLala na umri vina uhusiano upi?
Mfalme wa Morocco hawezi tena kujenga kiwanja cha mpira maana nchi yake imekumbwa na tetemeko lililosababisha vifo vya maelefu ya wananchi na miundo mbinu kuharibiwa vibaya sana.Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.
Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!
Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?
NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
Sawa jinga laoIlikuwa ahadi wakati wa vita ya kiuchumi,kwasasa vita hamna tena so ile ahadi imekufa
Huenda ahadi ilitimizwa ila kuna wahuni waligawana mapato ya ahadi baada ya Magufuli kupumzika kwa amani.Wakati wa utawala wa magufuli nakumbuka tulitangaziwa kuwa mfalme wa morrocco atatujengea uwanja mkubwa wa mpira mkoa wa dodoma sijui ile ishu iliishia wapi...
Nasubiri kwa hamu majibu!Wakati wa utawala wa magufuli nakumbuka tulitangaziwa kuwa mfalme wa morrocco atatujengea uwanja mkubwa wa mpira mkoa wa dodoma sijui ile ishu iliishia wapi...