Ujerumani: Euro bilioni 65 kutolewa kwa wananchi kukabiliana na gharama za maisha

Ujerumani: Euro bilioni 65 kutolewa kwa wananchi kukabiliana na gharama za maisha

Wanafuata nyayo za mama Samia.Yeye alitoa mabilioni ya pesa kushusha bei ya mafuta [emoji41][emoji41]
 
Freddie huna akili za kuwashauri Wajerumani.
Hilo ndilo taifa lenye uchumi mkubwa zaidi Ulaya na viwanda vya kila aina vinavyozalisha bidhaa bora kabisa duniani
Hawakufika hapo kwa bahati mbaya au kwa akili kama zako.
Wape miaka 6 nabkuendela ili kujikwamua na mafuta ya kuagiza nje kwa meli yatawagharimu saaaaana maana Nord stream 1 iliwafaa sana
 
Halafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.

Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.
Akiipata gas huko kwengine nje ya RUSSIA gharama yamaisha itakua kubwa kuliko hata ilivyo sasa
Waache wahangaike mwisho watamrudia RUSSIA wakiwa na adabu na akili
Acha tuone!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata ikifikia 100k sawa tu, tumechoka kuona US na vibaraka wake wakiifanya dunia ni kigoda Chao.

Binafsi ningependa zaidi kama bara la africa tungewekewe vikwazo vya kitoshirikiana nao kwa chochte ili tujikomboe kifikra na kiuchumi
Akili kubwa sana hiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Freddie huna akili za kuwashauri Wajerumani.
Hilo ndilo taifa lenye uchumi mkubwa zaidi Ulaya na viwanda vya kila aina vinavyozalisha bidhaa bora kabisa duniani
Hawakufika hapo kwa bahati mbaya au kwa akili kama zako.
Huyo German anaendeshwa na US kama mpuuzi kumbuka ana nord stream 2 ambayo anaighramaia ujenzi na maintenance anajitoaje kutoka utegemezi wa gesi na mafuta ya Russia?
 
Yaani mtu ana tumia akiba yake wewe una furahia unaona ni jambo zuri ama kweli akili ni nywele [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
H
Ukiona mtu / Taasisi Ina tumia akiba it means imeshindwa kuzalisha kile ilicho kuwa inaingiza awali nahizo ni dalili za kufilisika
 
Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.
Yaani awe na Urafiki wa kibiashara na watu walio mpiga sanctioned, ukimwaga Ugali na mwaga mboga [emoji1787]

Sio lazima kufanya biashara na ulaya magharibi mataifa yapo mengi mbona

Acha wapewe kichapo Cha uchumi
 
Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Halafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.

Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.
Sasa Waka nunue gesi huko waache kulia kulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nadhani wewe utakuwa unajua zaidi kuliko viongozi wa EU wapatie ushauri Ili wasikutane na mfumuko wa bei unao sababishwa na vikwazo walivyo muwekea wao wenyewe Russia
 
Pro Russia mna uelewa finyu na hafifu sana panapo basic economics na biashara.
Mean while wewe una uelewa mkubwa sana ndio maana nimshauri mkuu wa serikali Yako ya JMTZ na umeisaidia serikali hiyo kuwa taifa la kwanza linalo ongoza Kwa uchumi mkubwa Africa mashariki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Halafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.

Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.
Marekani ana mafuta na gesi ndio lakini mwenyewe tu havimtoshi kwa matumizi ya ndani. Ndo maana kutwa kucha anavisaka nchi za nje na kuhifadhi kwake
 
Back
Top Bottom