sio kweli,wameamua kwa wategemezi wa usaNa Ulaya ni kama wameamua kujilpua kuliko kufanywa mateka wa gesi na Putin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kweli,wameamua kwa wategemezi wa usaNa Ulaya ni kama wameamua kujilpua kuliko kufanywa mateka wa gesi na Putin
Basi utakufa kiugumu ugumu.Uchumi wao ufe kirahis hivyo? Nope
Kwa hii hesabu yako,watapata raia 65 tu na hio pesa yote itakua imeisha.Unakuta kila mwananchi anapata Euro bilioni moja yake safi.
Wape miaka 6 nabkuendela ili kujikwamua na mafuta ya kuagiza nje kwa meli yatawagharimu saaaaana maana Nord stream 1 iliwafaa sana
Akiipata gas huko kwengine nje ya RUSSIA gharama yamaisha itakua kubwa kuliko hata ilivyo sasaHalafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.
Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.
Udhalishaji [emoji777]Kuwa na akili. Tatizo sio kupata gesi au kushusha mzigo. Tatizo ni gharama ya hiyo gesi. Umeme utakua ghali sana na udhalishaji wa bidhha pia utakuwa ghali sana na mfumuko wa bei utakjwa mkjbwa sana
Akili kubwa sana hiiiHata ikifikia 100k sawa tu, tumechoka kuona US na vibaraka wake wakiifanya dunia ni kigoda Chao.
Binafsi ningependa zaidi kama bara la africa tungewekewe vikwazo vya kitoshirikiana nao kwa chochte ili tujikomboe kifikra na kiuchumi
Huyo German anaendeshwa na US kama mpuuzi kumbuka ana nord stream 2 ambayo anaighramaia ujenzi na maintenance anajitoaje kutoka utegemezi wa gesi na mafuta ya Russia?Freddie huna akili za kuwashauri Wajerumani.
Hilo ndilo taifa lenye uchumi mkubwa zaidi Ulaya na viwanda vya kila aina vinavyozalisha bidhaa bora kabisa duniani
Hawakufika hapo kwa bahati mbaya au kwa akili kama zako.
Yaani awe na Urafiki wa kibiashara na watu walio mpiga sanctioned, ukimwaga Ugali na mwaga mboga [emoji1787]Urusi iangalie namna ya kuboresha uhusiano kwa manufaa ya Urusi sababu matatizo yanapodumu kwa muda mrefu hupatiwa ufumbuzi. Urusi inapaswa kutumia mbinu na akili ya juu kuendelea kuwa mfumbuzi wa tatizo la gesi barani Ulaya kwa miaka mingi mbeleni na si kuwaweka kwenye hali ya kuwafanya kufikiria kuachana na utegemezi wa gesi kutoka Urusi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bomba linafanyiwa marekebisho kwa maelezo ya Russia wenyewe kuna linkage zilitokea ndio linakebishwa hii ni mbinu ya Mwamba putin kwa wale waliosomea mambo ya uchumi wanaelewa hii tactics ukipunguza supply demand lazma iwe kubwa na kama mnavyofahamu demand ikiwa kubwa na bei pia lazima iongezeke kwa iyo ni win win situattion kwa Putin.. upo au bado niendelee?
Sasa Waka nunue gesi huko waache kulia kulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.
Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.
Mean while wewe una uelewa mkubwa sana ndio maana nimshauri mkuu wa serikali Yako ya JMTZ na umeisaidia serikali hiyo kuwa taifa la kwanza linalo ongoza Kwa uchumi mkubwa Africa mashariki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pro Russia mna uelewa finyu na hafifu sana panapo basic economics na biashara.
Yajayo Yana furahisha [emoji1787]Na Ulaya ni kama wameamua kujilpua kuliko kufanywa mateka wa gesi na Putin
Marekani ana mafuta na gesi ndio lakini mwenyewe tu havimtoshi kwa matumizi ya ndani. Ndo maana kutwa kucha anavisaka nchi za nje na kuhifadhi kwakeHalafu Kuna Mentality ya watu ambao wanafikili Urusi ndio Ina Gesi pekee Duniani. Ukweli Ni kwamba,Mataifa mengi Yana Gesi Tena Kutosha. Mfano Ni Norway,Denmark,Angola,UAE,Quatar,Israel,Msumbiji,Canada,Marekani,Libya,n.k. Tatizo Ni Miundombinu ya kufikisha Gesi hiyo barani Ulaya. Ulaya walijiweka karibu Sana na Urusi na Kujenga Mabomba ya Gesi kutoka Urusi mpaka Ulaya na hivyo usafirishaji wa Gesi kutoka Urusi kwenda Ulaya Ni Rahisi zaidi kuliko sehemu nyingine.
Kwasasa ndio Ulaya wanaamka na kuona walijiweka kwenye Utegemezi wa Urusi hasa Ujerumani. Sasa Ujerumani inataka Kujenga LNG Terminal Kubwa 2 ili kuhifadhia Gesi kutoka Marekani na Canada ambayo itaweza kutumika kwa mwaka mzima Kama Terminal zote 2 zikijaa.