Ujerumani: Hatutatuma tena silaha Ukraine


asipo kuelewa wewe hata ashuke nabii toka juu hawatamuelewa.
 
Watatawanyika Wote kila mtu Njia Yake Urusi ni Taifa kuu la Kaskazini someni pia unabii mtajua Siku vita kuu Ikianza mjue Ndio Mwisho Wa Marekani Maana Madude ya Nuclear yaliyoko pale Moscow sio ya kitoto basi tu watu hamjui haya mambo...Ulaya Wapiga uongo mwingi sana katika hii vita wanaumizwa sana mnoo na hii vita hivi leo Pale London chai Kikombe na Sambusa ni Pound 5 sawa na Elf 16 kutoka senti 50 za pound je unadhani nani anapenda hilo???

Uingereza Kwa Kipindi Cha miezi 8 imeshakua na Serikali 3 tofauti hata Huyu Mhindi Akijichanganya na kidomo domo watamtoa haraka snaa...Hawasemi kwanini wanaangushwa hali mbaya sana uchumi wao uko taabani kuliko walivyotarajia maandamano kila uchao....Hawaonyeshi mambo hayo...
 
Na bado amechukua 15% ya ardhi ya Ukraine na kuirasimisha kuwa sehemu ya Urusi!?
 
Tuko na Marekani hadi mwisho

Mmarekani hakuna vita vyovyote alivyoweza kufanikiwa tangu dunia iundwe! Atakimbia mwenyewe tu, hebu fikiria NATO nzima ipo na Ukraine lakini wapo hoi kwa Mrusi! Je, ingekuwa wawili kwa wawili yaani huku Mrusi na kule Mmarekani, mbona Mmarekani angekuwa alishakimbia siku nyingi tu!
 
Acha utani kabisa na baridi la Europe.kila mtu kwa sasa anapambania taifa lake maana hapo baadae lawama sitakuwa nyingi sana.

Uzuri URUSI kashasema kabisa waliokuwa upande wetu tuwajue mapema na maadui zetu pia nao tuwajue.Sasa ukichagua upande wa adui basi jua kabisa gesi ya WARUSI utaisikia kwenye bomba..
 
Wewe nenda ufundishe madrassa lakini usifundishe mafunzo ya watu kujitoa mhanga kisa mabikra 72.
 
Hatishii,uwezo anao,ikipatikana sababu atakuambia Hata wewe beberu wa Buza,Kwani hatua ya matumizi ya hiyo kitu ni hatua ya mbali Sana,Ila kumbuka Hata kumiliki hiyo kitu ni ushindi Kati ya waliotamani kuwa na uwezo huo.Hivyo kaa kwa kutulia na uuangalie huu mchezo kwa utulivu🤸🤸
 
Nilidhani ni mimi peke yangu pengine ndiye ambaye naziona dosari katika huu uzi. Aisee, kumbe tuko wengi?!
Wengine mnasumbuliwa na mahaba kwa mabeberu wa Nato,ambao ni wengi jinga,Kama makondoo yaliyo jikusanya pamoja na kiongozi ni kondoo mwenzao,Bora Hata wangekuwa na mchungaji🏃🏃
 

Mkuu na bado, makubwa zaidi yanakuja - viongozi karibu wote wa huko Ulaya wataanza kupanga foleni kwenda kumpigia magoti Tzar Putin ili yaishe - hawana jinsi,Merikani kawaingiza kwenye mkenge kichwa kichwa sasa wanajuta - winter ikianza kukaza vyuma mbona watatafutana mpaka uvunguni mwa kitanda.
 
WINTER IS COMING !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…