Turejee kwenye uzi huu baada ya majira ya baridi huko Ulaya kumalizika na ndipo tutajua kama Putin ni mwamba kweli kweli vinginevyo tunalishana matango pori.WINTER IS COMING !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turejee kwenye uzi huu baada ya majira ya baridi huko Ulaya kumalizika na ndipo tutajua kama Putin ni mwamba kweli kweli vinginevyo tunalishana matango pori.WINTER IS COMING !!!
huu mchezo wakati unaanza tuliambiwa wiki moja ni kubwa sana, tuliambiwa hayatazidi masaa 72..Hatishii,uwezo anao,ikipatikana sababu atakuambia Hata wewe beberu wa Buza,Kwani hatua ya matumizi ya hiyo kitu ni hatua ya mbali Sana,Ila kumbuka Hata kumiliki hiyo kitu ni ushindi Kati ya waliotamani kuwa na uwezo huo.Hivyo kaa kwa kutulia na uuangalie huu mchezo kwa utulivu🤸🤸
kumbuka lengo lake la awali ilikua aiteke nchi yote.. kiev akarudishwa njiani, hiyo 15% bado kuna mtifuano hajaimiliki kikamilifuNa bado amechukua 15% ya ardhi ya Ukraine na kuirasimisha kuwa sehemu ya Urusi!?
kwan alieivamia Crimea 2014 ni nan ? je mabeberu walijihusisha ? pia aliekuwa anafadhir civil wars huko Ukraine ni nan ?pia alikuja ivamia kabisa Ukraine ni nan ? MSIJITIE UCHIZI KUJIFANYA HAMJUI LOLOTEHilo lingefanyika mapema ujinga unaofanywa na watu wa ulaya na America Hapo Ukraine isingefikia hatua ya kugharimu Maisha na Mali na kusababisha Hali ngumu za Maisha Duniani.Kilichobakia ni Marekani kutambua Hilo japo kwa aibu,na kukubali kuwa Urusi ni tisho kwa muungano was Nato pengine Hata anavyoitazama uchina na kinachotakiwa ni amani,maridhiano na makubaliano[emoji23][emoji23]
sbr utaelewa tuSupa pawa wa zamani za kale linapoteza ushawishi kwa kasi kubwa sana na soon litakuwa joka la kibisa
Hii mbaya sana yaani mpaka nchi za Africa zimefikia atua ya kumkataa. Inabidi ijitafakari haraka saana
HUNA HOJA , PUMBÄ TUWengine mnasumbuliwa na mahaba kwa mabeberu wa Nato,ambao ni wengi jinga,Kama makondoo yaliyo jikusanya pamoja na kiongozi ni kondoo mwenzao,Bora Hata wangekuwa na mchungaji[emoji125][emoji125]
Hapana,sijawahi pigwa banHii I'd imeadimika Sana, vipi ulipigwa ban au?
Hivi unazungumzia vita ipi ambayo unaiona peke yako? YaaniZele kila siku analalamika kuwa hali ni mbaya ila wewe mchambuzi wa Mtimbwilimbwi unasema hali ni nzuri unadhani itakusaidia? Unasema kurusha makombora kunaigharimu sana urusi kwa hiyo upande wa pili hawagharimiki? Yaani mtu alishatengeneza kombora na lipo kwa akili ya vita halafu ashindwe kurusha? Pia unasema na kukili kuwa Ukraine utachakaa lakini Urusi hataki salama kivipi? Nakuonya unapoandika jina la PUTIN tulia harufu kubwa ili kulinda heshima yake.urusi ana hali mbaya sana alivoingia vitani alijua atakutana na vibonde kama vita za nyuma ambazo alishinda kirahisi ila wamejikuta wamewekewa ukuta mkali sana ambao hawakuutarajia, putini amebaki tu kutishia nyuklia kila siku anatoa matishio ya nyuklia ujue kweli hali mbaya.. yule kichaa wake wa çhechnia mwenyewe kakiri wiki hii makomando wake 23 wameuliwa mkuu, ukraine itaharibiwa lakini urusi hatatoka hapo salama ujue, na anapoteza pesa nyingi saña usifikiri kurusha yale makombora ni pesa ndogo ndo maama amehamia kwenye vi drone vya irani vya bei rahisi, maji yako shingoni kwa urusi...yani ni kama kajiingiza kweñye ule mtego wa panya wenye nyavu yani kuingia rahisi kutoka mziki
Fateh-110 toka Iran zinaenda huko,huu mwaka watulie[emoji1787]Urusi kiboko ya mashoga
Tuko na Marekani hadi mwisho
Basi uummoja wao🤸🤸HUNA HOJA , PUMBÄ TU
Uliambiwa na nanihuu mchezo wakati unaanza tuliambiwa wiki moja ni kubwa sana, tuliambiwa hayatazidi masaa 72..
Nani alikwambia ndo lengo lakekumbuka lengo lake la awali ilikua aiteke nchi yote.. kiev akarudishwa njiani, hiyo 15% bado kuna mtifuano hajaimiliki kikamilifu
mshasahau ? mlidai ndo operation fup kuwai kutokea [emoji16]Nani alikwambia ndo lengo lake
.View attachment 2400373
Counselor wa Ujerumani bwana Scholz amesema Taifa lake litajitenga na kutuma silaha huko Ukraine kwa sababu 20-30% ya Wajerumani wanapinga hilo na hawataki vilevile Urusi iwekewe vikwazo.
Scholz pia anataka kuendeleza mahusiano mema ya kibiashara na mshirika wa karibu na Urusi, China.
Uliambiwa na nani