Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Bila msaada wa USA huyo mrusi alikuwa anakimbilia China.Wajerumani nao kwa gubu au bado wana kisasi tangu walivyopelekewa moto mwaka 45 na Mrusi , shida ya mrusi utampiga weee ukishaamini kachoka kabisa huyu ndio anaamka na kuanza kukushambulia ukasimulie mbele huko