Ujerumani na Italy zakataa mpango wa NATO wa msaada wa silaha kwa Ukraine kushambulia ndani ya mipaka ya Urusi

Ujerumani na Italy zakataa mpango wa NATO wa msaada wa silaha kwa Ukraine kushambulia ndani ya mipaka ya Urusi

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amezitaka nchi za NATO kuipa silaha Ukraine ili ishambulie ndani ya mipaka ya Russia hasa military targets.

Mpango huu umekuja baada ya Ukraine kutembezewa kichapo cha kutosha kutoka kwa Russia na majeshi ya Russia kuzidi kusonga mbele kuelekea mji muhimu wa Kharkiv.

Ila baadhi ya washirika wa NATO kama Ujerumani na Italy hawajaunga mkono wazo hilo.

Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz, Waziri wa Mambo ya nje wa Italy, Antonio Tajani na makamu wa waziri mkuu wa Italy, Matteo Salvini wameonyesha msimamo wa nchi zao kwa kukutaa.

Scholz: "Hatupaswi kupiga ndani ya Urusi ili kuepusha vita kubwa."

Tajani: "Hatutatuma mwanajeshi hata mmoja wa Kiitaliano nchini Ukraine, na vifaa vya kijeshi ambavyo Italia hutuma vinapaswa kutumika katika eneo la Ukraine."

Salvini: "Tunatafuta amani, sio utangulizi wa Vita vya Kidunia vya Tatu."

Nini kinaendelea katika mataifa ya Ulaya?

Kuhusu Netanyahu mataifa ya Ujerumani na Ufaransa yalikubaliana na waraka wa ICC kuhusu kukamatwa kwa Netanyahu.

Norway, Spain na Ireland zimeitambua Palestine as a state.

Acha tuupe muda nafasi.
 
Hawataki yajirudie ya WW1 na WW2
Pia wanategemea sana nishati kutoka Russia

Germany industiral output imeshuka kwa sababu ya vikwazo vya nishati kutoka Russia Italy nao ni hivyohivyo

Wameangalia mbele maafa watakayopata kiuchumi wakijaribu kuichokoza Russia kwa kuruhusu silaha zao kwa Ukraine ziishambulie ndani ya mipaka ya Russia
 
Mkuu silaha za baadhi ya nchi za NATO tayari zinatumika kupiga ndani ya Russia! Tena kupiga sehemu muhimu!Western weapons already striking Russian territory – Lavrov
Umesoma heading na habari vizuri?

Kwa ufafanuzi tu NATO wanachosema waipe silaha Ukraine ishambulie military targets located in the internationally recognized Russian territory

Kitu ambacho mpaka sasa hakuna silaha yoyote waliyopewa Ukraine wameshambulia military targets ndani ya Russia
 
Umesoma heading ba habari vizuri?

Kwa ufafanuzi tu NATO wanachosema waipe silaha Ukraine ishambulie military targets located in the internationally recognized Russian territory

Kitu ambacho mpaka sasa hakuna silaha yoyote waliyopewa Ukraine wameshambulia military targets ndani ya Russia
Mkuu hayo ni maneno ya Waziri wa mambo ya kigeni ya Russia!
Kimsingi siyo muda mrefu Ukraine inaelekea kuanguka kabisa! Na US na NATO hawako tayari kupata fedheha hii.
 
Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg alikuja na wazo la nchi za NATO kuipa silaha Ukraine ili ishambulie ndani ya mipaka ya Russia hasa military targets.

Mpango huo ulikuja baada ya Ukraine kutembezewa kichapo cha kutosha kutoka kwa Russia na majeshi ya Russia kuzidi kusonga mbele kuelekea mji muhimu wa Kharkiv.

Ila baadhi ya washirika wa NATO kama Ujerumani na Italy hawajaunga mkono wazo hilo.

Chancellor wa Ujerumani Olaf Scholz, Waziri wa Mambo ya nje wa Italy, Antonio Tajani na makamu wa waziri mkuu wa Italy, Matteo Salvini wameonyesha msimamo wa nchi zao kwa kukutaa.

Scholz: "Hatupaswi kupiga ndani ya Urusi ili kuepusha vita kubwa."

Tajani: "Hatutatuma mwanajeshi hata mmoja wa Kiitaliano nchini Ukraine, na vifaa vya kijeshi ambavyo Italia hutuma vinapaswa kutumika katika eneo la Ukraine."

Salvini: "Tunatafuta amani, sio utangulizi wa Vita vya Kidunia vya Tatu."

Nini kinaendelea katika mataifa ya Ulaya?

Kuhusu Netanyahu mataifa ya Ujerumani na Ufaransa yalikubaliana na waraka wa ICC kuhusu kukamatwa kwa Netanyahu.

Norway, Spain na Ireland zimeitambua Palestine as a state.

Acha tuupe muda nafasi.
Usije ukawaamini G7. Wanasema ivi, wanafanya vile. Thubutu ujerumani anaongea apeleki silaha lakini ktk uwanja wa vita unazikuta silaha pamoja na maaskari wake
 
Mkuu hayo ni maneno ya Waziri wa mambo ya kigeni ya Russia!
Kimsingi siyo muda mrefu Ukraine inaelekea kuanguka kabisa! Na US na NATO hawako tayari kupata fedheha hii.
Sijui kama umeelewa nilichokuelewesha hebu kasome vizuri

Unajua matokeo yatakuwaje kwa nchi za Ulaya wakisema silaha zao kwa Ukraine zianze direct kushambulia military targets ndani ya Russia?

Hiyo itakuwa ni vita kali sana ambapo hata wao wataathirika vibaya mno.

Hii vita ya Ukraine itaiishia tu kwenye ceasefire agreement na Ukraine atakuwa amepoteza sehemu ya ardhi yake
 
Usije ukawaamini G7. Wanasema ivi, wanafanya vile. Thubutu ujerumani anaongea apeleki silaha lakini ktk uwanja wa vita unazikuta silaha pamoja na maaskari wake
Hapo G7 haihusiki tunazungumzia NATO

Sehemu kubwa ya silaha za msaada kwa sasa zinatumika hasa na Ukraine ni kujilinda ila suala la kusema kupiga military targets ndani ya Russia bado

Au kusema wanajeshi wa Ukraine na mercenaries kuingia ndani ya mipaka ya Russia bado

Na hiki ndicho kipo kwenye mjadala kwa sasa kati ya wanachama wa NATO ambapo Italy na Germany wao wamekataa
 
Back
Top Bottom