Ujerumani na Italy zakataa mpango wa NATO wa msaada wa silaha kwa Ukraine kushambulia ndani ya mipaka ya Urusi

Ujerumani na Italy zakataa mpango wa NATO wa msaada wa silaha kwa Ukraine kushambulia ndani ya mipaka ya Urusi

Russia ina nguvu kijeshi kuliko mataifa yote ya Ulaya
Screenshot_20230516-211511.png
 
Italy na Germany wanaujua mtiti wa Russia ndio maana wamekataa. Ni wanafunzi wazuri wa historia

Russia ni lidude fulani ambalo sio la kuingilia kichwakichwa
Russia haijawahi kuwa Mwamba wa ulimwengu. Ujerumani na Italia ni wahanga wa WWI na WWII hivyo wanaogopa kujiingiza kwenye mambo ya vita yasije yakawatokea ya vita nilivyotaja awali. Norwy na wengine kuitambua Palestine is just a piece cake!
 
Russia haijawahi kuwa Mwamba wa ulimwengu. Ujerumani na Italia ni wahanga wa WWI na WWII hivyo wanaogopa kujiingiza kwenye mambo ya vita yasije yakawatokea ya vita nilivyotaja awali. Norwy na wengine kuitambua Palestine is just a piece cake!
Achana russia, wababe wa vita,, vodka country,, war mongas
 
Russia haijawahi kuwa Mwamba wa ulimwengu. Ujerumani na Italia ni wahanga wa WWI na WWII hivyo wanaogopa kujiingiza kwenye mambo ya vita yasije yakawatokea ya vita nilivyotaja awali. Norwy na wengine kuitambua Palestine is just a piece cake!
Hakuna kanchi kokote kaulaya kanachoweza kuingia vitani na Russia

Ndio maana nikasema Italy na Germany ni wanafunzi wazuri wa history

Baadhi ya nchi za Ulaya kuitambua Palestine ni ushindi kwa Palestine
 
Hakuna kanchi kokote kaulaya kanachoweza kuingia vitani na Russia

Ndio maana nikasema Italy na Germany ni wanafunzi wazuri wa history

Baadhi ya nchi za Ulaya kuitambua Palestine ni ushindi kwa Palestine
Bahati mbaya tuna reference ya Russia kupigana na Finland kwa miaka mitatu na vita iliisha duroo! Just imagine, Finland! Ingekuwa France au Uingereza je? Ahahahahaha!!!
 
Bahati mbaya tuna reference ya Russia kupigana na Finland kwa miaka mitatu na vita iliisha duroo! Just imagine, Finland! Ingekuwa France au Uingereza je? Ahahahahaha!!!
Napoleon Bonaparte na Adolf Hitler
Wanawajua vizuri Russia
Wanajua hao wanywa vodka ni vichaa kwenye kutetea nchi yao
 
Napoleon Bonaparte na Adolf Hitler
Wanawajua vizuri Russia
Wanajua hao wanywa vodka ni vichaa kwenye kutetea nchi yao
Sina hakika kama upo sahihi. Napoleon Bonaparte hakushindwa vita na Russia chini ya Alexander the Great bali they made a truce. Adolf Hitler ali missculculate. Alienda kumvamia Russia akamdharau Uingereza ambaye alimshambulia akiwa Russia.
 
Sina hakika kama upo sahihi. Napoleon Bonaparte hakushindwa vita na Russia chini ya Alexander the Great bali they made a truce. Adolf Hitler ali missculculate. Alienda kumvamia Russia akamdharau Uingereza ambaye alimshambulia akiwa Russia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Historia iyo umeitowa wapi
 
Sina hakika kama upo sahihi. Napoleon Bonaparte hakushindwa vita na Russia chini ya Alexander the Great bali they made a truce. Adolf Hitler ali missculculate. Alienda kumvamia Russia akamdharau Uingereza ambaye alimshambulia akiwa Russia.
Wajerumani awakuamini kilichowakuta kule Staligrad.uwo mji ukingia tu kichwa kichwa basi Warusi wanasherekea maana kuna muda unakuwa na baridi sio ya kawaida sasa hapo ndo miujiza inapoanza.vifaru vya Warusi vilikuwa vinatembea ila vya wajerumani vinaganda.jeshi kubwa sana la hitler liliteketea hapo.

Yani kiufupi kama ulikuwa ujui ni kwamba asilimia 85 ya jeshi la Hitler lilimalizwa na Warusi
 
Wajerumani awakuamini kilichowakuta kule Staligrad.uwo mji ukingia tu kichwa kichwa basi Warusi wanasherekea maana kuna muda unakuwa na baridi sio ya kawaida sasa hapo ndo miujiza inapoanza.vifaru vya Warusi vilikuwa vinatembea ila vya wajerumani vinaganda.jeshi kubwa sana la hitler liliteketea hapo.

Yani kiufupi kama ulikuwa ujui ni kwamba asilimia 85 ya jeshi la Hitler lilimalizwa na Warusi
Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom