Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Chukueni pesa mkafirane vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We chawa unaishi kwa shemeji yako utajulia wapi hizi mamboKama unajua ni Mkopo na imeelekezwa kwenye shughuli zilizotajwa unatokwa na mapovu ya nini?
Ulitaka upewe wewe mkononi? Kuna Mkopo unaitwa Msaada?
Wewe unaishi Kwa mama Yako unajua kipi nyumbu mkubwaWe chawa unaishi kwa shemeji yako utajulia wapi hizi mambo
Kwahiyo serekali imeanza kutumika na mabeberu ili kutaka kuharibu amani ya nchi?Ww lalamika lakin serikali ndio inapokea na haijalishi ina agenda gani
Kwahiyo serekali imeanza kutumika na mabeberu ili kutaka kuharibu amani ya nchi?
Wakipokea serekali ndio sahihi, ila wakipokea wapinzani ni za mabeberu wanaotaka kuharibu amani ya nchi! Au ni mambo ya kunya anye kuku, akinya Bata kaharisha.Serikali imekuwa ikopokea misaada kwa hao so called mabeberu tokea uhuru mpaka leo.
Serikali imekuwa ikipokea misaada kwa ajili ya manufaa ya nchi.
Kama wangekuwa wana lengo la kuharibu amani ya nchi nchi ingeshavurugwa tokea uhuru huko
Wakipokea serekali ndio sahihi, ila wakipokea wapinzani ni za mabeberu wanaotaka kuharibu amani ya nchi! Au ni mambo ya kunya anye kuku, akinya Bata kaharisha.
Serikali kupitia Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, imetia saini ya Mkataba huo kupitia Shirikisho la...