Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

NATO mmeanza lini kutoa misaada na imesaidia kitu gani? saivi mmekuja na mbinu ya kijinga kuficha silaha karibu na maghala au viwanda vya Nuklia maana mwanzoni walivyoficha kwenye makazi ya watu walitunguliwa hukohuko na ni suala la muda tu. Hizo silaha zitatunguliwa kwenye hayo maghala na madhara yatawarudia wa ukreine wenyewe

Imesaidia kufuta jeshi la Urusi hadi ameenda kuokoteza huko mitaani na mpaka amehusisha Watanzania na wapiganaji kutoka mataifa mbali mbali ambao wanafyekwa kama senene, yaani Urusi kila nikikumbuka ule mkwara nacheka sana.
 
Imesaidia kufuta jeshi la Urusi hadi ameenda kuokoteza huko mitaani na mpaka amehusisha Watanzania na wapiganaji kutoka mataifa mbali mbali ambao wanafyekwa kama senene, yaani Urusi kila nikikumbuka ule mkwara nacheka sana.
Sasa wakati anaokoteza haya pelekeni madude yenu baada ya wiki mje na mrejesho
 
Hii Ni ishara nzuri kwa uungwaji Mkono wa Ukraine. Lakini hizi nchi ziwe Serious bhana. Unatumaje vifaru 14 tu? Urusi ameingiza zaidi ya vifaru 4000 nchini Ukraine japo zaidi ya 2000 vilishasambaratishwa na MANPADS za Ukraine. Kwahiyo Urusi ana vifaru zaidi ya 2000 nchini Ukraine vilivyoko mstari wa mbele.Sasa vifaru 14 vya Leopard vinawezaje kupambana na vifaru 2000 vya Urusi?

Ukraine inahitaji walau vifaru 400 vya Leopard ili kuirudisha nyuma jeshi la Urusi.
The Russian battle tanks made during the Soviet era are widely believed to be inferior to the highly advanced modern western battle tanks which are believed by many experts that will be a game changer in the on going war.
 
Kama sio Bulgaria mbona zile siku tatu haziishi hadi wanalazimisha raia wa nchi zingine kuwasaidia kupigana. Bure kabisa.
Mlisema Russia kaishiwa silaha na wajeda wameishiwa chakula. Ninachoshanga mpaka sasa hamjakomboa jimbo hata moja. NATO sasahivi imekuwa joka la kibisa
 
Hivi nyinyi mnao sema hivyo vifaru vya ujerumani havita wasaidia wanajeshi wa Ukraine hivi mnajua wale wanajeshi wa urusi walio kuwa wanavaa makanzu ndio wanaingia vitani walikua wanajiita sijuia chemu chem mnajua walipotelea wapi.
wale chechinia wote walisha pelekwa kibra huwez kuwasikia tena sasa hv hao wagner wenyew wanaendelea kupukutika tu soon putin mwenyew ataenda front
 
Ujerumani walikua wanasita kutuma hivi vifaru maana siku zote nia yao ilikua kuisaidia Ukraine kujilinda, ila hivi vifaru balaa yake ni kwamba Ukraine sasa atakua na uwezo wa kupelekea mashambulizi, kwa kifupi sio kujilinda tena ila kulianzisha na kupiga.

Wasiwasi wa Ujerumani ni kwamba Ukraine wanaweza wakanogewa na kumfuata Mrusi mpaka Urusi ndani na kupitiliza Crimea hadi kukoleza vita na kubadilisha hali ambayo dunia inaweza ikaja kujutia maana Mrusi akipelekwa sana ndani anaweza akabonyeza manyuklia.

Nia ilikua kumfikisha Mrusi pale Crimea, ila asipigwe hadi ndani, na Ukraine hawajahakikishia kwamba hawatanogewa.

Hiki kifaru ni balaa sana

e57e8cf5d19e9cfdbdd2f3574cfe81be.jpg

====================

German Chancellor Olaf Scholz has decided to send Leopard 2 tanks to Ukraine, and allow other countries to do the same, reports in Germany say.
Leopard 2s are made in Germany and Berlin needs to approve their export.

Germany has been hesitant to send its own - or allow other nations to send theirs - over concerns it could escalate the conflict with Russia.

But now Mr Scholz has decided to send the at least a company of Leopard 2 A6 tanks, several German outlets say.
Ni tofauti na kilicho vilivyo pelekwa kule Syria na Uturuki? Make vili viliteketezwa
 
Aliokoteza wamefika eneo la mapambano na kufyekwa, pale ni kichinjio na ndio maana umeona mpaka kuna Watanzania akina Bwana Utam walipeleka kiherehere leo ni msiba
Mamluki wenu wanawaumbua baada ya kufa👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 kutoka BBC
a Andrew Bagshaw, ambao waliripotiwa kutoweka mashariki mwa Ukraine, wameuawa, familia zao zimesema.

Bw Bagshaw, 47, na Bw Parry, 28, walionekana mara ya mwisho wakielekea katika jiji la Soledar tarehe 6 Januari.

Familia ya Bw Bagshaw ilisema kuwa wawili hao walikuwa wakijaribu kumwokoa mwanamke mzee wakati magari yao yaliposhambuliwa.

Familia ya Bw Parry ilisema watu hao walifariki walipokuwa "wakijaribu kuwahamisha watu."

Mapema mwezi huu, kundi la mamluki la Urusi Wagner lilidai kuwa mwili wa mmoja wa watu hao ulikuwa umepatikana.

Soledar ilikuwa kitovu cha mapigano makali na mapema mwezi huu jeshi la Urusi lilidai kuuteka mji wa Ukraine wa mgodi wa chumvi baada ya vita vikali.
 
Hii Ni ishara nzuri kwa uungwaji Mkono wa Ukraine. Lakini hizi nchi ziwe Serious bhana. Unatumaje vifaru 14 tu? Urusi ameingiza zaidi ya vifaru 4000 nchini Ukraine japo zaidi ya 2000 vilishasambaratishwa na MANPADS za Ukraine. Kwahiyo Urusi ana vifaru zaidi ya 2000 nchini Ukraine vilivyoko mstari wa mbele.Sasa vifaru 14 vya Leopard vinawezaje kupambana na vifaru 2000 vya Urusi?

Ukraine inahitaji walau vifaru 400 vya Leopard ili kuirudisha nyuma jeshi la Urusi.
Kuna coalition inaundwa ikiongozwa na Poland ya kutuma hivyo vifaru,jumla ya nchi kama 10 hivi au zaidi kama sikosei....kila nchi itadonate leopard kadhaa, zinaweza fika 100.
 
Hivi nyinyi mnao sema hivyo vifaru vya ujerumani havita wasaidia wanajeshi wa Ukraine hivi mnajua wale wanajeshi wa urusi walio kuwa wanavaa makanzu ndio wanaingia vitani walikua wanajiita sijuia chemu chem mnajua walipotelea wapi.
Chemu chem[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NATO mmeanza lini kutoa misaada na imesaidia kitu gani? saivi mmekuja na mbinu ya kijinga kuficha silaha karibu na maghala au viwanda vya Nuklia maana mwanzoni walivyoficha kwenye makazi ya watu walitunguliwa hukohuko na ni suala la muda tu. Hizo silaha zitatunguliwa kwenye hayo maghala na madhara yatawarudia wa ukreine wenyewe
Urusi ndio muasisi wa kuficha silaha kwenye vinu vya nyuklia bila kusahau kufanya mashambulizi ya maroketi kutokea kwenye Nuclear Power plant

 
Urusi ndio muasisi wa kuficha silaha kwenye vinu vya nyuklia bila kusahau kufanya mashambulizi ya maroketi kutokea kwenye Nuclear Power plant


Video za kuokoteza hizi leta link Russia anashikilia vinu viwili vya Ukrein na ukrein alianza kushambulia hicho kinu.

ila Ukreine anaficha Silaha mbalimbali na anazopewa na NATO kwenye vinu vyake mbalimbali?
 
Mamluki wenu wanawaumbua baada ya kufa👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻 kutoka BBC
a Andrew Bagshaw, ambao waliripotiwa kutoweka mashariki mwa Ukraine, wameuawa, familia zao zimesema.

Bw Bagshaw, 47, na Bw Parry, 28, walionekana mara ya mwisho wakielekea katika jiji la Soledar tarehe 6 Januari.

Familia ya Bw Bagshaw ilisema kuwa wawili hao walikuwa wakijaribu kumwokoa mwanamke mzee wakati magari yao yaliposhambuliwa.

Familia ya Bw Parry ilisema watu hao walifariki walipokuwa "wakijaribu kuwahamisha watu."

Mapema mwezi huu, kundi la mamluki la Urusi Wagner lilidai kuwa mwili wa mmoja wa watu hao ulikuwa umepatikana.

Soledar ilikuwa kitovu cha mapigano makali na mapema mwezi huu jeshi la Urusi lilidai kuuteka mji wa Ukraine wa mgodi wa chumvi baada ya vita vikali.

Hao ni mashujaa wa kweli, ndio wanapaswa kupewa mabikira huko peponi sio hayo makatuni yenu, vifo vyao vitakumbukwa na vitukuu kwamba walisimamia haki, walipigana kwa ajili ya haki na kumlemaza mdhulumaji ambaye sasa hivi jeshi lake limefyekwa mpaka anaomba msaada kote ikiwemo Watanzania.
 
Hao ni mashujaa wa kweli, ndio wanapaswa kupewa mabikira huko peponi sio hayo makatuni yenu, vifo vyao vitakumbukwa na vitukuu kwamba walisimamia haki, walipigana kwa ajili ya haki na kumlemaza mdhulumaji ambaye sasa hivi jeshi lake limefyekwa mpaka anaomba msaada kote ikiwemo Watanzania.
Mtaendelea kuletea mizoga yenu mui-leble "mashujaa" 🙂🙂🙂
 
Mlisema Russia kaishiwa silaha na wajeda wameishiwa chakula. Ninachoshanga mpaka sasa hamjakomboa jimbo hata moja. NATO sasahivi imekuwa joka la kibisa
Joka la kibisa ni yule anayepeleka wafungwa kwenye vita kwa nguvu baada ya askari wake wengi kuuawa na wengine kujeruhiwa baada ya kushindwa kumaliza vita kwa siku tatu.
 
Vifaru maana yake ni kwenda kufanya offense
 
Hii Ni ishara nzuri kwa uungwaji Mkono wa Ukraine. Lakini hizi nchi ziwe Serious bhana. Unatumaje vifaru 14 tu? Urusi ameingiza zaidi ya vifaru 4000 nchini Ukraine japo zaidi ya 2000 vilishasambaratishwa na MANPADS za Ukraine. Kwahiyo Urusi ana vifaru zaidi ya 2000 nchini Ukraine vilivyoko mstari wa mbele.Sasa vifaru 14 vya Leopard vinawezaje kupambana na vifaru 2000 vya Urusi?

Ukraine inahitaji walau vifaru 400 vya Leopard ili kuirudisha nyuma jeshi la Urusi.
Tactically Russia sidhani kama anaweza modern warfares kama westerners. HIMARS zilianza kwenda hapo Ukraine hazikuzidi hata 10, zilikuwa 4 au 6 tu.

Hii ni kwamba unaipeleka silaha vitani ili utazame uwezo wake, adui atatumia adui gani kupambana nayo n.k ukishapata majibu mazuri ya research yako, unaongeza mzigo.
 
Back
Top Bottom