Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

Ujerumani walikua wanasita kutuma hivi vifaru maana siku zote nia yao ilikua kuisaidia Ukraine kujilinda, ila hivi vifaru balaa yake ni kwamba Ukraine sasa atakua na uwezo wa kupelekea mashambulizi, kwa kifupi sio kujilinda tena ila kulianzisha na kupiga.

Wasiwasi wa Ujerumani ni kwamba Ukraine wanaweza wakanogewa na kumfuata Mrusi mpaka Urusi ndani na kupitiliza Crimea hadi kukoleza vita na kubadilisha hali ambayo dunia inaweza ikaja kujutia maana Mrusi akipelekwa sana ndani anaweza akabonyeza manyuklia.

Nia ilikua kumfikisha Mrusi pale Crimea, ila asipigwe hadi ndani, na Ukraine hawajahakikishia kwamba hawatanogewa.

Hiki kifaru ni balaa sana

e57e8cf5d19e9cfdbdd2f3574cfe81be.jpg

====================

German Chancellor Olaf Scholz has decided to send Leopard 2 tanks to Ukraine, and allow other countries to do the same, reports in Germany say.
Leopard 2s are made in Germany and Berlin needs to approve their export.

Germany has been hesitant to send its own - or allow other nations to send theirs - over concerns it could escalate the conflict with Russia.

But now Mr Scholz has decided to send the at least a company of Leopard 2 A6 tanks, several German outlets say.
Akili ya binadamu ni ya kushangaza sana. Kuna maelfu ya watu wanakufa kila dakika kwa kukosa chakula lakini resources hizi za kivita zinatumia pesa lukuki kila dakika moja. When will men learn to be wise? Mbona mwanadamu anajishusha hadhi hata chini ya hayawani??
 
Akili ya binadamu ni ya kushangaza sana. Kuna maelfu ya watu wanakufa kila dakika kwa kukosa chakula lakini resources hizi za kivita zinatumia pesa lukuki kila dakika moja. When will men learn to be wise? Mbona mwanadamu anajishusha hadhi hata chini ya hayawani??

Hao wanaompigania "allah" wao ndio tatizo maana hawaachi tuishi kwa amani, wanajilipua lipua hivyo inabidi wafuatwe wawahiwe kwenye kulipuliwa.
 
Mlisema Russia kaishiwa silaha na wajeda wameishiwa chakula. Ninachoshanga mpaka sasa hamjakomboa jimbo hata moja. NATO sasahivi imekuwa joka la kibisa
Ww upo dunia gani?
Kharkiv na Lviv ni miongoni mwa maeneo yaliyokombolewa na Ukraine.
 
Kama anaokoteza Askari na kama kweli kaishiwa silaha hadi ananunua kwa Iran kitu gani kinawafanya NATO bado wamejichimbia makwao na kupeleka silaha dhaifu? Ushawahi hata kuwaza? Unajua Ukraine ana rasilimali nyingi kuliki ulaya hasa za ardhini ndio maana wanamsaidia maeneo anayoyakalia Russia ndio yalihudumia chakula Ulaya na ges na mafuta. Kama Putin kadhoofika wangeshaingia kitambo. Kwanini hawaendi?
Usichokielewa vita inavyozidi kuchukua muda inamdhoofisha Russia kidiplomasia na kiuchumi.
Nahisi ungmesikiliza Kaja Kallas Waziri mkuu wa Estonia anavyoshawishi majirani waende kinyume na Russia kwa kutumia hoja ya vita za 2008 na Georgia na za sasa na Ukraine.
Wamagharibi watu wabaya sana achana nao.
 
Usichokielewa vita inavyozidi kuchukua muda inamdhoofisha Russia kidiplomasia na kiuchumi.
Nahisi ungmesikiliza Kaja Kallas Waziri mkuu wa Estonia anavyoshawishi majirani waende kinyume na Russia kwa kutumia hoja ya vita za 2008 na Georgia na za sasa na Ukraine.
Wamagharibi watu wabaya sana achana nao.
Haya mchambuzi kwaio wewe una akili kuliko Putin?
 
Acha history leta matokeo chanya ya mgawo wa silaga kwa Ukraine?
Ukraine toka ipewe silaha imeweza kukomboa miji iloporwa mathalan kharkiv na Lviv,imetoa upinzani mkali Donbas kiasi Putin amefanya millitary mobilisation ya vijana wadogo 300k akiwalazimisha waende vitani.
Na sasa Bakhmut kunawaka
 
Acha history leta matokeo chanya ya mgawo wa silaga kwa Ukraine?
Ukraine toka ipewe silaha imeweza kukomboa miji iloporwa mathalan kharkiv na Lviv,imetoa upinzani mkali Donbas kiasi Putin amefanya millitary mobilisation ya vijana wadogo 300k akiwalazimisha waende vitani.
Na sasa Bakhmut kunawaka.

Kaka labda Nikuulize Putin ni Mungu mpaka awe sahihi kwa kila Jambo analolipanga?
Bashar Assad aliamini kama Putin kuwa raia hawataweza kumpinga na sasa nadhani unajua kinachoendelea Syria.
Haya mchambuzi kwaio wew
 
Ukraine toka ipewe silaha imeweza kukomboa miji iloporwa mathalan kharkiv na Lviv,imetoa upinzani mkali Donbas kiasi Putin amefanya millitary mobilisation ya vijana wadogo 300k akiwalazimisha waende vitani.
Na sasa Bakhmut kunawaka
Hayo ndio mafanikio kwa silaha zoooote hizo 😂😂😂😂 leopard2 zimefikia wapi
 
Hayo ndio mafanikio kwa silaha zoooote hizo 😂😂😂😂 leopard2 zimefikia wapi
Leopard 2 zitatolewa hivi karibuni toka Poland na Estonia.
Sasa Kaka kwa nchi Kam Ukraine ambayo ilikua Ina jeshi dogo unadhani ni mafanikio madogo kwa jeshi kama hilo kuirudisha nyuma jeshi la dubu Putin!?
Tafuta makubaliano ya Russia na Ukraine ya kuhusu jeshi la Ukraine liweje kipindi Ukraine inajitoa usoviet
uone kuwa Ukraine ilikua na jeshi dhaifu sana.
 
Leopard 2 zitatolewa hivi karibuni toka Poland na Estonia.
Sasa Kaka kwa nchi Kam Ukraine ambayo ilikua Ina jeshi dogo unadhani ni mafanikio madogo kwa jeshi kama hilo kuirudisha nyuma jeshi la dubu Putin!?
Tafuta makubaliano ya Russia na Ukraine ya kuhusu jeshi la Ukraine liweje kipindi Ukraine inajitoa usoviet
uone kuwa Ukraine ilikua na jeshi dhaifu sana.
Kwa kile ambacho hujui ni kwamba Russia anatumia silaha dhaifu akitunza zilizo bora incase NATO wakijichanganya
 
Kwa kile ambacho hujui ni kwamba Russia anatumia silaha dhaifu akitunza zilizo bora incase NATO wakijichanganya
Kaka si inasemekana hypersonic missiles Russia anazitumia!?
Au hizo pia za zamani!?
Sawa tusem za zamani Ila kumbuka vita itahitaji uchumi wa kuihimili je Russia uchumi huo anao!?
JIRANI yake mwema ni Belarus tu je ata survive NATO akijihusisha directly!?
Una uhakika China na Iran watajihusisha directly ktk vita NATO wakijihusisha !?
Kwani NATO hawan sophisticated weapons!?
 
Kaka si inasemekana hypersonic missiles Russia anazitumia!?
Au hizo pia za zamani!?
Sawa tusem za zamani Ila kumbuka vita itahitaji uchumi wa kuihimili je Russia uchumi huo anao!?
JIRANI yake mwema ni Belarus tu je ata survive NATO akijihusisha directly!?
Una uhakika China na Iran watajihusisha directly ktk vita NATO wakijihusisha !?
Kwani NATO hawan sophisticated weapons!?
Wanaosema hivyo au idadi ya makombora yaliyorushwa, mangapi yamedunguliwa 😂😂😂😂
Jamaa yupo kimyaa?

Trust me dogo putin is empting his arsenal for new ones
 
Wanaosema hivyo au idadi ya makombora yaliyorushwa, mangapi yamedunguliwa 😂😂😂😂
Jamaa yupo kimyaa?

Trust me dogo putin is empting his arsenal for new ones
Aya muda utaongea kikubwa uhai Kaka.
Ila katika allience ya Russia, China,Iran,Belarus na India ni China pekeake mjanja hawa wengine wamechelewa wapi sijui.
 
Aya muda utaongea kikubwa uhai Kaka.
Ila katika allience ya Russia, China,Iran,Belarus na India ni China pekeake mjanja hawa wengine wamechelewa wapi sijui.
Lets wait and see, kama ulivyosema kikubwa uzima
 
Leopard 2 zitatolewa hivi karibuni toka Poland na Estonia.
Sasa Kaka kwa nchi Kam Ukraine ambayo ilikua Ina jeshi dogo unadhani ni mafanikio madogo kwa jeshi kama hilo kuirudisha nyuma jeshi la dubu Putin!?
Tafuta makubaliano ya Russia na Ukraine ya kuhusu jeshi la Ukraine liweje kipindi Ukraine inajitoa usoviet
uone kuwa Ukraine ilikua na jeshi dhaifu sana.
Machimbo ya kijeshi, silaha n.k ramani zake Russia alikuwa nazo. Hata zile migs za Ukraine mwanzoni mwa Vita hazikuweza kufanya kazi sababu Russia alizihack kwa wepesi sana.

NATO hawakuwa wajinga toka 2014 kuanza kuwachukua Ukraine ktk hii medani. Na isingekuwa NATO, Ukraine ingeshamezwa muda sana.

Mpaka sasa ni lazima Russia achukue baadhi ya maeneo ili vita viendelee kwa muda mrefu, hili ndilo lengo la NATO, walitamka hivi mwanzoni kabisa mwa VITA.
 
Kaka si inasemekana hypersonic missiles Russia anazitumia!?
Au hizo pia za zamani!?
Sawa tusem za zamani Ila kumbuka vita itahitaji uchumi wa kuihimili je Russia uchumi huo anao!?
JIRANI yake mwema ni Belarus tu je ata survive NATO akijihusisha directly!?
Una uhakika China na Iran watajihusisha directly ktk vita NATO wakijihusisha !?
Kwani NATO hawan sophisticated weapons!?
China hawezi kuingia kucheza huu mziki, angekuwa yupo tayar angeanza na Taiwan.

China aliona kabisa, kama Russia anapukutishwa hivi, basi yeye kwa Taiwan ilosukwa na US kwa muda mrefu hataiweza abadani.
 
Back
Top Bottom