Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

Ujerumani yaruhusu upelekwaji wa vifaru vya Leopard 2 nchini ya Ukraine

Aya muda utaongea kikubwa uhai Kaka.
Ila katika allience ya Russia, China,Iran,Belarus na India ni China pekeake mjanja hawa wengine wamechelewa wapi sijui.
Iran anasuasua kwa mhasimu wake Israel. Akimess tu, anaweza akapata maangamizi makubwa. China akitazama uchumi wake, hawezi kujihusisha na vita.

US amekaa pembeni anatazama tu wanavyo wanavyocheza rumba.
 
Back
Top Bottom