FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada.
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano...
Maana wengine wanasema Dagaa, mahindi, maharage, karanga nk ni
mahindi, soya, karanga, ulezi, mtama n.k.
Mahindi ya bisi, uwele, ngano, karanga, soya n.k.
Kwa anayejua ni vitu vizuri vikichanganywa msaada tafadhari..
Wenu Mtiifu,
FL1.
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano...
Maana wengine wanasema Dagaa, mahindi, maharage, karanga nk ni
mahindi, soya, karanga, ulezi, mtama n.k.
Mahindi ya bisi, uwele, ngano, karanga, soya n.k.
Kwa anayejua ni vitu vizuri vikichanganywa msaada tafadhari..
Wenu Mtiifu,
FL1.