Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,851
- 9,472
Chenu na nani?
na first lady
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenu na nani?
Na kama sina microwave wala strainer, unanishauri nifanyeje.
Mlo wa aina hii mtoto anatakiwa apatiwe mara ngapi kwa siku?
1,2,3 ???
Mdau35
Kama huna microwave chemsha maji kisha itumbukize kwenye maji kwa few minutes -lengo ni kuilainisha vizuri sio kuipika! Kama huna strainer iponde kwa kijiko, mwiko etc cha muhimu ilainike kabisa kumbuka ndio anaanza, tumbo lake halitamudu particles anaweza kupata shida ya choo.
Shukran
Annina
FL
Kama ndio anaanza, mpatie mara 2.
Angalizo: jaribu kumpa chakula cha aina moja kwa angalau 3 -7 days ili uone kama kina reaction yeyote.
Tuendelee kubadilishana mawazo.
Annina
dona soya na ngano vimefanya maajabu kwa mwanangu
thanks Dear
Nimemwanzishia ya ndizi na maziwa naona anakula vizuri
dada Karucee mi nimepigwa butwaa kwenye hiyo ratio ya lishe halafu kupikwa kwa dakika 10?
Huu mchanganyiko unakua na ladha gani?? Unalika??
Dagaa kwenye uji?? Lazima iwe na ladha isiyopita kooni..
a.rahabu,
Tushirikishe basi na sisi, unaandaaje, unachanganya na nini na anapewa mara ngapi.
Shukran,
Annina
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada ,
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano.....
maana wengine wanasema
Dagaa,mahindi ,maharage ,karanga nk ni
mahindi ,soya ,karanga ,ulezi ,mtama nk nk
Mahindi ya bisi,uwele,ngano,karanga,soya nk nk
Kwa anayejua ni vitu vziuri vikichanganywa msaada tafadhari
wenu Mtiifu
FL1
Yes, hiyo ndo lishe nampa mtoto wangu, na its the best kwani pia inamjengea imune system nzuri.
Mamii ulipoanza kumpa huu mchanganyiko alikua ana umri gani?Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10
Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10
saga mahindi na brown rice! huwa nawapa watoto wangu ivo! hali ikiwa ngumu kidogo maana brown rice ipo ghali kidogo...bas wanakunywa uji wa dona unachemka vizuri natia na maziwa! wanaupendaHabari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada.
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano...
Maana wengine wanasema Dagaa, mahindi, maharage, karanga nk ni
mahindi, soya, karanga, ulezi, mtama n.k.
Mahindi ya bisi, uwele, ngano, karanga, soya n.k.
Kwa anayejua ni vitu vizuri vikichanganywa msaada tafadhari..
Wenu Mtiifu,
FL1.
Ufuta na korosho hivyo vina mafuta, vikichanganywa na nafaka halafu vikae kwa muda mrefu vinatengeneza toxins. Usalama ni kutengenexa nafaka pekee, hivyo vyenye mafuta mf. Karanga, ufuta, au korosho weka unapochemsha huo uji tena viwekwe mwishoni, siyo unapoanza tu kukoroga uji. Haishauriwi mchanganyiko mwingi kwenye chakula cha mtoto.Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10