Joyeuse
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 275
- 182
Naombeni majibu kwenye hili nataka kutumia mtama kama mbadala wa mahindi jee inwezekana? Maana twins wangu asubuhi uji donah mchana ugali dona aisee nawahurumia yani.. nahisi linawachosha sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app