The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.
bora hata na wewe umeona hii ni overdose hata kama ni wa miezi 6 na kuendelea matokeo yake mtoto anakuwa obesity mzazi anajua nu afya