Uji mzuri wa watoto wanaotakiwa kuanza kula, mchanganyiko mzuri ni upi?

Uji mzuri wa watoto wanaotakiwa kuanza kula, mchanganyiko mzuri ni upi?

Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.

bora hata na wewe umeona hii ni overdose hata kama ni wa miezi 6 na kuendelea matokeo yake mtoto anakuwa obesity mzazi anajua nu afya
 
Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10

Mchanganyiko huo haufai kabisa kwani utaleta poor digetion na itasababisha poor absoption constipation malnutrition.nashauri tumia unga wa nafaka mmoja like dona ya mahindi changanya na protein moja either maziwa au unga wa soya ya lishe na mafuta kidogo kati ya cooking oil,au blueband au karanga kidogo.Na lengo la kutumia mchangajiko wa vitu vichache ktk kutayarisha uji wa mtoto ni kurahihisha mmeng'enyo wa chakula tumboni kwake hivyo kurahisisha pia food absortion na mtoto kukua kwa afya njema.pia mpe na maji ya matunda supu ya nyama
 
Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.

Dona tena ndo utaua bendi, mana hapo ndo mana hata ulezi cjaweka na hapohapo vipo vya kuutilize digestion.
 
dada Karucee mi nimepigwa butwaa kwenye hiyo ratio ya lishe halafu kupikwa kwa dakika 10?

Unapika kwa dk10 kwa sababu hivyo vitu utakuwa umevikaanga kabla ya kusaga meaning vitakuwa vimeiva, au kipi hujaelewa hapo?
 
Last edited by a moderator:
Ndizi mbivu - banana, unaweka kwa microwave kwa dk 1 kuifanya ilainike vizuri, then unaiponda ponda au pitisha kwa strainer. Kisha ongeza maziwa kama nilivyoelekeza awali.

Annina

Annina nimependa hii
Unaweza kumpa mtoto ambaye hajafikisha miezi sita ??
 
FL
Kama ndio anaanza solids ni bora ukaanza na kitu kimoja kimoja kama wengine walivyoshauri. Kwa kuanzia jaribu puree ya avocado na banana unaiponda ponda unachanganya na maziwa (breast milk au formula anayotumia) ni nzuri and very nutritious. Wa kwangu ana miezi 6 anaipenda sana. You can do the same na apple, carrot, papaya. Zaidi tuwasiliane.

Annina

Nipe zaidi procedure za kutengeneza

thank you
 
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada ,
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano.....
maana wengine wanasema
Dagaa,mahindi ,maharage ,karanga nk ni
mahindi ,soya ,karanga ,ulezi ,mtama nk nk
Mahindi ya bisi,uwele,ngano,karanga,soya nk nk
Kwa anayejua ni vitu vziuri vikichanganywa msaada tafadhari
wenu Mtiifu
FL1

Hongera kwa kumaliza maternity leave shemeji
 
Nipe zaidi procedure za kutengeneza

thank you

FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha pitisha/sugua ndizi na avocado kwa strainer utapata uji mzito, ongeza maziwa hadi upate uji wa size unayotaka - kwa beginner ni vizuri usiwe mzito sana. Pia ni vizuri kutengeneza mlo wa mara moja - usitengeneze kingi ukahifadhi! So kipande cha banana na kipande cha avocado vinatosha kwa mlo- and yes mtoto wa miezi 5 anaweza kula. Wangu alianza akiwa na miezi 5 (nilipata ushauri wa kitaalam). Unaweza ukampa banana peke yake na avocado peke yake - mi napenda kuchanganya.


Karibu
Annina
 
FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha pitisha/sugua ndizi na avocado kwa strainer utapata uji mzito, ongeza maziwa hadi upate uji wa size unayotaka - kwa beginner ni vizuri usiwe mzito sana. Pia ni vizuri kutengeneza mlo wa mara moja - usitengeneze kingi ukahifadhi! So kipande cha banana na kipande cha avocado vinatosha kwa mlo- and yes mtoto wa miezi 5 anaweza kula. Wangu alianza akiwa na miezi 5 (nilipata ushauri wa kitaalam). Unaweza ukampa banana peke yake na avocado peke yake - mi napenda kuchanganya.


Karibu
Annina

Na kama sina microwave wala strainer, unanishauri nifanyeje.
 
FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha pitisha/sugua ndizi na avocado kwa strainer utapata uji mzito, ongeza maziwa hadi upate uji wa size unayotaka - kwa beginner ni vizuri usiwe mzito sana. Pia ni vizuri kutengeneza mlo wa mara moja - usitengeneze kingi ukahifadhi! So kipande cha banana na kipande cha avocado vinatosha kwa mlo- and yes mtoto wa miezi 5 anaweza kula. Wangu alianza akiwa na miezi 5 (nilipata ushauri wa kitaalam). Unaweza ukampa banana peke yake na avocado peke yake - mi napenda kuchanganya.


Karibu
Annina

Mlo wa aina hii mtoto anatakiwa apatiwe mara ngapi kwa siku?
1,2,3 ???
 
Back
Top Bottom