Uji mzuri wa watoto wanaotakiwa kuanza kula, mchanganyiko mzuri ni upi?

Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10

karanga,ufuta na njugumawe tafuta kimojawapo na si vyote kwa mkupuo halafu unga wa lishe hautakiwi kukaa muda mrefu unatakiwa kuandaa kiasi
 
 
 
FL
Kama ndio anaanza solids ni bora ukaanza na kitu kimoja kimoja kama wengine walivyoshauri. Kwa kuanzia jaribu puree ya avocado na banana unaiponda ponda unachanganya na maziwa (breast milk au formula anayotumia) ni nzuri and very nutritious. Wa kwangu ana miezi 6 anaipenda sana. You can do the same na apple, carrot, papaya. Zaidi tuwasiliane.

Annina
 

ndizi mbivu au
 
Ndizi mbivu - banana, unaweka kwa microwave kwa dk 1 kuifanya ilainike vizuri, then unaiponda ponda au pitisha kwa strainer. Kisha ongeza maziwa kama nilivyoelekeza awali.

Annina
 
Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10

Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…