The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.
Ngano kg 5, (kaanga- Korosho 1/2kg, Kunde 1/2kg, Mbaazi1/2kg, Njugumawe 1/2) Ufuta1/2kg, Unga wa ubuyu1kg,) karafuu ya 1000/=, Iliki ya1000, . Usage alafu kupika ni dk10
sawa we endelea tu madhara si lazima yatokee hapo hapo wengi hufanya kwa kutokujua cha muhimu zingatia ratio
Siwezifsnya jambo bila kulifanyia uchunguzi wa kitabibu so usidhani nlikurupuka tuu ndo mana nkskuambia kama hakikufai ama hukielewi acha. Na kuhusu ratio I do it well
Mhhhh am sorry to differ with u duuuu mtoto wa miez mitano yan hata recommended age yake yakuanza solids haijafka umwekeevvkorokoeo vyote hvo duuu.kwa ushauri wangu msagie donna usichanganye na kitu CHOCHOTEEE then koz tumbo lake bado ni geni kwa chakula uchuje bfore kuupika.ukiiva mwekee na maziwa yake ya kopo.akifikisha miez 6 usimchujie.
Ndizi mbivu - banana, unaweka kwa microwave kwa dk 1 kuifanya ilainike vizuri, then unaiponda ponda au pitisha kwa strainer. Kisha ongeza maziwa kama nilivyoelekeza awali.
Annina
Annina nimependa hii
Unaweza kumpa mtoto ambaye hajafikisha miezi sita ??
FL
Kama ndio anaanza solids ni bora ukaanza na kitu kimoja kimoja kama wengine walivyoshauri. Kwa kuanzia jaribu puree ya avocado na banana unaiponda ponda unachanganya na maziwa (breast milk au formula anayotumia) ni nzuri and very nutritious. Wa kwangu ana miezi 6 anaipenda sana. You can do the same na apple, carrot, papaya. Zaidi tuwasiliane.
Annina
kitoto chetu kimekua eeh?
kinamsubiri auntie aje akianzishie chakula
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada ,
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano.....
maana wengine wanasema
Dagaa,mahindi ,maharage ,karanga nk ni
mahindi ,soya ,karanga ,ulezi ,mtama nk nk
Mahindi ya bisi,uwele,ngano,karanga,soya nk nk
Kwa anayejua ni vitu vziuri vikichanganywa msaada tafadhari
wenu Mtiifu
FL1
Nipe zaidi procedure za kutengeneza
thank you
FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha pitisha/sugua ndizi na avocado kwa strainer utapata uji mzito, ongeza maziwa hadi upate uji wa size unayotaka - kwa beginner ni vizuri usiwe mzito sana. Pia ni vizuri kutengeneza mlo wa mara moja - usitengeneze kingi ukahifadhi! So kipande cha banana na kipande cha avocado vinatosha kwa mlo- and yes mtoto wa miezi 5 anaweza kula. Wangu alianza akiwa na miezi 5 (nilipata ushauri wa kitaalam). Unaweza ukampa banana peke yake na avocado peke yake - mi napenda kuchanganya.
Karibu
Annina
nitakuja kwakweli, mwambie aunt hus anampenda.
FL
Procedure ni rahisi, chakula hiki hakipikwi. Chagua avocado na ndizi zilizoiva vizuri, safisha kwa umakini maana havipikwi so hakikisha hakuna uchafu kabisa. Weka ndizi (ripe banana) yako bila kumenya kwenye microwave kwa sec 50 hadi dk 1 ili ilainike vizuri - ndizi huwa ngumu kidogo. Kisha pitisha/sugua ndizi na avocado kwa strainer utapata uji mzito, ongeza maziwa hadi upate uji wa size unayotaka - kwa beginner ni vizuri usiwe mzito sana. Pia ni vizuri kutengeneza mlo wa mara moja - usitengeneze kingi ukahifadhi! So kipande cha banana na kipande cha avocado vinatosha kwa mlo- and yes mtoto wa miezi 5 anaweza kula. Wangu alianza akiwa na miezi 5 (nilipata ushauri wa kitaalam). Unaweza ukampa banana peke yake na avocado peke yake - mi napenda kuchanganya.
Karibu
Annina
kitoto chetu kimekua eeh?