Ujinga alioufanya msanii Willy Paul jana dhidi ya wasanii wa Tanzania ukemewe vikali

Wakenya wana wivu na chuki sana willy ni msanii mzuri lakin hawezi kumfikia Diamond hao wote wajitape Diamond yupo juu mziki wa 𝑻𝒁 unaongoza watulie ,nimefurahi diamond kughairi na kuondoka
Kilichowapeleka akina domo nchini Kenya ji kipi?

They should know their boundaries
 
Vijana barubaru wapo vzr..
 
Kilichowapeleka akina domo nchini Kenya ji kipi?

They should know their boundaries
Boundaries kivipi wakati Wakenya wenyewe ndio walimuhita Diamond Platnumz aje afanye show....
 
Boundaries kivipi wakati Wakenya wenyewe ndio walimuhita Diamond Platnumz aje afanye show....
Wale jamaa wako na frustration zao

Watawajeruhi tu akina mondi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakenya wakisha tafuna miraai vichwa vinaenda resi..Kwanza nashangaa Kenya wanann zaidi yakukimbia mbio Kama vibaka
Ndomaana magu..aliwakomaliga
wakajaaupepo
Sasa TZ mna nn kuizidi Kenya? Upumbavu na ujinga au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakenya ni wapumbavu sana. Hata Fally Ipupa alishawahi kukataa kupiga show Mombasa kwa sababu ya ujinga ujinga wa hao jamaa.
 
Na weww Usituletee Ujinga.. kama ni hivyo Wange deal na Diamond Personally.. kwa nini Wataje Watanzania???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…