Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

Wanajua ila wanafanya makusudi kupotosha. Sababu zao ni hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Akija kiongozi mkristu akikosea akikosolewa nasi tuseme kwasababu ni Mkristu.

Wacheni kujidumaza akili, kama hamna maarifa ya uongozi na "thick skin" ya kupokea kasoro zenu msiongoze hili taifa.
 
Mkataba wa kusafirisha nyama kwenda huko kutumia bombardier umeishia wapi?

Kwann unataka watanzania wamuamini mama pasipo kuwa na mashaka naye?

Alisema atatoa ripoti ya uchunguzi wa fedha zilizovhotwa BOT mpk leo kimya.
Kwann unataka watanzania wamuamini ktk hili?
Umeamka!
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana

Mtu akisema “wanyama hai” wewe unajuaje kwamba wanyamapori hawahusiki? Kwanini hakusema “…fursa ya kusafirisha mifugo…”, kauli ambayo ingemfanya kila mtu ajue wanyamapori hawahusiki?

Watu wana kila sababu ya kuwa skeptical. Mtu ambaye amewahi kung’atwa na nyoka, hata akiguswa na jani tu huenda akaruka!
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Nyama za kwenye makopo hakuna huko Oman??

Kanusha kwanza hilo ndio tuanze kuzungumza ulichokileta chawa wewe
 
Ikiwa wewe ndiye unaejiona mwelevu miongoni mwa watanzania, sina budi kukubali kuwa Watanzania ni wajinga.
 
Kama kipimo cha werevu ndo kukubali kila kitu bila kuhoji basi, basi mtoa post ndo mjinga number moja nchi hii
Kipimo cha werevu ni kuhoji na kudadisi kila kitu
 
Angalia wewe ndyo ukawa zaidi ya fala tena fala mwenye uelewa mdogo kabisa zaidi nyumbu, sijui unaelewaje maana ya neno ‘wanyama hai’ kwenye layman definition
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Mkuu hao waliotafsiri hivyo wamefanya hivyo makusudi kwa minajiri ya kupotosha Ili wao wasukume ajenda zao ovu za kisiasa sio kwamba hawaelewi..

Ingawa wanafanya hivyo Kwa kuelewa kwamba wengi wa wapokeaji ni wajinga,Washamba ,limbukeni na wasiojielewa..

Hao ndio waliposti kwenye mitandao eti Serikali imeshapata $40B kwa hiyo wafute Tozo 😬😬..

Hii Nchi Nyerere aliharibu sana watu.
 
Angalia wewe ndyo ukawa zaidi ya fala tena fala mwenye uelewa mdogo kabisa zaidi nyumbu, sijui unaelewaje maana ya neno ‘wanyama hai’ kwenye layman definition
Ukiamua kutafsiri kitu kwa upande wako kila kitu unaweza kutafsiri kwa upande wako
 
Mtu akisema “wanyama hai” wewe unajuaje kwamba wanyamapori hawahusiki? Kwanini hakusema “…fursa ya kusafirisha mifugo…”, kauli ambayo ingemfanya kila mtu ajue wanyamapori hawahusiki?

Watu wana kila sababu ya kuwa skeptical. Mtu ambaye amewahi kung’atwa na nyoka, hata akiguswa na jani tu huenda akaruka!
Kwanza hakuna wanyamapori wanaofugwa?
 
Wanajua ila wanafanya makusudi kupotosha. Sababu zao ni hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Hiyo namba 2 ndiyo kuu haswaa, huo ndo ukweli.

Akifanya deal na wazungu, ambako ameshatembelea sana tu tangu awe raisi, utawasikia wanawaita wazungu hao 'wawekezaji' na hali huwa kimya tu. Akifanya kideal kidogo tu na mwarabu utawasikia, 'mwekezaji wa kiarabu'
 
Hiyo namba 2 ndiyo kuu haswaa, huo ndo ukweli.

Akifanya deal na wazungu, ambako ameshatembelea sana tu tangu awe raisi, utawasikia wanawaita wazungu hao 'wawekezaji' na hali huwa kimya tu. Akifanya kideal kidogo tu na mwarabu utawasikia, 'mwekezaji wa kiarabu'
Wamejaa ujinga, ushamba , chuki na husda tu
 
It doesn’t matter! Wild animals (wanyamapori) hata wakiwekwa zoo hawaitwi domestic animals or livestock (mifugo). Ni machotara (crossbreeds) fulani tu wa wild animals na domestic animals wanakidhi sifa za kuitwa domestic animals!
Unaelewaje maneno wanyama hai?
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
SUKUMA GANG wanampinga Mama kila kitu wana Hasira na Mama

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nimesoma kichwa Cha habari, na kama aliyeandika ni Mtanzania nikaendelea na mambo yangu tu.
 
Siku zote ukijiona wewe uko sahihi kila wakati Ujue una shida sehemu ,Kwa kifupi hakuna alikamilika kabisa hata Yule mgonjwa wa afya ya akili huwa anajiona yuko sahihi sana kuliko wengine .Kwa anacho fanya Mama kila mtu ana maoni yake na Usiaminishe watu waamini unacho amini wewe .
Utadhani yeye yupo naye Oman
 
Juzi tu Samia na genge lake walitaka kusafirisha wanyama pori wetu wakiwa hai mpaka pale kelele zilipopigwa wakatulia, waziri wa utalii akatangaza kusitisha ule uamuzi.

Watu wakajiuliza kulikoni huyu waziri hakuwa na taarifa kuhusu ule uamuzi?

Leo Samia ndio ameona aje na mbinu ya kusafirisha mbuzi na kondoo ili awachanganye na twiga wetu, halafu ulivyokosa akili unaita wengine wajinga wakati wewe ndie mpumbavu kabisa.
Na dealer mkuu wa wanyama pori ni makamu wake
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Mama Samia hakumaanisha hvyo ulivyosema wewe , sema mwanangu umeupiga mwingi Sana kwenye kuandika pumba
 
Back
Top Bottom