Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

Ujinga na Ushamba ni mzigo sana kwa Watanzania

Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Lete hotuba ya kiingereza hapa ndio tujadili au alionngea kiarabu,kuna tofauti ya livestock na wild animals.yeye alitamka kipi hapo
 
Hata wafanyabiashara wanaosafirisha nyama kwenda Uarabuni watakwambia huko soko sio la uhakika! kadri muda unavyozidi kwenda wanahitaji zaidi wanyama hai kuliko nyama kama nyama kutokana na sababu za kidini! Unless bidhaa yako iwe na chapa ya ( Halal)
Tutawapelekea hadi nguruwe hai huko wasikonde
 
Hata nauli ya kutoka tu bukoba kuja dar huna halafu unaita watanzania wajinga.
 
Mtu akisema “wanyama hai” wewe unajuaje kwamba wanyamapori hawahusiki? Kwanini hakusema “…fursa ya kusafirisha mifugo…”, kauli ambayo ingemfanya kila mtu ajue wanyamapori hawahusiki?

Watu wana kila sababu ya kuwa skeptical. Mtu ambaye amewahi kung’atwa na nyoka, hata akiguswa na jani tu huenda akaruka!
Umempiga na jiwe lisilo na vumbi!
 
Wanajua ila wanafanya makusudi kupotosha. Sababu zao ni hizi

1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Mama hajakosea ila tuwalaumu walioua Tanzania Parkers ya pale Kawe. Pale watu waliomaliza SUA ndo walioanza kufanya kazi pale na uzalishaji ulishamiri. UAE walitumia mazao yetu na tulweza kutengeneza ajira pamoja na kuanzisha viwanda vya ngozi Morogoro na cha viatu.

Waliingia wajuaji baada ya Mwalimu kung'atuka wakaona hapa ndo mwanya wa kuimaliza hii nchi.

Ni hao hao wanaomnanga Samia kuwa hajui afanyalo kumbe anatonesha vidonda vyao. Wanasahau wale waliokaa pale kawe miaka karibu 20 kusubiri mafao yao.
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Hilo soko la wanyama ghafi halina tija kwa taifa..
Maana yake ni kuua ajira kwenye viwanda vya nyama Tanzania na kuhamishia hizo ajira Uarabuni 🙄
 
Kiukweli Australia imekamata soko la nyama arabuni, kwa jinsi mleta mada alivyoeleza kwamba waarabu wanapendelea zaidi wanyama hai kuliko nyama ili wawe na uhakika na ibada yao ya kuchinja basi kauli ya rais kuhusu kutangaza fursa ya kusafirisha wanyama hai kwenda arabuni ina mashiko. Na ikiwa hatuwezi ku access soko la ulaya la nyama kutokana na magonjwa ya mlipuko ya mifugo, hivi hatuoni fursa ya uarabuni ni kubwa sana na inaweza kutuinua kiuchumi?​
 
Bado nasema na nitasema daima , kati ya jambo ambalo bado serikali imefeli kupambana nalo ni ujinga na ushamba na ukitaka kuona nchi hii wajinga ni wengi sana basi fuatilia mijadala ya humu JF

Leo Mama Samia kafanya kikao na wafanyabiashara wa Oman na ameelezea fursa ya kusafirisha wanyama hai kutoka Tanzania kwenda Oman na nchi za kiarabu

Kwa ujinga tu wa Watanzania wengi wametafsiri statement ya Mama Samia kuwa ni kusafirisha wanyama pori!

Ujinga na ushamba wa watu hawa umesababishwa na kutokujua kuwa kwa mujibu wa dini ya kiislamu ambayo ndo dini kuu ya uarabuni sio vizuri kula kibudu. Waislamu hasa wanaamini nyama anayotakiwa kuila Muislamu safi ni nyama (fresh) iliyochinjwa kwa kufuata taratibu zao na hili ndo limepelekea kukua sana kwa biashara ya usafirishaji wa wanyama hai kutoka nchi mbalimbali kwenda nchi za kiarabu!

Wanyama hao ni mbuzi, kondoo, ng'ombe na hata Ngamia na moja ya nchi zilizokamatia hii fursa mapema kabisa ni nchi ya Australia. Waarabu wa sasa wanataka kumuona mnyama na kumchinja wenyewe ili wamle kwa sababu dini yao inawalazimisha kula nyama inayotokana na mnyama fresh aliyechinjwa kwa kufuata taratibu zao(Halal).

Wafanyabiashara wa Australia walikosa sana masoko uarabuni kwa sababu waarabu walianza kupunguza kununua nyama na kuhitaji wanyama hai jambo lililowafanya wabadili mbinu na kuanza kusafirisha wanyama hai!

Mama Samia ameona hiyo fursa na pia ameona pia fursa ya nchi yetu kuwa na bandari kubwa inayoweza kutumika kusafirisha wanyama hawa hai kiurahisi kwenda nchi za uarabuni maana kijiogrqphia Tanzania tuko karibu sana na nchi za uarabuni na ameamua kuisimamia ifanikiwe.

Kwa ushama na ujinga wa Watanzania wanaponda hadi hili kisa tu chuki zao! Mbaya zaidi wanahusisha na wanyamapori jambo ambalo sio kweli!

Piga kazi Mama Samia! Wenye akili tunakuelewa sana
Punguani mpo wengi sana nowadays. Nonsense
 
Siku zote ukijiona wewe uko sahihi kila wakati Ujue una shida sehemu ,Kwa kifupi hakuna alikamilika kabisa hata Yule mgonjwa wa afya ya akili huwa anajiona yuko sahihi sana kuliko wengine .Kwa anacho fanya Mama kila mtu ana maoni yake na Usiaminishe watu waamini unacho amini wewe .
kwa kauli hii naambatanisha na bajeti nzima ya mwaka huu. good comment
 
Back
Top Bottom