Ujinga ni tatizo kuu hapa Tanzania

Ujinga ni tatizo kuu hapa Tanzania

Nchi inaweza kuwa na wachapa kazi na wasomi ila wakakosa mitaji na teknolojia ila kupitia wawekezaji
Mitaji ni nini ?
Hivi unadhani kuna uwekezaji / project yoyote ambayo haiitaji mtaji either government / financiers /au Kodi ? kila mtu anachukua Mtaji; Na kama nchi ina wasomi wanaojua si watawekeza kwenye Teknolojia ? Hivi wewe unajua China ya Wapi ? China ambayo mambo ya Saa; Printing Machines Biogas; Aquaculture wanayafanya tangu enzi na enzi ? Unadhani ile Wall of China ilijengwa lini na kina nani ?!!! Acha kabisa hivi vi nchi kama USA ni vya kuji ukiangalia sehemu kama China ipo tangu na tangu... ni kwamba pale kati tu walibweteka....
ndio Sasa wachina nao wakaiba teknolojia (Hili unalojua) na kujifunza teknolojia maana Moja ya sera ilikua ni kwamba ukifungua biashara china basi ni lazima uta disclose teknolojia Yako kwa serikali after 3 years lakini pia ujenge uwezo kwa wachina waweze endesha taasisi na sio kuajiri tu expatriates.
Wakaiba teknolojia ?!! Ebu niambie teknolojia huwa inatoka wapi ? Watu wengi mataifa yote yalipenda kwenda USA sababu ilionekana kama land of the free na opportunities ukibanwa kwenu unakwenda kule, ukiwekeza vema unatoboa ila teknolojia nyingi zinatokoka kwenye instutions kama vyuo na watu kuwa na wito wa kujifunza kuna Kipindi Germany ilikuwa vema sana (iliwekeza kwenye research and development) Corporation zote kubwa zinawekeza kwa bright minds kwenye vyuo for long term gains (issue ni kwamba huenda kampuni nyingi za huko kwa sasa zipo kwenye short term gains wakati big Institutions zinamwaga pesa (tena zikiongozwa na serikali mfano kuwekeza kwenye military ili watu wagundue vitu) ndio maana kuna vitu vingine huwa vinagunduliwa kwenye jeshi (pesa nyingi inamwagwa na serikali)
So mtaongea mengi ila Mao was a failure kiuchumi hasa baada ya janga la Great leap forward but Deng ndio alijenga uchumi unaouona Sasa kwa kuruhusu sekta binafsi ikamate nyenzo za kiuchumi.

Na ndio maana hapa tunapoongea DP World na makampuni mengine yamepewa tender za kuendesha bandari huko China.
Tafuta historia ya China - Wachina ni wachapa kazi; wachina wanafuata sheria na wachina sio wabishi hio ndio asset kubwa kuliko zote... Mambo ya economic systems yanabadilika muda baada ya muda huwezi kutumia nyenzo za zama za mawe ukaleta zama za utumwa au zama za industrial revolution..., mambo yamebadilika sasa hivi dunia ni kijiji na kuna global economy (hata mfumo wa ubepari miaka ijayo hautafanya kazi sababu kwa sasa ajira hazipo wala nguvu kazi haiitajiki tena) Dunia ya sasa 99 percent ya utajiri wa duniani unamilikiwa na 1 percent; hio kwa security ya hao 1 percent ni hatari ndio maana unaona mara maandamano huku watu kushikana mashati n.k.; kwahio fahamu kabisa the next mixed economies itabadilika tena sababu the environment has changed yet again....
 
Enzi za Mao, China ilikuwa nchi ya kikomunisisti iliyoamini katika Sera za Ukomunisti.

Pamoja na Ukomunisti wa China, Rais wa kwanza wa China, Mao aliamini kuwa ni lazima apeleke vijana nje ya China wakajifunze Dunia inaendaje na ikoje ili warudi kufanya mabadiliko China.

Moja ya vijana hao alikuwepo Den Xiapoing ambaye alikuja kuwa Rais wa China baada ya Mao. Den alipelekwa Ulaya na akajifunza sana namna uchumi wa Ulaya ulivyokuwa unaenda.

Alipokuja kurudi China, Den alianzisha mfumo wa Private Property na Uwekezaji wa Sekta binafsi katika mfumo wa Uchumi wa China. Kipindi chake ndo makampuni mengi ya Marekani yalienda kufungua viwanda na kufanya uwekezaji China.

Kwa wachina wengi walimuona Deng ni msaliti wa Mao kwa kuwa wengi walikuwa wanaamini kila kitu ni cha wachina na mwekezaji kutoka nje ni mwizi. Den aliwajibu haijalishi kama paka ni mweupe au ni mweusi ili mradi anakamata panya basi huyo anatufaa

Pamoja na wachina kupata shida kuelewa Sera za Den Xiapoing ila leo ndo wachina wanamsujudu kama The Father of Modern China.

Ukiacha China kuna nchi za Singapore na Umoja wa Falme za Kiarabu ambao Dubai ni nchi mojawapo za umoja huo.

Hizi nchi nazo miaka ya 1960 ilikuwa kama sisi! Ila watawala wao walipata akili kuwa kwa akili za kuwaza sisi ndo sisi hatutafika popote. Kupitia rasilimali ya mafuta Dubai walibadilisha Sera zao kuhamasisha uwekezaji wa sekta binafsi. Leo hii kila mtu Duniani anakwenda kutalii Dubai na si kwa sababu ya mafuta tu ila kutokana na namna ikivyojengwa , inavyopendeza na ilivyo na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa.

Ukija Tanzania. Hapa ndo shida ilipo. Nchi hii ilianzishwa katika misingi ya kijamaa. Misingi hii iliwaaminisha watu kuwa kila kitu ni Serikali na Serikali ni kila kitu. Mfumo huu ambao unaamini katika state capture umedumaza akili za Watanzania wengi sana kiasi ambacho kuna Watanzania leo hawajifunzi hata dunia ikoje, inaenda wapi na itakuwa wapi miaka hata 50 mbele.

Akili hizi zinaamini kuwa Sera ya uwekezaji ni kuuza nchi, Uwekezaji ni uuzaji wa nchi. Sera hii imewafanya Watanzania kuwa nyuma sana. Nchi yetu kuwa nyuma sana, mifumo yetu ya huduma kuwa nyuma sana.

Leo hii Tanzania, unatoka Dar hadi Kigoma kwa masaa zaidi ya 15 kwenye treni ambayo muda wowote unaweza kuambiwa leo hakuna usafiri. Ndani ya hiyo treni vyoo vichafu, huduma ni mbovu ila mtanzania hana shida ili mradi tu inamilikiwa na Serikali

Leo hii nchi yetu ina bandari zinayoweza kuhudumia ipasavyo nchi hadi 8 zinazotuzunguka, ila meli zinakaa wiki 2 hadi 3 kushusha mizigo, wafanyabiashara wanapoteza mizigo yao, hakuna mapato makubwa nchi inaweza kupata na kufanya maendeleo makubwa ila watu wanaona sawa tu ili mradi iwe chini ya Serikali. Hawajali hata wakiambiwa meli zinakimbia zinaenda Bandari za nchi jirani ili mradi waone au wasikie Serikali ndo mmiliki. Huu ni ujinga uliotukuka sana.

Kibaya zaidi pamoja na ujinga huu wa Watanzania, nchi jirani zinazotuzunguka zinakimbia sana ili kukamata fursa za kiuchumi sisi tusiwe na kitu. Rwanda amejenga Bandari kavu kubwa sana ili mizigo ya Congo Mashariki ipite kwake . Bandari hii kawapa wawekezaji. Sasa Rwanda anajenga uwanja wa Ndege mkubwa zaidi Afrika Mashariki ambao utaendeshwa pia na Sekta binafsi.

Huku Kenya amejenga Bandari ya Lamu ambayo ataiendesha kwa sehemu kubwa kupitia sekta binafsi, Msumbiji kaomba vikosi vya Rwanda vilinde Bandari zake ili wawekezaji waweze kuwekeza na zifanye biashara. Hawa wakifanya haya Serikali ikichukua hatua kuboresha utendaji wa Bandari kuna watu wanaaza kusema nchi inauzwa.

Serikali ikiwasikiliiza hawa watu kuna hatari kubwa sana huko mbeleni nchi yetu kuja kuwa kituko cha mwisho zaidi kuliko hata sasa, kutokana na kusikiliza wajinga huku nchi ikitakuwa ikimbie iendane na mabadiliko ya Dunia ya sasa.

Kwa Dunia inavyokwenda sasa, Tanzania haipaswi kurudi nyuma tena! Ujinga usipewe tena nafasi Tanzania!
The father of modern China is Sun Yat-sen at least Chairman Mao can fit on that position but not Mr Deng.

I respect Deng Xiaoping but not that huge position you put him in China.
 
Hili la uwekezaji wa bandari limepita na watu hawajaandamana...Tumefanikiwa kwa hili kulipitisha.

litakuja jingine kubwa tutatulia na kuanza kulia.

Miaka 60 mbele sasa tunaanza kucheka wengine wakiwa makubulini.

Nawazaka siku BAHARI ikitokea hii dunia itakuwa na mabonde au vipi na sisi ndio itakuwa mwisho WETU.

Asee BANGI ya jana ilikuwa kali sana.
 
Enzi za Mao, China ilikuwa nchi ya kikomunisisti iliyoamini katika Sera za Ukomunisti.

Pamoja na Ukomunisti wa China, Rais wa kwanza wa China, Mao aliamini kuwa ni lazima apeleke vijana nje ya China wakajifunze Dunia inaendaje na ikoje ili warudi kufanya mabadiliko China.

Moja ya vijana hao alikuwepo Den Xiapoing ambaye alikuja kuwa Rais wa China baada ya Mao. Den alipelekwa Ulaya na akajifunza sana namna uchumi wa Ulaya ulivyokuwa unaenda.

Alipokuja kurudi China, Den alianzisha mfumo wa Private Property na Uwekezaji wa Sekta binafsi katika mfumo wa Uchumi wa China. Kipindi chake ndo makampuni mengi ya Marekani yalienda kufungua viwanda na kufanya uwekezaji China.

Kwa wachina wengi walimuona Deng ni msaliti wa Mao kwa kuwa wengi walikuwa wanaamini kila kitu ni cha wachina na mwekezaji kutoka nje ni mwizi. Den aliwajibu haijalishi kama paka ni mweupe au ni mweusi ili mradi anakamata panya basi huyo anatufaa

Pamoja na wachina kupata shida kuelewa Sera za Den Xiapoing ila leo ndo wachina wanamsujudu kama The Father of Modern China.

Ukiacha China kuna nchi za Singapore na Umoja wa Falme za Kiarabu ambao Dubai ni nchi mojawapo za umoja huo.

Hizi nchi nazo miaka ya 1960 ilikuwa kama sisi! Ila watawala wao walipata akili kuwa kwa akili za kuwaza sisi ndo sisi hatutafika popote. Kupitia rasilimali ya mafuta Dubai walibadilisha Sera zao kuhamasisha uwekezaji wa sekta binafsi. Leo hii kila mtu Duniani anakwenda kutalii Dubai na si kwa sababu ya mafuta tu ila kutokana na namna ikivyojengwa , inavyopendeza na ilivyo na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa.

Ukija Tanzania. Hapa ndo shida ilipo. Nchi hii ilianzishwa katika misingi ya kijamaa. Misingi hii iliwaaminisha watu kuwa kila kitu ni Serikali na Serikali ni kila kitu. Mfumo huu ambao unaamini katika state capture umedumaza akili za Watanzania wengi sana kiasi ambacho kuna Watanzania leo hawajifunzi hata dunia ikoje, inaenda wapi na itakuwa wapi miaka hata 50 mbele.

Akili hizi zinaamini kuwa Sera ya uwekezaji ni kuuza nchi, Uwekezaji ni uuzaji wa nchi. Sera hii imewafanya Watanzania kuwa nyuma sana. Nchi yetu kuwa nyuma sana, mifumo yetu ya huduma kuwa nyuma sana.

Leo hii Tanzania, unatoka Dar hadi Kigoma kwa masaa zaidi ya 15 kwenye treni ambayo muda wowote unaweza kuambiwa leo hakuna usafiri. Ndani ya hiyo treni vyoo vichafu, huduma ni mbovu ila mtanzania hana shida ili mradi tu inamilikiwa na Serikali

Leo hii nchi yetu ina bandari zinayoweza kuhudumia ipasavyo nchi hadi 8 zinazotuzunguka, ila meli zinakaa wiki 2 hadi 3 kushusha mizigo, wafanyabiashara wanapoteza mizigo yao, hakuna mapato makubwa nchi inaweza kupata na kufanya maendeleo makubwa ila watu wanaona sawa tu ili mradi iwe chini ya Serikali. Hawajali hata wakiambiwa meli zinakimbia zinaenda Bandari za nchi jirani ili mradi waone au wasikie Serikali ndo mmiliki. Huu ni ujinga uliotukuka sana.

Kibaya zaidi pamoja na ujinga huu wa Watanzania, nchi jirani zinazotuzunguka zinakimbia sana ili kukamata fursa za kiuchumi sisi tusiwe na kitu. Rwanda amejenga Bandari kavu kubwa sana ili mizigo ya Congo Mashariki ipite kwake . Bandari hii kawapa wawekezaji. Sasa Rwanda anajenga uwanja wa Ndege mkubwa zaidi Afrika Mashariki ambao utaendeshwa pia na Sekta binafsi.

Huku Kenya amejenga Bandari ya Lamu ambayo ataiendesha kwa sehemu kubwa kupitia sekta binafsi, Msumbiji kaomba vikosi vya Rwanda vilinde Bandari zake ili wawekezaji waweze kuwekeza na zifanye biashara. Hawa wakifanya haya Serikali ikichukua hatua kuboresha utendaji wa Bandari kuna watu wanaaza kusema nchi inauzwa.

Serikali ikiwasikiliiza hawa watu kuna hatari kubwa sana huko mbeleni nchi yetu kuja kuwa kituko cha mwisho zaidi kuliko hata sasa, kutokana na kusikiliza wajinga huku nchi ikitakuwa ikimbie iendane na mabadiliko ya Dunia ya sasa.

Kwa Dunia inavyokwenda sasa, Tanzania haipaswi kurudi nyuma tena! Ujinga usipewe tena nafasi Tanzania!
Deng Xiaoping hakuwa msaliti kwa Mao Zedong hakuvunja misingi ila alifanya maboresho ya misingi.

Deng hakupelekwa ulaya na Mao alikwenda ufaransa kabla hata CPC haijaanzishwa na alienda kusoma masomo binafsi.

Tanzania same as many parts of Africa yapo matatizo mengi sio vyema kusema kwa kuwa China, Singapore na baadhi ya mataifa ya mashariki ya kati yamefanikiwa hivyo nanyi piwa waweza kufanikiwa.

Mna matatizo mengi ya kisiasa, kiuchumi na kijamii hamna misingi bora katika maeneo hayo hata kama Deng Xiaoping au Lee angeweza kuwa hai katika nchi yenu pia asingeweza kufaulu sehemu yoyote ile
 
Enzi za Mao, China ilikuwa nchi ya kikomunisisti iliyoamini katika Sera za Ukomunisti.

Pamoja na Ukomunisti wa China, Rais wa kwanza wa China, Mao aliamini kuwa ni lazima apeleke vijana nje ya China wakajifunze Dunia inaendaje na ikoje ili warudi kufanya mabadiliko China.

Moja ya vijana hao alikuwepo Den Xiapoing ambaye alikuja kuwa Rais wa China baada ya Mao. Den alipelekwa Ulaya na akajifunza sana namna uchumi wa Ulaya ulivyokuwa unaenda.

Alipokuja kurudi China, Den alianzisha mfumo wa Private Property na Uwekezaji wa Sekta binafsi katika mfumo wa Uchumi wa China. Kipindi chake ndo makampuni mengi ya Marekani yalienda kufungua viwanda na kufanya uwekezaji China.

Kwa wachina wengi walimuona Deng ni msaliti wa Mao kwa kuwa wengi walikuwa wanaamini kila kitu ni cha wachina na mwekezaji kutoka nje ni mwizi. Den aliwajibu haijalishi kama paka ni mweupe au ni mweusi ili mradi anakamata panya basi huyo anatufaa

Pamoja na wachina kupata shida kuelewa Sera za Den Xiapoing ila leo ndo wachina wanamsujudu kama The Father of Modern China.

Ukiacha China kuna nchi za Singapore na Umoja wa Falme za Kiarabu ambao Dubai ni nchi mojawapo za umoja huo.

Hizi nchi nazo miaka ya 1960 ilikuwa kama sisi! Ila watawala wao walipata akili kuwa kwa akili za kuwaza sisi ndo sisi hatutafika popote. Kupitia rasilimali ya mafuta Dubai walibadilisha Sera zao kuhamasisha uwekezaji wa sekta binafsi. Leo hii kila mtu Duniani anakwenda kutalii Dubai na si kwa sababu ya mafuta tu ila kutokana na namna ikivyojengwa , inavyopendeza na ilivyo na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa.

Ukija Tanzania. Hapa ndo shida ilipo. Nchi hii ilianzishwa katika misingi ya kijamaa. Misingi hii iliwaaminisha watu kuwa kila kitu ni Serikali na Serikali ni kila kitu. Mfumo huu ambao unaamini katika state capture umedumaza akili za Watanzania wengi sana kiasi ambacho kuna Watanzania leo hawajifunzi hata dunia ikoje, inaenda wapi na itakuwa wapi miaka hata 50 mbele.

Akili hizi zinaamini kuwa Sera ya uwekezaji ni kuuza nchi, Uwekezaji ni uuzaji wa nchi. Sera hii imewafanya Watanzania kuwa nyuma sana. Nchi yetu kuwa nyuma sana, mifumo yetu ya huduma kuwa nyuma sana.

Leo hii Tanzania, unatoka Dar hadi Kigoma kwa masaa zaidi ya 15 kwenye treni ambayo muda wowote unaweza kuambiwa leo hakuna usafiri. Ndani ya hiyo treni vyoo vichafu, huduma ni mbovu ila mtanzania hana shida ili mradi tu inamilikiwa na Serikali

Leo hii nchi yetu ina bandari zinayoweza kuhudumia ipasavyo nchi hadi 8 zinazotuzunguka, ila meli zinakaa wiki 2 hadi 3 kushusha mizigo, wafanyabiashara wanapoteza mizigo yao, hakuna mapato makubwa nchi inaweza kupata na kufanya maendeleo makubwa ila watu wanaona sawa tu ili mradi iwe chini ya Serikali. Hawajali hata wakiambiwa meli zinakimbia zinaenda Bandari za nchi jirani ili mradi waone au wasikie Serikali ndo mmiliki. Huu ni ujinga uliotukuka sana.

Kibaya zaidi pamoja na ujinga huu wa Watanzania, nchi jirani zinazotuzunguka zinakimbia sana ili kukamata fursa za kiuchumi sisi tusiwe na kitu. Rwanda amejenga Bandari kavu kubwa sana ili mizigo ya Congo Mashariki ipite kwake . Bandari hii kawapa wawekezaji. Sasa Rwanda anajenga uwanja wa Ndege mkubwa zaidi Afrika Mashariki ambao utaendeshwa pia na Sekta binafsi.

Huku Kenya amejenga Bandari ya Lamu ambayo ataiendesha kwa sehemu kubwa kupitia sekta binafsi, Msumbiji kaomba vikosi vya Rwanda vilinde Bandari zake ili wawekezaji waweze kuwekeza na zifanye biashara. Hawa wakifanya haya Serikali ikichukua hatua kuboresha utendaji wa Bandari kuna watu wanaaza kusema nchi inauzwa.

Serikali ikiwasikiliiza hawa watu kuna hatari kubwa sana huko mbeleni nchi yetu kuja kuwa kituko cha mwisho zaidi kuliko hata sasa, kutokana na kusikiliza wajinga huku nchi ikitakuwa ikimbie iendane na mabadiliko ya Dunia ya sasa.

Kwa Dunia inavyokwenda sasa, Tanzania haipaswi kurudi nyuma tena! Ujinga usipewe tena nafasi Tanzania!
Wewe ndio mjinga namba moja, umeandika maneno mengi kwa faida ya nani, umelipwa shenzi type.
 
Vipi kuhusu NIDA, ATCL, Huduma duni na slow za Halmashauri, TANESCO, Hospitali za serikali, TBC, TRA n.k nako kubinafsishwe??
Hapo Sasa! TBC Iko taabani kabisa! Kwa mawazo ya mleta mada, TBC inapaswa kubinafsishwa
 
Ndio china chini ya ujamaa ilifeli kabisa under Mao Zedong ila uchumi umekua mkubwa baada ya kukubali kuachana na ujamaa na ku embrace ubepari yaani wakaruhusu nyenzo za uchumi zishikiliwe na watu binafsi.

Deng alifungua nchi wakaja mabeberu kutoka magharibi ndio wakajaza viwanda huko China na mwishowe china ikafunguka kwa Dunia.

Nimeshakueleza hata Dp world Kuna bandari za china na Hong Kong wamepewa kuziendesha alafu unatumia mfano wa china kupinga mwekezaji kupewa bandari Dar? Are you serious?

Ona North Korea au Cuba ni failures sababu ya kung'ang'ania ujamaa na kuona kama private sector ni Wezi.

Mjadala wetu uwe juu ya mkataba wenye maslahi ila sio kupinga mwekezaji kwenye bandari. Sasa kama tumeshindwa chini ya CCM kwa miaka 60 muujiza Gani huo utatusaidia bandari iwe na ufanisi ghafla.
China sio capitalist country. China haijaachana na socialism. China ni modern socialist country
 
Ndio china chini ya ujamaa ilifeli kabisa under Mao Zedong ila uchumi umekua mkubwa baada ya kukubali kuachana na ujamaa na ku embrace ubepari yaani wakaruhusu nyenzo za uchumi zishikiliwe na watu binafsi.

Deng alifungua nchi wakaja mabeberu kutoka magharibi ndio wakajaza viwanda huko China na mwishowe china ikafunguka kwa Dunia.

Nimeshakueleza hata Dp world Kuna bandari za china na Hong Kong wamepewa kuziendesha alafu unatumia mfano wa china kupinga mwekezaji kupewa bandari Dar? Are you serious?

Ona North Korea au Cuba ni failures sababu ya kung'ang'ania ujamaa na kuona kama private sector ni Wezi.

Mjadala wetu uwe juu ya mkataba wenye maslahi ila sio kupinga mwekezaji kwenye bandari. Sasa kama tumeshindwa chini ya CCM kwa miaka 60 muujiza Gani huo utatusaidia bandari iwe na ufanisi ghafla.
North Korea has been under alot of sanctions for many years same as Cuba.
 
Ndio waliingia kwenye social market economy ambapo Kuna soko huria ila makampuni mengi ya serikali nayo Yana compete humo na sio eti monopoly ya serikali kwenye Kila biashara.

Na ndio maana 70% ya GDP huko China ikawa kwenye sekta binafsi yaani makampuni binafsi whether ya wachina au wawekezaji kutoka nje.

Nchi inaweza kuwa na wachapa kazi na wasomi ila wakakosa mitaji na teknolojia ila kupitia wawekezaji ndio Sasa wachina nao wakaiba teknolojia (Hili unalojua) na kujifunza teknolojia maana Moja ya sera ilikua ni kwamba ukifungua biashara china basi ni lazima uta disclose teknolojia Yako kwa serikali after 3 years lakini pia ujenge uwezo kwa wachina waweze endesha taasisi na sio kuajiri tu expatriates.

So mtaongea mengi ila Mao was a failure kiuchumi hasa baada ya janga la Great leap forward but Deng ndio alijenga uchumi unaouona Sasa kwa kuruhusu sekta binafsi ikamate nyenzo za kiuchumi.

Na ndio maana hapa tunapoongea DP World na makampuni mengine yamepewa tender za kuendesha bandari huko China.
Historia ya uchumi wa China ni safari ndefu ambayo haikuazishwa na Deng Xiaoping pekee.

Mageuzi ya kiuchumi ya Deng Xiaoping yasingeweza fanikiwa pasipo misingi iliyo jengwa na chairman Mao.

Mapinduzi ya kinyuklia, sayansi, misingi ya kilimo, viwanda, nishati,chuma n.k haya yote yalifanikishwa chini ya mwenyekiti Mao.
 
China sio capitalist country. China haijaachana na socialism. China ni modern socialist country
70% of china's economy is owned by the private sector, how do you term it as a socialist economy?!
 
Mimi nakuona wewe ndio mjinga Fulani hivi unaejifanya una akili. Wapi watanzania wamekataa wawekezaji?
Sahihi. Watanzania wanakataa terms ya uwekezaji lakini siyo uwekezaji wenyewe
 
Enzi za Mao, China ilikuwa nchi ya kikomunisisti iliyoamini katika Sera za Ukomunisti.

Pamoja na Ukomunisti wa China, Rais wa kwanza wa China, Mao aliamini kuwa ni lazima apeleke vijana nje ya China wakajifunze Dunia inaendaje na ikoje ili warudi kufanya mabadiliko China.

Moja ya vijana hao alikuwepo Den Xiapoing ambaye alikuja kuwa Rais wa China baada ya Mao. Den alipelekwa Ulaya na akajifunza sana namna uchumi wa Ulaya ulivyokuwa unaenda.

Alipokuja kurudi China, Den alianzisha mfumo wa Private Property na Uwekezaji wa Sekta binafsi katika mfumo wa Uchumi wa China. Kipindi chake ndo makampuni mengi ya Marekani yalienda kufungua viwanda na kufanya uwekezaji China.

Kwa wachina wengi walimuona Deng ni msaliti wa Mao kwa kuwa wengi walikuwa wanaamini kila kitu ni cha wachina na mwekezaji kutoka nje ni mwizi. Den aliwajibu haijalishi kama paka ni mweupe au ni mweusi ili mradi anakamata panya basi huyo anatufaa

Pamoja na wachina kupata shida kuelewa Sera za Den Xiapoing ila leo ndo wachina wanamsujudu kama The Father of Modern China.

Ukiacha China kuna nchi za Singapore na Umoja wa Falme za Kiarabu ambao Dubai ni nchi mojawapo za umoja huo.

Hizi nchi nazo miaka ya 1960 ilikuwa kama sisi! Ila watawala wao walipata akili kuwa kwa akili za kuwaza sisi ndo sisi hatutafika popote. Kupitia rasilimali ya mafuta Dubai walibadilisha Sera zao kuhamasisha uwekezaji wa sekta binafsi. Leo hii kila mtu Duniani anakwenda kutalii Dubai na si kwa sababu ya mafuta tu ila kutokana na namna ikivyojengwa , inavyopendeza na ilivyo na uchumi mkubwa na maendeleo makubwa.

Ukija Tanzania. Hapa ndo shida ilipo. Nchi hii ilianzishwa katika misingi ya kijamaa. Misingi hii iliwaaminisha watu kuwa kila kitu ni Serikali na Serikali ni kila kitu. Mfumo huu ambao unaamini katika state capture umedumaza akili za Watanzania wengi sana kiasi ambacho kuna Watanzania leo hawajifunzi hata dunia ikoje, inaenda wapi na itakuwa wapi miaka hata 50 mbele.

Akili hizi zinaamini kuwa Sera ya uwekezaji ni kuuza nchi, Uwekezaji ni uuzaji wa nchi. Sera hii imewafanya Watanzania kuwa nyuma sana. Nchi yetu kuwa nyuma sana, mifumo yetu ya huduma kuwa nyuma sana.

Leo hii Tanzania, unatoka Dar hadi Kigoma kwa masaa zaidi ya 15 kwenye treni ambayo muda wowote unaweza kuambiwa leo hakuna usafiri. Ndani ya hiyo treni vyoo vichafu, huduma ni mbovu ila mtanzania hana shida ili mradi tu inamilikiwa na Serikali

Leo hii nchi yetu ina bandari zinayoweza kuhudumia ipasavyo nchi hadi 8 zinazotuzunguka, ila meli zinakaa wiki 2 hadi 3 kushusha mizigo, wafanyabiashara wanapoteza mizigo yao, hakuna mapato makubwa nchi inaweza kupata na kufanya maendeleo makubwa ila watu wanaona sawa tu ili mradi iwe chini ya Serikali. Hawajali hata wakiambiwa meli zinakimbia zinaenda Bandari za nchi jirani ili mradi waone au wasikie Serikali ndo mmiliki. Huu ni ujinga uliotukuka sana.

Kibaya zaidi pamoja na ujinga huu wa Watanzania, nchi jirani zinazotuzunguka zinakimbia sana ili kukamata fursa za kiuchumi sisi tusiwe na kitu. Rwanda amejenga Bandari kavu kubwa sana ili mizigo ya Congo Mashariki ipite kwake . Bandari hii kawapa wawekezaji. Sasa Rwanda anajenga uwanja wa Ndege mkubwa zaidi Afrika Mashariki ambao utaendeshwa pia na Sekta binafsi.

Huku Kenya amejenga Bandari ya Lamu ambayo ataiendesha kwa sehemu kubwa kupitia sekta binafsi, Msumbiji kaomba vikosi vya Rwanda vilinde Bandari zake ili wawekezaji waweze kuwekeza na zifanye biashara. Hawa wakifanya haya Serikali ikichukua hatua kuboresha utendaji wa Bandari kuna watu wanaaza kusema nchi inauzwa.

Serikali ikiwasikiliiza hawa watu kuna hatari kubwa sana huko mbeleni nchi yetu kuja kuwa kituko cha mwisho zaidi kuliko hata sasa, kutokana na kusikiliza wajinga huku nchi ikitakuwa ikimbie iendane na mabadiliko ya Dunia ya sasa.

Kwa Dunia inavyokwenda sasa, Tanzania haipaswi kurudi nyuma tena! Ujinga usipewe tena nafasi Tanzania!
Hakuna anayechikia au kukataa uwekezaji bali uwekezaji uwe ni wa win win situation na hapo ndo Watz tunapotaka
Sio kwa mikataba ya ovyoovyo
 
70% of china's economy is owned by the private sector, how do you term it as a socialist economy?!
Strategic Companies za China mostly ni State Owned; Kwenye Fortune 500 Companies Duniani za China 71% percent ni State Owned...

China ni Market Socialist Economy; State ina-own Commanding Height companies na strategic companies ambazo zipo katika ushindani na private sectors.... Markets works hakuna mtu anabisha hilo (you can not plan an economy) ila pale ambapo peoples welfare ina matter na State inaown ni kwamba hio ni Mali ya UMMA kuanzia profits mpaka objectives ni kwa manufaa ya UMMA na sio Private Individuals na their Shareholders...

Kumbuka kwamba huu sio mwisho wa economic changes mambo yataendelea kubadilika kulingana na wakati
 
Back
Top Bottom