Ujinga wa Hamza usizalishe ujinga wa medani; yaliyotokea yasitufanye tukose weledi. Polisi imepoteza wapiganaji, familia ya Hamza imepoteza mtoto

Uzi murua sana usiobagua upande.
Yapo makosa ya UWAJIBIKAJI na namna ya Kudai HAKI yako.
Kama namna ya kudai haki itakuwa kama ambavyo imetumiwa kama ipo basi
Law of the jungle ndio itatawala sisi sio wanyama.
Assume hakuwa na bastola , assume hana pesa wala uwezo wa kununua haki ingekuwaje?

Wapo wanaodhani kuwa majukumu waliopewa na wananchi ni kwa ajili ya kujinufaisha na kuyatumia madaraka yao vibaya. Hawa wanastahili KUWAJIBISHWA kma sio leo ni Kesho.

Mwisho tusishangilie mabaya, taifa limepoteza raia wake kwa kutowajibika kwao na wengine kwa kuonewa kabisa hawakuwa na hatia
 
Ningekuona wa maana km ungekuja hapa na Ripoti inayoonyesha kuwa Hamza alikurupuka ktk maamuzi yake, tofauti na hapo wewe ni walewale wenye mawazo finyu ya akina Sirro.
 
Kuna wakati chuma cha mzungu ndo suluhisho sahihi.SASA HV WATAANZA KUOGOPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…