Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Uzi murua sana usiobagua upande.
Yapo makosa ya UWAJIBIKAJI na namna ya Kudai HAKI yako.
Kama namna ya kudai haki itakuwa kama ambavyo imetumiwa kama ipo basi
Law of the jungle ndio itatawala sisi sio wanyama.
Assume hakuwa na bastola , assume hana pesa wala uwezo wa kununua haki ingekuwaje?
Wapo wanaodhani kuwa majukumu waliopewa na wananchi ni kwa ajili ya kujinufaisha na kuyatumia madaraka yao vibaya. Hawa wanastahili KUWAJIBISHWA kma sio leo ni Kesho.
Mwisho tusishangilie mabaya, taifa limepoteza raia wake kwa kutowajibika kwao na wengine kwa kuonewa kabisa hawakuwa na hatia
Yapo makosa ya UWAJIBIKAJI na namna ya Kudai HAKI yako.
Kama namna ya kudai haki itakuwa kama ambavyo imetumiwa kama ipo basi
Law of the jungle ndio itatawala sisi sio wanyama.
Assume hakuwa na bastola , assume hana pesa wala uwezo wa kununua haki ingekuwaje?
Wapo wanaodhani kuwa majukumu waliopewa na wananchi ni kwa ajili ya kujinufaisha na kuyatumia madaraka yao vibaya. Hawa wanastahili KUWAJIBISHWA kma sio leo ni Kesho.
Mwisho tusishangilie mabaya, taifa limepoteza raia wake kwa kutowajibika kwao na wengine kwa kuonewa kabisa hawakuwa na hatia