Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Maisha yanaenda Kasi, Kila MTU Kila siku anatafuta namna ya kuishi.
WACHINA Kila siku wanakuja na Gunduzi za Kila aina , Gunduzi zao zinawekwa mitandaon , zipo Gunduzi zinazowekwa mitandaoni lakn zinakua restricted kutumika kwenye Nchi zao tu .
WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal na Siasa tu, kunafanya MATAPELI haya, yanazi download video hizo mbalimbali.
Kisha wanaziedit na kuzitumia kama Matangazo , utasikiaaaa
Wateja wangu sasa Trekta za kuvunia zimeingiaa
Nyumba za Mchina zimefikaaa
Pikipiki za kutumia Maji zipoo
Tapeli huyu anaweka na namba,
Mtanzania Mjinga, anapiga simu, anaambiwa aaahh unataka Nyumba ? Ya vyumba vingapi? Hiyo ni Milion 5 .
Gharama za usafiri ni juu yetu, au gharama za usafiri Kuna punguzo.
Mtanzania Mvivu na Mjinga , hataki kujua kama Muuzaji ana Ofisi , Ofisi zipo wapi ?? Ni Kampuni ilosajiliwa?
Mtanzania Mjinga, anashindwa hata kuulizia , Naomba unitumie picha yako wewe ukiwa umesimama kwenye nyumba hiyo/Bidhaa hiyo.
Katika kuwaaminisha Watanzania wajinga , Tapeli anakua na Akaunti zake feki nyingine , anazokuja kucomment tena
-Ahsante Mkuu nmepokea mzigo.😂
-Nyumba nzuri sana hii tayari nalala kwangu🤣
-Boss wee ni Mwaminifu sana mzigo umefika.🤣
Huu wizi unafanywa 100% na Wanawake na wanaume wa Dar.
Daah watu wa Dar hata kama mnapenda Maisha mepesi msoyahangaikia, kuweni na huruma.
WACHINA Kila siku wanakuja na Gunduzi za Kila aina , Gunduzi zao zinawekwa mitandaon , zipo Gunduzi zinazowekwa mitandaoni lakn zinakua restricted kutumika kwenye Nchi zao tu .
WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal na Siasa tu, kunafanya MATAPELI haya, yanazi download video hizo mbalimbali.
Kisha wanaziedit na kuzitumia kama Matangazo , utasikiaaaa
Wateja wangu sasa Trekta za kuvunia zimeingiaa
Nyumba za Mchina zimefikaaa
Pikipiki za kutumia Maji zipoo
Tapeli huyu anaweka na namba,
Mtanzania Mjinga, anapiga simu, anaambiwa aaahh unataka Nyumba ? Ya vyumba vingapi? Hiyo ni Milion 5 .
Gharama za usafiri ni juu yetu, au gharama za usafiri Kuna punguzo.
Mtanzania Mvivu na Mjinga , hataki kujua kama Muuzaji ana Ofisi , Ofisi zipo wapi ?? Ni Kampuni ilosajiliwa?
Mtanzania Mjinga, anashindwa hata kuulizia , Naomba unitumie picha yako wewe ukiwa umesimama kwenye nyumba hiyo/Bidhaa hiyo.
Katika kuwaaminisha Watanzania wajinga , Tapeli anakua na Akaunti zake feki nyingine , anazokuja kucomment tena
-Ahsante Mkuu nmepokea mzigo.😂
-Nyumba nzuri sana hii tayari nalala kwangu🤣
-Boss wee ni Mwaminifu sana mzigo umefika.🤣
Huu wizi unafanywa 100% na Wanawake na wanaume wa Dar.
Daah watu wa Dar hata kama mnapenda Maisha mepesi msoyahangaikia, kuweni na huruma.