Ujinga wa Watanzania unavyofanya wanatapelewa mitandaoni Kila siku !!

Ujinga wa Watanzania unavyofanya wanatapelewa mitandaoni Kila siku !!

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Maisha yanaenda Kasi, Kila MTU Kila siku anatafuta namna ya kuishi.

WACHINA Kila siku wanakuja na Gunduzi za Kila aina , Gunduzi zao zinawekwa mitandaon , zipo Gunduzi zinazowekwa mitandaoni lakn zinakua restricted kutumika kwenye Nchi zao tu .


WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal na Siasa tu, kunafanya MATAPELI haya, yanazi download video hizo mbalimbali.

Kisha wanaziedit na kuzitumia kama Matangazo , utasikiaaaa


Wateja wangu sasa Trekta za kuvunia zimeingiaa

Nyumba za Mchina zimefikaaa

Pikipiki za kutumia Maji zipoo



Tapeli huyu anaweka na namba,

Mtanzania Mjinga, anapiga simu, anaambiwa aaahh unataka Nyumba ? Ya vyumba vingapi? Hiyo ni Milion 5 .

Gharama za usafiri ni juu yetu, au gharama za usafiri Kuna punguzo.


Mtanzania Mvivu na Mjinga , hataki kujua kama Muuzaji ana Ofisi , Ofisi zipo wapi ?? Ni Kampuni ilosajiliwa?


Mtanzania Mjinga, anashindwa hata kuulizia , Naomba unitumie picha yako wewe ukiwa umesimama kwenye nyumba hiyo/Bidhaa hiyo.


Katika kuwaaminisha Watanzania wajinga , Tapeli anakua na Akaunti zake feki nyingine , anazokuja kucomment tena

-Ahsante Mkuu nmepokea mzigo.😂

-Nyumba nzuri sana hii tayari nalala kwangu🤣

-Boss wee ni Mwaminifu sana mzigo umefika.🤣


Huu wizi unafanywa 100% na Wanawake na wanaume wa Dar.

Daah watu wa Dar hata kama mnapenda Maisha mepesi msoyahangaikia, kuweni na huruma.

Screenshot_20250119_191747.jpg
 
kuna mdada alitapeliwa kijinga sana na nilimuonya, kuna wauza simu aliwaona huko insta akaniambia kuhusu hiyo platform nikamuambia vitu vya kuangalia alipocheki akaona si salama!.
lakini hakuridhika akawa anakomalia nikamuonya tena na tena!, akafanya malipo bila kuniambia akakaa ati anasubiri simu...🤣🤣
mbona alinitafuta tena hapo kesha subiri kakoma kulia anashindwa huzuni zimemjaa!.
kuna watu wanalazimisha wenyewe kutapeliwa sijui wanashida gani!.
 
kuna mdada alitapeliwa kijinga sana na nilimuonya, kuna wauza simu aliwaona huko insta akaniambia kuhusu hiyo platform nikamuambia vitu vya kuangalia alipocheki akaona si salama!.
lakini hakuridhika akawa anakomalia nikamuonya tena na tena!, akafanya malipo bila kuniambia akakaa ati anasubiri simu...🤣🤣
mbona alinitafuta tena hapo kesha subiri kakoma kulia anashindwa huzuni zimemjaa!.
kuna watu wanalazimisha wenyewe kutapeliwa sijui wanashida gani!.
🤣🤣🤣🤣 Oyaaa Pesa yako ndio inayotumika Kwa mjaanja kuanziasha biashara yake.
 
😅😅😅😅Niliwahi kuwa mjinga nilipigwa mtandaoni mara tatu 🙌🏼😜asante kwa kunifungua.
 
kuna mdada alitapeliwa kijinga sana na nilimuonya, kuna wauza simu aliwaona huko insta akaniambia kuhusu hiyo platform nikamuambia vitu vya kuangalia alipocheki akaona si salama!.
lakini hakuridhika akawa anakomalia nikamuonya tena na tena!, akafanya malipo bila kuniambia akakaa ati anasubiri simu...🤣🤣
mbona alinitafuta tena hapo kesha subiri kakoma kulia anashindwa huzuni zimemjaa!.
kuna watu wanalazimisha wenyewe kutapeliwa sijui wanashida gani!.
Tamaaa 😅
 
Back
Top Bottom