Ujinga wa Watanzania unavyofanya wanatapelewa mitandaoni Kila siku !!

Ujinga wa Watanzania unavyofanya wanatapelewa mitandaoni Kila siku !!

Kama watu wanauziwa maji ya kilimanjaro na mafuta na udongo wanaambiwa ni vya baraka na huyo anaewauzia hazitaki hizo baraka zaodi ya sadaka zaka zako, hii ni hatua ya juu kabisa ya uzwazwa. Wabongo hawataki kuumizq kichwa kutafuta majibu ya maisha yao wao wameamua kuwaachia watu wafikirie kwa niaba yao. Waache wapigwe sana.
 
Maisha yanaenda Kasi, Kila MTU Kila siku anatafuta namna ya kuishi.

WACHINA Kila siku wanakuja na Gunduzi za Kila aina , Gunduzi zao zinawekwa mitandaon , zipo Gunduzi zinazowekwa mitandaoni lakn zinakua restricted kutumika kwenye Nchi zao tu .


WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal na Siasa tu, kunafanya MATAPELI haya, yanazi download video hizo mbalimbali.

Kisha wanaziedit na kuzitumia kama Matangazo , utasikiaaaa


Wateja wangu sasa Trekta za kuvunia zimeingiaa

Nyumba za Mchina zimefikaaa

Pikipiki za kutumia Maji zipoo



Tapeli huyu anaweka na namba,

Mtanzania Mjinga, anapiga simu, anaambiwa aaahh unataka Nyumba ? Ya vyumba vingapi? Hiyo ni Milion 5 .

Gharama za usafiri ni juu yetu, au gharama za usafiri Kuna punguzo.


Mtanzania Mvivu na Mjinga , hataki kujua kama Muuzaji ana Ofisi , Ofisi zipo wapi ?? Ni Kampuni ilosajiliwa?


Mtanzania Mjinga, anashindwa hata kuulizia , Naomba unitumie picha yako wewe ukiwa umesimama kwenye nyumba hiyo/Bidhaa hiyo.


Katika kuwaaminisha Watanzania wajinga , Tapeli anakua na Akaunti zake feki nyingine , anazokuja kucomment tena

-Ahsante Mkuu nmepokea mzigo.😂

-Nyumba nzuri sana hii tayari nalala kwangu🤣

-Boss wee ni Mwaminifu sana mzigo umefika.🤣


Huu wizi unafanywa 100% na Wanawake na wanaume wa Dar.

Daah watu wa Dar hata kama mnapenda Maisha mepesi msoyahangaikia, kuweni na huruma.

View attachment 3206589
WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal na Siasa tu, kunafanya MATAPELI haya, yanazi download video hizo mbalimbali.
 
kuna mdada alitapeliwa kijinga sana na nilimuonya, kuna wauza simu aliwaona huko insta akaniambia kuhusu hiyo platform nikamuambia vitu vya kuangalia alipocheki akaona si salama!.
lakini hakuridhika akawa anakomalia nikamuonya tena na tena!, akafanya malipo bila kuniambia akakaa ati anasubiri simu...🤣🤣
mbona alinitafuta tena hapo kesha subiri kakoma kulia anashindwa huzuni zimemjaa!.
kuna watu wanalazimisha wenyewe kutapeliwa sijui wanashida gani!.
Huyo mdada ulistahili kuchapa makofi aliporudi kwako baada ya kutapeliwa.
Ni mpumbavu Sana yule.
 
Ikiwa kama mpaka zama hizi watu wanauziwaeneo la bahati maji yakihama, watu wanauzuwa ahafi hewa hadharani na wanasiasa na wanazisubiria.
Dah! Nimekumbuka ule mradi wa Vanilla Village kule Njombe
 
Ikiwa kama mpaka zama hizi watu wanauziwaeneo la bahati maji yakihama, watu wanauzuwa ahafi hewa hadharani na wanasiasa na wanazisubiria.
Dah! Nimekumbuka ule mradi wa Vanilla Village kule Njombe
Uliishia wapi vile?
 
Mimi hua naagiza vitu China, kwa ajili yangu na rafiki zangu. Na hizo story za kutapeliwa nakutaka nazo Kila siku. Kuna wanaotapeliwa na watanzania na wanaotapeliwa na wakenya na wanaijeria. Changamoto ya kwanza ni bei nafuu sana, lazima uwe reasonable yaan iphone 15 uuziwe kwa laki 2 hata kama ni China hapana. Lakini wengine hawasomi hizi taarifa vizuri, hawaangalii location ya muuzaji, hizi platforms zinavutia mazungumzo ya pembeni nje ya platform lakini pia zinazuia malipo ya moja kwa moja kwenda kwa muuzaji kama Wire Transfer, M pesa au namba yoyote Ile ambayo muuzaji atapata Hela moja kwa moja. Lakini yote kwa yote, matapeli ndio watu wa kwanza kuifahamu biashara ya mtandaoni. Hivyo usinunue kwa mtu ambayr huna taarifa zake za kutosha, usilipie Hela ya mzigo ikiwa hujui gharama za usafiri za mzigo husika na utachukua muda Gani. Mwisho wewe mwenyewe unaweza kuagiza chochote unachotaka bila kumtumia mtu kati, Dunia inabadilika jifunze tu
 
Back
Top Bottom