Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

Bandari katu hazina dini na wala hazihitaji; wenye bandari zao ndo wenye dini na hapo ndo tatizo linapoanzia.
Prof.Anna Tibaijuka katika kupinga Hoja ya Kuuzwa kwa Bandari kwa kampuni ya DPW aliwahi kusema kwamba:

"Tunapinga suala la kuuzwa kwa bandari kwa DPW siyo kwa sababu ya dini za Viongozi, Bali ni kutokana na KASORO ZILIZOPO KWENYE MKATABA."

Nafikiri sasa umeelewa point iliyopo kwenye hoja hii.
 
Tanzania inaanzia Zanzibar kwenda Bara na sio Kuanzia Bara kwenda Visiwani Zanzibar. Anayejua udongo mdogo walitoa wapi kwenda kuchanganya sehemu yenye udongo mwingi (location waliposimama) atusaidie. Official Union Signing location.
 
Hao waarabu wamewafundisha kutukana ndugu zenu, mjinga wewe. Mna akili ndogo sana kuamini mwarabu ni ndugu yako ila mweusi mwenye imani tofauti na wewe ni kafiri.

Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitilizmbwa
 
Hili sitaki mtu aamini au Aiamini Lakini kuna siku tulikua Quatar mwanadiplomasia mmoja wa moja ya nchi za Ulaya Mashariki akatuambia “ nchi yenu ina mahusiano maalum na UAE “ … akasema wana Ukoo wa ufalme walimuambia Tanzania ni kama moja ya mataifa yanayounda UAE … sasa nikajiuliza ni kwa ajili ya uwepo wao Loliondo au ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu …?!?!??
 
Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Hao ndugu zenu mnaosoma wote ile minyoo ndo wanaongoza kuwatesa sana hata kuwachinja wenzenu huko arabuni!! Hujiulizi kwanini huwa mnakimbilia kwa makafiri Ulaya na si Arabuni mkasome hiyo minyoo?
 
Kama una ndugu anafanya bandari za Mtwara na Tanga uliza nao wamepewa Tangazo ; sasa kama ni dar lot tatu tu kwanini kuwatangazia hadi wa mikoani ?
Ni sawa kuhoji, Huenda DPW ikakosa wafanyakazi wazoefu iwapo wengi wataamua kubaki serikalini hivyo wakaamua kutanua wigo wa wafanyakazi wa bandari walio tayari kuamia DPW
 
Na ndio vurugu mechi za Morogoro na migogoro ya ardhi.

Kitaeleweka.
 
Hakika mikafiri ina chuki kali aisee, hili nilikuwa sijalifikiria kamwe. Yaani ina hila za kila namna ili mradi tu wamchafue wasiyempenda. Ni miongo kupitiliza!!!
Wengi wenu elimu hamna ndo shida pia hata mki elimika elimu huwa haingii
 
Nangojea patiririke-Uhakiki wa taarifa hii
Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World
Ila safari hii CHADEMA wasijifiche kwenye makubaliano ya "Maridhiano"

Ni lazima watoe "Ushirikiano" walio ridhia na waliouhaidi katika vikao vyao Vikuu, kwa Sauti ya Watanganyika.

Hili ni donda ndugu
 
Tunajadili hoja ya mleta mada na si hoja ya tibaijuka. Muelewe mtoa mada.
 
mtu kama huyo aliyevaa miwani ya udini unategemea ataona kasoro zilizipo kwenye mkataba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…