Ujio wa DR Congo EAC: Kiburi cha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa kimefika mwisho

Ujio wa DR Congo EAC: Kiburi cha Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki sasa kimefika mwisho

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Binafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.

Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.

Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
 
Tanzania bado tuna Jeuri

Kongo aridhi kibao kubwa kuliko yetu na Raslimali kibao kuliko Sisi ila kila utakapokanyaga mabomu na risasi za waasi zinarimdima kila kona

Sisi usalama na amani uko juu kuliko nchi yeyote ya EAC

Nenda kachukue ma hekari maelfu ya ma aridhi kongo hata bure uone mziki wake utaichukua at your own risk .Serikali haiwezi guarantee usalama wako dhidi ya Askari waasi walenga shabaha juu ya kichwa cha yeyote kikiwemo chako
 
Ako na majirani wenye gubu na kisununu sana. Kumfikia Kwa uhakika na urahisi lazima upite TZ. Na pia hizo rasilimali kuzivusha nje Kwa usalama, uhakika na urahisi pia ni lazima upite TZ.

Tuchape kazi tuache kiburi Sasa tuchangamkie fursa.
 
Tanzania bado tuna Jeuri

Kongo aridhi kibao kubwa kuliko yetu na Raslimali kibao kuliko Sisi ila kila utakapokanyaga mabomu na risasi za waasi zinarimdima kila kona

Sisi usalama na amani uko juu kuliko nchi yeyote ya EAC

Nenda kachukue ma hekari maelfu ya maradhi kongo hata bure uone mziki wake utaichukua at your own risk .Serikali haiwezi guarantee usalama wako dhidi ya Askari waasi walenga shabaha juu ya kichwa cha yeyote ikiwemo chako
Unafikiri wawekezaji wanaogopa vita. Ndiyo kwanza wanakula na hao wababe wa kivita. Na pia si DRC yote ina vita. DRC ni kubwa kuliko EAC kabla haijajiunga. Sehemu nyingi ni salama. Kiburi cha wakwamishaji kimefika mwisho.
 
Ako na majirani wenye gubu na kisununu sana. Kumfikia Kwa uhakika na urahisi lazima upite TZ. Na pia hizo rasilimali kuzivusha nje Kwa usalama, uhakika na urahisi pia ni lazima upite TZ.

Tuchape kazi tuache kiburi Sasa tuchangamkie fursa.
Inategemea zinakoenda kama zinaenda Ulaya au Amerika hazipiti TZ.
 
Unafikiri wawekezaji wanaogopa vita. Ndiyo kwanza wanakula na hao wababe wa kivita. Na pia si DRC yote ina vita. DRC ni kubwa kuliko EAC kabla haijajiunga. Sehemu nyingi ni salama. Kiburi cha wakwamishaji kimefika mwisho.
Sijasema wanaogopa ,kongo hakuna wawekezaji kuna mabwana wa vita kingereza wanaitwa war lords kama ilivyo Somalia

Kama una silaha una recruit kukodi kikosi chako unateka vijiji unaanza kuchimba Madini
Askari hao waweza kuwa wanavijiji nk ila uwe na kikosi imara kweli kweli sababu anytime war Lord lingine laweza vamia kikosi chako alikaua na kupora mgodi yako mchana kweupe jua linawaka na hakuna Jeshi la Umoja wa Mataifa yaani Monusco wa kukusaidia au Jeshi la kongo kukusaidia

CONGO kuna War Lords sio investors wapo lakini silaha kiunoni

Lakini ukiweza nenda kila la heri sikukatishi tamaa
 
Unafikiri wawekezaji wanaogopa vita. Ndiyo kwanza wanakula na hao wababe wa kivita. Na pia si DRC yote ina vita. DRC ni kubwa kuliko EAC kabla haijajiunga. Sehemu nyingi ni salama. Kiburi cha wakwamishaji kimefika mwisho.
Sasa mnalalamika si ndiyo ilitakiwa mfurahie ili matatizo yawe yameisha huoni huo ni ujinga kulalamikia mtu unayezan ni kikwazo Kwako huku umepata ukombozi . Tanzania hatutoi mseleleko Kwa mtu yoyote yule
 
Sasa mnalalamika si ndiyo ilitakiwa mfurahie ili matatizo yawe yameisha huoni huo ni ujinga kulalamikia mtu unayezan ni kikwazo Kwako huku umepata ukombozi . Tanzania hatutoi mseleleko Kwa mtu yoyote yule
nani kalalamika? Watu tumefurahi we unasema tunalalamika!
 
Sijasema wanaogopa ,kongo hakuna wawekezaji kuna mabwana wa vita kingereza wanaitwa war lords kama ilivyo Somalia

Kama una silaha una recruit kukodi chako unateka vijiji unaanza kuchimba Madini
Askari hao waweza kuwa wanavijiji no ila uwe na kikosi imara kweli kweli sababu anytime war Lord lingine laweza vamia kikosi chako alikaua na kupora mgodi yako mchana kweupe jua linawaka na hakuna Jeshi la Umoja wa Mataifa yaani Monusco wa kukusaidia au Jeshi la kongo kukusaidia

CONGO kuna War Lords sio investors wapo lakini silaha kiunoni

Lakini ukiweza nenda kila la heri sikukatishi tamaa
Hao hao War lords wanahitaji investors. Wao wanasupply ulinzi. War Lords kibao wa DRC wamejirasimisha, wana makampuni, na wengine ni wabunge kabisa. Ukiogopa shauri yako na uoga wako wa Ktz. Wakenya wamejaa kupiga biashara South Sudan watz wanakalia kusingizia vita.
 
Back
Top Bottom