Ujio wa kocha mpya Simba SC hauna tofauti na kupika mchele wenye chuya

Wamechapia Nyufa Kama tunavyoona mkuu
 
HATARI SANA SIMBA INATITIA KWENYE SHIMO LA HEWA
 
Tukumbushane.
 

Attachments

  • downloadfile-76.jpg
    98.5 KB · Views: 3
KWANI ROBERTINHO ALIIHARIBU TIMU?!
FUKUZA FUKUZA YA MAKOCHA HUWA NI KUWAZUGA MASHABIKI TU
Simba Wana mpira wao ndio maana Robertino alikuwa akilalamikiwa sema timu ilikuwa inapata matokeo na viongozi walikuwa wakiwasapoti.
Mtu yeyote. Mwenye jicho la mpira alikuwa anajua Simba itakuja kipigo cha aibu, bahati mbaya ikawa na mtani.
 
Simba Wana mpira wao ndio maana Robertino alikuwa akilalamikiwa sema timu ilikuwa inapata matokeo na viongozi walikuwa wakiwasapoti.
Mtu yeyote. Mwenye jicho la mpira alikuwa anajua Simba itakuja kipigo cha aibu, bahati mbaya ikawa na mtani.
Sasa kwa menendo huu mbovu wa Simba sc analalamikiwa nani kocha au wachezaji?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…