Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Fafanua mkuu kwa manufaa ya wengiCHADEMA is not even a shadow of it's former self.
Mungu Ibariki CHADEMA [emoji1545]Hakika bado wapo Watanzania wanaoililia nchi yao kutokana na ukweli kwamba hakuna tena viongozoi wenye uchungu nao, sasa anapokuja mtu kama Tundu Lissu aliyejidhihirisha wazi kutetea wananchi ni lazi hali kama hizi zijitokeze.
View attachment 2495773
Umelogwa macho utaonaje kivuli?CHADEMA is not even a shadow of it's former self.
Sema mwananchi/mdada abubujikwa na machozi. Siyo wananchi!Hakika bado wapo Watanzania wanaoililia nchi yao kutokana na ukweli kwamba hakuna tena viongozoi wenye uchungu nao, sasa anapokuja mtu kama Tundu Lissu aliyejidhihirisha wazi kutetea wananchi ni lazi hali kama hizi zijitokeze.
View attachment 2495773
Yanasema usiteme wala usimung'unye!Kwani maelewano yanasemaje ?
Wamelipwa haoHakika bado wapo Watanzania wanaoililia nchi yao kutokana na ukweli kwamba hakuna tena viongozoi wenye uchungu nao, sasa anapokuja mtu kama Tundu Lissu aliyejidhihirisha wazi kutetea wananchi ni lazi hali kama hizi zijitokeze.
View attachment 2495773
Kabisa yaaniBila kumung'unya maneno hii nchi inamhitaji tundu lisu kuliko yeye anvyo ihitaji
Karibu sanaJF bwana
Sema shabiki wa chadema abubujikwa na machozi akimpokea LisuSema mwananchi/mdada abubujikwa na machozi. Siyo wananchi!
Kibuyu!Lissu ni muujiza unaotembea. Risasi 16 sio mchezo.
Acha watu walie kwa furaha kumshukuru mwenyezi Mungu muweza wa yote
Hivi Lissu amefikiria kwa nini Mungu kampitisha kwenye mtihani huo yeye na si mwengine?Watu wote mnaosoma hizi Habari za Lisu, chukueni dakika moja tu fumba macho fikiria risasi moja tu iliyopigwa na askari, ikakupata, ikaingia mwilini, ukapelekwa hosipitali na Leo hii ni mzima na unatembea. ACHA MUNGU AITWE MUNGU NA INAWEZEKANA KUNA KUSUDI LA MUNGU. AMANI KWA WOTE ALHAMISI HII