MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tumeambiwa watu wazuri hawafi mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya maombi ungeyaelekeza kwa baba yako mzazi ingekua poa Sana. Siasa imekufanya uabudu watu usiowajuaSiku Lissu anapigwa Risasi, nilikuomba Mungu ulinde kichwa chake tu tubaki na brain yake, asante Mungu Kwa ukuu wako na kujibu maombi ya wengi.
Ila kweli Lissu hayupo sawa ila ni ngumu sana watu kulikubali hili.Kwa hiyo ukipigwa risasi nyingi ndio unakuwa umefuzu shahada ya uraisi Tanzania??
Kwamba nchi kubwa kama hii,apewe mtu ambae hata akili yake bado inaonyesha majeruhi??
Kaka ebu kua seriously na maisha!!!!Au unazungumzia wananchi gani???????Hakika bado wapo Watanzania wanaoililia nchi yao kutokana na ukweli kwamba hakuna tena viongozi wenye uchungu nao, sasa anapokuja mtu kama Tundu Lissu aliyejidhihirisha wazi kutetea wananchi ni lazima hali kama hizi zijitokeze.
View attachment 2495773
Huyo Lissu mwenyewe anashangaa wanavyomshtakia vitu kupanda bei kana kwamba yeye ana mamlaka ya kushusha bei.Njaa tu inawasumbua
Upo wapi mdogo wangu 🤣🤣🤣🤣😂😂😂 uniombee na mimi niwe mwenyekiti wa TLP😃😃😃Siku Lissu anapigwa Risasi, nilikuomba Mungu ulinde kichwa chake tu tubaki na brain yake, asante Mungu Kwa ukuu wako na kujibu maombi ya wengi.
inawezekana macho huna basi hata kupapasa huwezi ?Kaka ebu kua seriously na maisha!!!!Au unazungumzia wananchi gani???????
CCM tunawapenda mno ila vijana hamubebeki mnapenda kulalamika sanainawezekana macho huna basi hata kupapasa huwezi ?
ccm ipi unayoizungumzia , hii hii iliyoshambulia Alphonce Mawazo ?CCM tunawapenda mno ila vijana hamubebeki mnapenda kulalamika sana
Majeruhi nyanyako?Kwa hiyo ukipigwa risasi nyingi ndio unakuwa umefuzu shahada ya uraisi Tanzania??
Kwamba nchi kubwa kama hii,apewe mtu ambae hata akili yake bado inaonyesha majeruhi??
Mnalalamiika Sana madogo karibuni ccm mule matunda ya uhuruccm ipi unayoizungumzia , hii hii iliyoshambulia Alphonce Mawazo ?
Siku zenu zinahesabika mno !Mnalalamiika Sana madogo karibuni ccm mule matunda ya uhuru
Zimebaki ngapi kakaSiku zenu zinahesabika mno !