Ujio wa Lissu, Wananchi wabubujikwa na machozi ya Matumaini

Siku Lissu anapigwa Risasi, nilikuomba Mungu ulinde kichwa chake tu tubaki na brain yake, asante Mungu Kwa ukuu wako na kujibu maombi ya wengi.
Haya maombi ungeyaelekeza kwa baba yako mzazi ingekua poa Sana. Siasa imekufanya uabudu watu usiowajua
 
Kwa hiyo ukipigwa risasi nyingi ndio unakuwa umefuzu shahada ya uraisi Tanzania??

Kwamba nchi kubwa kama hii,apewe mtu ambae hata akili yake bado inaonyesha majeruhi??
Ila kweli Lissu hayupo sawa ila ni ngumu sana watu kulikubali hili.
 
Siku Lissu anapigwa Risasi, nilikuomba Mungu ulinde kichwa chake tu tubaki na brain yake, asante Mungu Kwa ukuu wako na kujibu maombi ya wengi.
Upo wapi mdogo wangu πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ uniombee na mimi niwe mwenyekiti wa TLPπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Wanalia tu, hivi huko Urusi wanaliaje?
Nchi iko na amani
Hakuna matata
 
Kwa hiyo ukipigwa risasi nyingi ndio unakuwa umefuzu shahada ya uraisi Tanzania??

Kwamba nchi kubwa kama hii,apewe mtu ambae hata akili yake bado inaonyesha majeruhi??
Majeruhi nyanyako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…