Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Bandiko lako umelileta kiunafki,,, uislam haumilikiwi na saudia kama ukristo unavyomilikiwa na Vatican,, hakuna mchango wowote unaochangwa msikitini kwenda kwenye sijui jimbo ili uende Vatican, na unachotakiwa kujua hiyo saudia arabia imeikuta hijja kabla hata ya kuwa saudia,, na hakuna tozo ya hija zaidi kulipia ticket yako ya ndege na hoteli utakayolala wewe mwenyewe
Waislamu bhana 😂

Unaipandisha dini yako ya Kiislamu kuwa haimilikiwi na nchi afu hapo hapo unaiponda Ukristo, sasa unadhani mtu mwenye akili timamu atakuelewa?

Ukisikia kutajirisha nchi unaelewa nn?
Kwan hizo pesa za ticket za ndege, hotel utakayolala na kila kitu utakachofanya huko hizo, gharama zinaenda kwa watu wa nchi ipi?
 
Mkuu unaweza kufafanua hapa kwenye machimbo ya dhahabu?!

Nijualo mimi ni kuwa hawa Waarabu walikuwa wakiabudu Miungu ya Kiafrika miaka mingi iliyopita sijui nini kimetupata Waafrika mpaka tukageuziwa kibao?.
Mbona Afrika tuna dhahabu kuliko hao Saudia Arabia, ila ndo hvy tuu akili zetu Waafrika, Tanzanite inapatikana Tanzania tuu ila kinara wa kuyauza ni India, hii n Akili au matope?
 
Kama haumilikiwi na Saudia nenda kahiji Serengeti.

Vatican ni makao makuu ya Catholic only.Sasa hapo ukristo unamilikiwa vipi ?.
😂 Kwamba jamaa akahiji na simba huko Serengeti au Sio 😂
 
Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.

Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.
Tz kuna vivutio vingi vya kitalii, kwahy hii sio zawadi kutoka kwa Allah inayotutajirisha?

Jibu lake ndo hilo hilo kwenye hiyo hijja hapo Saudia.
 
Mkuu unaweza kufafanua hapa kwenye machimbo ya dhahabu?!

Nijualo mimi ni kuwa hawa Waarabu walikuwa wakiabudu Miungu ya Kiafrika miaka mingi iliyopita sijui nini kimetupata Waafrika mpaka tukageuziwa kibao?.
Uliyoaandika ndio nasikia kwako
Ila ngoja nijibu la dhahabu
Saudia wana machimbo ya dhahabu sehemu nyingi na hili sio la kuhadithiwa bali nimefika na kuona

Wana maduka makubwa na mengi sana ya dhahabu
 
Dini ni biashara za watu wachache

Muhammad hapo akicheza kama Pele

Wakristo walipona pale Yesu aliposema ,Saa yaja hamtaabudu katika mlima huu ,maana wamuabuduo Mungu imewapasa kumuabudu katika roho na kweli

Bila hivo matapeli wangesema ni lazima kwenda Yerusalemu ili UPATE baraka

Matapeli sio watu wazuri
Kama tuu biblia imesema watakuja manabii wa uongo na bado watu wanaendelea kupigwa (refer yule Nabii ya Congo aliyewanyoosha watz 😂) ila bado raia hawataki kuelewa, hilo la kwenda Yerusalemu aisee wahuni wangepiga pesa sana aisee n bc tuu sijui kama ita-click wakianzisha hiyo ishu.
 
Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.

Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.
Kwanini hiyo zawadi allah asigawe mpaka ikwiriri? Ila allah wenu mchoyo mbaguzi na mnafeeq
Pepo ni kwa waarabu tu watu weusi hakuna pepo wala bikra
 
Uliyoaandika ndio nasikia kwako
Ila ngoja nijibu la dhahabu
Saudia wana machimbo ya dhahabu sehemu nyingi na hili sio la kuhadithiwa bali nimefika na kuona

Wana maduka makubwa na mengi sana ya dhahabu
Dhahabu ya Saudi nyingi wana import Nabateans walikuwa wanamuabudu Mungu wa Misri ya Kale aitwae Isis.

Habari ndio hiyo now thyself.
 
Kuna kampuni moja ya Mtoto wa kigogo wa Zanzibar UMRA ilikuwa inapiga pesa za kupeleka watu Hija. Lakini ikifika siku ya safari unawaona uwanja wa ndege wamekaa hawajui wanaondoka na ndege gani, wanalalamika kupigwa.

Upigaji uko damuni.
 
Nchi inayomiliki dini yao?
Nani kakwambia Uislamu unamilikiwa na nchi fulani?

Umeandika ujinga kama sio upumbavu hadi nimesikitika sana
Haya mambo hayataki hasira. Uisilamu Saudi Arabia ndo homu kwake sheikh wangu. Ndo wamiliki wa hiyo dini na ndo muhamad alitokea huko na tamaduni za huko na familia yake ipo huko mpaka leo
 
Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.

Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.
Ibrahimu anasingiziwa kwanza hakuwahi kufika huko maka
 
Ndo hivyo,

Sisi tumepewa vyanzo vya maji kibao (bahari, mito, maziwa), madini, wanyama, milima, mvua, misitu etc.

Wao wana jangwa
Walicheza kama Pele,kwanza wamesingizia ibrahimu alijenga hilo jiwe, hiyo ni propaganda ya kwanza ya marketing
 
Haya mambo hayataki hasira. Uisilamu Saudi Arabia ndo homu kwake sheikh wangu. Ndo wamiliki wa hiyo dini na ndo muhamad alitokea huko na tamaduni za huko na familia yake ipo huko mpaka leo
Ni kama wanaenda kutambika kwa muasisi wa dini
 
Kama tuu biblia imesema watakuja manabii wa uongo na bado watu wanaendelea kupigwa (refer yule Nabii ya Congo aliyewanyoosha watz 😂) ila bado raia hawataki kuelewa, hilo la kwenda Yerusalemu aisee wahuni wangepiga pesa sana aisee n bc tuu sijui kama ita-click wakianzisha hiyo ishu.
Kuna wahuni walianzisha ila ikabuma

Maana Yesu alimaliza hiyo biashara alipongea na yule mwanamke msamalia

Kuna tapeli mmoja alikuwa anawasomba kanisani kwake anawapeleka ,baadae yalimshinda
 
Mchongo safi sana huo kwa Saudi kadiri uzombi utakavyohubiriwa kote ndivyo hela zitaendelea kuingia Saudi, wakija kuabudu lile jiwe.
 
Back
Top Bottom