Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....
kabla ya mwaka 1964 nchi inayoitwa Tanzania haikuwepo lakini Kariakoo ilikuwepo, Dar es salaam ilikuwepo, Mwanza ilikuwepo, na serikali ilikuwepo na ilikuwa inakusanya kodi kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....
Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....
aibu naona mimi
Kuna sanamu inaabudiwa zaidi ya lile jiwe jeusi?Waabudu sanamu ndio maana huitwa kondoo hawana wanalolijua
Maca na Madina zipo chini ya umiliki wa familia moja ya SaudiBandiko lako umelileta kiunafki,,, uislam haumilikiwi na saudia kama ukristo unavyomilikiwa na Vatican,, hakuna mchango wowote unaochangwa msikitini kwenda kwenye sijui jimbo ili uende saudia, na unachotakiwa kujua hiyo saudia arabia imeikuta hijja kabla hata ya kuwa saudia,, na hakuna tozo ya hija zaidi kulipia ticket yako ya ndege na hoteli utakayolala wewe mwenyewe
Labda ndo mbinguni anapoishi Mungu.Hata wanaposwali lazima waangalie uarabuni. Hao na wenye dini kwa nini lazima unifunze kiarabu ndo Uwe muislamu.
GIBRILI HUJA JIONI JIONI KIGIZA CHA USONI NA KIGARI CHA FARASI MWENYE MBAWA KUZICHUKUA PEPONI KWA AJILI YA KUUTUNZA UISLAM.Waislamu bhana 😂
Unaipandisha dini yako ya Kiislamu kuwa haimilikiwi na nchi afu hapo hapo unaiponda Ukristo, sasa unadhani mtu mwenye akili timamu atakuelewa?
Ukisikia kutajirisha nchi unaelewa nn?
Kwan hizo pesa za ticket za ndege, hotel utakayolala na kila kitu utakachofanya huko hizo, gharama zinaenda kwa watu wa nchi ipi?
Unajua saudi arabia ameinvest kiasi gani ulaya na marekani?
Unajua saudi arabia ameinvest kiasi gani ulaya na marekani?
Umajua kwamba kiwanja cha ndege kikubwa ulaya heathrow wanakimiliki wao?
Mwaka huu ukiacha miaka iliyopita trump ameiomba saudi arabia kuinvest usd trillion 100 wewe kwa akili yako unajua mafuta na hija tu,go to school
Unajua saudi arabia ameinvest kiasi gani ulaya na marekani?
Umajua kwamba kiwanja cha ndege kikubwa ulaya heathrow wanakimiliki wao?
Mwaka huu ukiacha miaka iliyopita trump ameiomba saudi arabia kuinvest usd trillion 100 wewe kwa akili yako unajua mafuta na hija tu,go to school
Ndio Mkuu na wala hili halishangazi hata kidogo, Unge comment tofauti na hivi ndio ingebidi ishangaze , Maana ingeonesha unafikiri sawasawa jambo ambalo sivyo ilivyo.Shekhe mungu ndio anavyotaka ujue kiarabu na sio kiswahili maana msahafu ulishushwa kwa lugha ya kiarabu. Na ukishindwa kujua ni bakora tu madrasa.