Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Ujio wa magari ya gesi na umeme yameifanya Saudi Arabia wafocus mapato ya Hija . Waislamu wanaitajirisha nchi inayomiliki dini yao

Mpaka Mungu anatushangaa
Tuna kila kitu ambacho hao Saudia ni jangwa tupu lakini wamepambana tangu yamepatikana wakiwa bado masikini wa kutupwa ila akili wakiwa nazo.

Wakasaini mikataba wakiwa na akili

Sisi leo hata mito hatujui thamani yake
Thailand Bangkok kuna floating market nimeiona ambapo wakulima wanauza na kusafirisha matunda na mbogamboga kwenye Mto

Watalii wamejaa hapo
Sisi Mungu anatuona
 
Dini ilikuja na utamaduni we jiulize ingekuwa dini ya uislamu inatokea congo.wale watu wafupi wasingekuwa haramu kwa mfungo huu kuliwa
Ingetokea china mishkaki ya nyoka na konokono ingekuwa halal
 
Wale wamepewa Jangwa tupu ila wamepewa Hijja

Wewe Ikwiriri upo ardhi saafi yenye rutuba, umeifanyia nini?
Kwahiyo wew ulivyo mweusi utapewa bikra 72 na pepo kuliko hao wa jangwani?
1000247027.jpg
 
Dini ni biashara za watu wachache

Muhammad hapo akicheza kama Pele

Wakristo walipona pale Yesu aliposema ,Saa yaja hamtaabudu katika mlima huu ,maana wamuabuduo Mungu imewapasa kumuabudu katika roho na kweli

Bila hivo matapeli wangesema ni lazima kwenda Yerusalemu ili UPATE baraka

Matapeli sio watu wazuri
Wajinga ndio wali wao 😀😀😀

Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..

Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
 
😀😀😀😆😀
Kuna watu wamewazidi akili wenzao. Hbr ya kwamba Mtume alikuwa kwao ni hadithi tu iliyotungwa na wajanja. Dini ina nguvu kubwa kuliko elimu dunia, Profesa wa chuo kikuu km Musa Assad mchallenge chochote kuhusu uislam na anaamini Kiarabu ni lugha ya mwenyenzi Mungu, huyo ni Profesa unategemea nini kwa wale wa MbagaLa
 
Wajinga ndio wali wao 😀😀😀

Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..

Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
Ibrahimu anasingiziwa ,na ni propaganda ya waislamu ili kupata uhalali wa kupiga pesa

Uislamu ulibidi ulijinasibishe na ibrahimu na Uyahudi ili UPATE popularity bila hivo Uislamu ungebaki Uarabuni sawa na Ubudha ,Shinto ulivyobaki Asia

Shiva ,Shinto ,budha wangejinasibisha na dini ya kiyahudi na manabii wa kiyahudi ,Leo wangekuwa Hadi namtumbo
 
Ww ni kubwa jinga,kwanza unatakiwa ujue nan anastahiki kwenda hijja
Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesa

Muhammad alikuwa mfanya biashara
 
Wajinga ndio wali wao 😀😀😀

Hijja ni tambiko la waarabu lililo asisiwa na ibrahim so muhhamad alizaliwa na kukuta huo utamaduni wa hilo tambiko ukiwa unafanyika alicho kifanya yeye nikupambana na kuchukua umiliki wa hilo eneo kisha aka wabrain wash watu zaidi na kuitangaza hiyo mila kimataifa ..

Kinacho nisikitisha ni kuona mpaka leo kuna watu wasio tambua kwamba ibada ya hijja ni tambiko la waarabu ambalo limegeuzwa kuwa ni utalii wa ndani kwa nchi ya saudi arabia na lengo lao kuu haswaa ni kukuza kipato cha nchi yao ule ni utalii
Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?
 
Hijja ni tambiko la waarabu , Muhammad alilipora hilo tambiko kutoka kwa wapagani ,akalivisha vazi la dini kuwa ibrahimu anahusika ,Kisha akaanza kupiga pesa

Muhammad alikuwa mfanya biashara
Alisikika kubwa jinga mmoja kutoka kwa mpalange.
 
Saudi Arabia na hija Nini kimeanza?
Hijja ni ya wapagani wa kikureshi ,

Ndio maana kabla ya Muhammad kumsingizia ibrahimu alifanya upagani hapo,hakuna historia wala dalili wala ushahidi wowote kuwa ibrahimu amewahi kufika hapo au kutambika hapo
 
Hijja ni zawadi ya Ibada kwa Waislamu wote duniani na pia ni zawadi ambayo ALLAH amewapa Watu wa Saudia Arabia iwafae kiuchumi.

Ibrahim aliiombea hiyo nchi iwe na neema tele.
Kabla ya mwaka 1932 hapakuwa na nchi inaitwa Saud Arabia....
 
Back
Top Bottom